severinembena
JF-Expert Member
- Jun 2, 2018
- 2,435
- 2,402
Kelele zetu hazisaidii, Cha msingi tuombe yasitutokee sisi ila wao tuache watwangane Hadi atakayeshindwa aombe poo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo ktk hayo makundi Mungu ni yupi?Acha ujinga wewe,Mungu hana hasara na watu,Mungu anatembea kwenye njia zake.
Bado tu hujauona uteule wake? Si ndio kama hivi, ka nchi kadogo lakini watu wanaishia tu kutishia kukapiga, lakini hawajaribu!Unakuta MTU na akili zake timamu anakuambia Israeli taifa teule ,How!
Mungu wakusaidiwa na wanadamu huyo mimi simtaki.Ukiona dini unatakiwa uipambanie kwa kuuwa watu achana nayo , siungi mkono kuuwa watu kwa namna yoyote ile
Hili ndilo jambo linalopaswa kuwa mjadala. Gaza walipewa huduma zote na Israel: chakula, maji na nishati. Wakajenga miji vizuri tu na ukawepo utulivu. Ajabu ni kwamba hawakuthamini hiloTatizo la gaza amani waliyokuwa nayo walishindwa kuithamini. wakaona ni bora wakamchokoze mchokozi na madhara yake ndio hayo
Vita ya gogu wa magogu na Israel itakuwa lini baada au kabla ya unyakuo?Israeli ni taifa jingine toka zamani za kale. Taifa dogo chini ya Daudi walimuua Goliathi, na majeshi yakakimbia mbele yake. Na chini ya ufalme wa Daudi, wafilisti na mataifa mengine yalipigwa vibaya sana. Leo hii, chini ya waziri mkuu Benjamin Netanyahu, Gaza wanapigwa vibaya sana na bado moto unaendelea hadi kipindi cha mpinga Kristo ambapo itapigwa vita ya mwisho itayomaliza ulimwengu huu.
Wewe inaonuesha hujui historia . Dunia nzima ni kama mtaa , Ambapo nchi ni majumba . Na wote ni jirani, unaweza kuwa chongo kuwa huoni kinachoendelea, lakini majumba yote huathirika inapoungua jumba Moja. Kinachotuunganisha sisi sote ni kabila , dini na ubinadamu tulionayo , kama hutajiandaa utaonaa inafika kwako , watoto wa Israel wamefika Kenya, Somali wamatumia jina kama alshabab na hk. So kama hujajianda unakuta wanafika tz. Na jinsi ya kuweza kuepuka na tatizo ni kusimamia haki popote ili iweze haki kuenea huko, kwakuwa kama dhulma ikishinda huko itaenea kama corona .Kelele zetu hazisaidii, Cha msingi tuombe yasitutokee sisi ila wao tuache watwangane Hadi atakayeshindwa aombe poo!
Moderator wao wakiona mkristo anatuka waislam kawaida na wakiona Muislam anaongea ukweli kuhusu ukristo ndo wachukue action 😂Moderators nawaaminia kwa ubora wa kazi zenu tokana na hii habari.
1. Hana uteule, kama uteule asingehangaika miaka 75 na bado anahangaika .Bado tu hujauona uteule wake? Si ndio kama hivi, ka nchi kadogo lakini watu wanaishia tu kutishia kukapiga, lakini hawajaribu!
Kama si mteule, basi hakuna haja ya kulalamika kwa kinachoendelea Gaza1. Hana uteule, kama uteule asingehangaika miaka 75 na bado anahangaika .
2. Wote wanasema tu , Lakini ni Iran peke ambayo inayoogopwa na Wana israel.
3. Wanatishia wengi lakini wanayestahiki kupigania haki yao ni wapalestina wenyewe.
4. Siku Israel ikianza kupokea wanajeshi wa nje , siku hio Israeli itakitana na Hizbollah na Iran mbele yao kusapoti Palestine.
5. Wana israel wanajitambua kuwa wao peke yao ni wanadaamu na wote ni wanyama .
Somea kuhusu uzayuni baadae angalia na fahamu .
Hizo siasa za kumtaja Mahamoud Abbas kila mmoja ameshajua ujanja wao.Walimmaliza Yasser Arafat kwa hila na huyu babu tayari wamemuweza.Hana mamlaka yoyote kwa wapalestina.Wanampa kwa mkono wa kushoto wanachukua kwa mkono wa kulia.Ujui unacho pigania unasema urusi wakati anabomoa mpaka nyumba za raia bila sababu...........wewe uangalii tv kwako? Na kuhusu hili la Israel na Palestine.........serikali ya chama cha mahamod Abbas inatakiwa kuwadhibiti hamas ili Israeli isitishe kupiga mabomu.......ndio tena bila kupepesa macho .........wale wajamaa wanatia huruma kuwa wanaonewa lakini ujasema kama mwisho jana usiku nilikuwa naangalia Al Jazeera walikuwa wanarusha mabomu kutoka gaza kwenda Israel pamoja na kupigwa kipigo cha paka jizi........wale wanapenda kufa ............badala watulie kwanza hata kama wana magomvi makubwa wanajifanya bado viburi ........sasa watachapika mpaka wanyee
Kwa hiyo mrusi kwenye vita unahis unavunja miti ya misituni tu???? Kama hujui kitu/vitu tafuta literatures zitakueleza.Hio si vita hio ni genocide ukita kufahamu taifa lolote ndio mwisho wake huwa linatumia mauwaji kwa watu wasio na hatia, sa Hamasi mnasema wako kwenye mashimo sa mnavunja majumba ya nini.
Au silaha ndio zipo Hospitali, makanisani, misikitini, au watoto na wanawake ndio wamezikali mtu anaye dhani Israel ndio kashinda vita ujuwe akapimwe akili hayuko sawa.
Angalia Mrusi huyo ndio anapigana vita angeweza vunja majumba ya Ukraine, lakini vita si kuvunja majumba na kuwauwa wasio na hatia.
Kuna yule ambae kwenye makaratasi anaonekana ana jeshi booora duniani,siku Moja TU kabananishwa kishaomba msaada USA.atakayeshindwa aombe poo!
Mimi ndio maana huwa nasema waislamu akili hamna wanaongozwa na mihemko,jazba na kulia kwa lengo la kuonewa huruma,magaidi ya kiislamu yakiwa yanaua watu na kuchinja hawapazi sauti za kukemeaBro hapo hakuna tofauti na hili" mtu anaua watu tena sokoni anasa Mungu ni mkubwa, hao ni wajinga siyo
Unakuta mtu ana akili zake timamu anaua watu sokoni kwa kujilipua nasema Mungu mkubwa!
Ni mandiko tu hao wanaosema hivyo na hao wanaua watu kwa jina la Mungu . Au unasemaje wewe usiye na akili!
Mm hilo nilikuwa silijui kumbe Israel aliwasadia sana wagaza. Lakini walishindwa kushukuru.Hili ndilo jambo linalopaswa kuwa mjadala. Gaza walipewa huduma zote na Israel: chakula, maji na nishati. Wakajenga miji vizuri tu na ukawepo utulivu. Ajabu ni kwamba hawakuthamini hilo
Mm hilo nilikuwa silijui kumbe Israel aliwasadia sana wagaza. Lakini walishindwa kushukuru.