Israel leo yapiga vibaya Gaza, Ukingo wa Magharibi na Syria huku Marekani ikipeleka ndege 45 za silaha nchini humo

mwaka 1967 wewe mwandishi ulikuwa na umri gani? mpigie simu hayatola komein akuambie mataifa 16 ya kiarabu yalipomshambulia Israel nani aliibuka mshindi na adhabu alowapa waaarabu ya kuteka ardhi zao mpaka wampigie magoti ili wazipate
Wakati ule kulikuwa na MEDIA zaidi ya Western Media ndio zinazo toa habari lazima waseme Israel yuko peke yake.


Ikiwa sasa hivi wanasema Israel anapiga silaha za Hamasi hatujaona hata bunduki kwenye hayo majumba πŸ˜‚
 

Sikushangai ndivyo mlivyo Kama Bwana Yesu alivyosema hiyo ni zawadi mumepewa ya kuwa mashoga

Jesus said some are born gay.
Here Jesus refers to "eunuchs who have been so from birth." This terminology ("born eunuchs") was used in the ancient world to refer to homosexual men. Jesus indicates that being a "born eunuch" is a gift from God.
 

Tulia Dawa iwaingie. Mlichokoza moto wenyewe
 
wajomba zako Hamas hao wame chimba mashimo chini ya shule ya chekechea na kufurumushia marocket yao wakilambwa na Mk-84 mna kuja kulia lia hapa hii ni genocide
 

Attachments

  • IMG_20231023_091013.jpg
    232.4 KB · Views: 1
Naunga mkono,,israel anapigwa sana huko,hali yake ni Tete kabisa
 
Mwana kulitafuta mwana kulipata.
 
Atakapo ishia Israel ndipo HAMAS watanzia tena kumaliza
 
".......ule uchokozi walofanya wao wameona ni mzuri ila sasa kipigo wanachopata wanakimbilia kwa mashabiki wao duniani kote kutaka suppoti".
Walijisahau -Hawakuomba walau ka-ushauri kwa hao mashabiki wao duniani kote endapo watataka sapoti pindi mambo yakiwaendea mrama. Matokeo yake sasa hao mashabiki wanasuasua kutoa support kwani wanaujua mtanange wa Myahudi - haangalii makunyanzi. Ni kisago tu. HAMAS ameshajua alikuwa hajui Muisraeli kipondo chake ni balaa. πŸ”¨ Sasa wananyweshwa dawaπŸ’‰πŸ’‰πŸ’‰ halafu wanalialia. Wasubiri dawa iwaingie vizuri.
 
wajomba zako Hamas hao wame chimba mashimo chini ya shule ya chekechea na kufurumushia marocket yao wakilambwa na Mk-84 mna kuja kulia lia hapa hii ni genocide

Na hawa mabwana zako wanaweweseka mchana na kupiga makelele
 
mwaka 1967 wewe mwandishi ulikuwa na umri gani? mpigie simu hayatola komein akuambie mataifa 16 ya kiarabu yalipomshambulia Israel nani aliibuka mshindi na adhabu alowapa waaarabu ya kuteka ardhi zao mpaka wampigie magoti ili wazipate
Hiyo ndo gharama ya kujitia ubabe ilhali hujamsoma vizuri huyo wanayemuita Adui(Israel). Safari hii ataineutralise HAMAS na pengine Palestina haitakaa irudie tena kuwakaribisha hayo makundi ya kigaidi nyumbani kwake eti ili wamsaidie kumpiga Israel kwa shinikizo la udini na madai ya kuikomboa ardhi yao.
Siungi mkono wala siipendi vita kamwe lakini kitendo cha kufanya ambush kwa Israeli kilichofanywa na kundi la HAMAS kilikuwa ni kibaya sana.
Wapalestina na Waarabu wenzake Watulie kwanza wamwache Israel atoe usongo kwa HAMAS.😎
 

View: https://youtube.com/shorts/_JZwtSJl_mI?si=64Ti01B4CdzmqcbA
Cc Lucha adriz Alwaz Adiosamigo Ritz Mrs Besyige mrangi raraa reree Extrovert incharge
 
Naunga mkono,,israel anapigwa sana huko,hali yake ni Tete kabisa
We unadhani kuvunja hayo majumba ana taka kubalance eti askari zake walio uliwa 5000 na zaidi plus 1250 ni vilema kabisa πŸ˜‚

Super power wenu hakuna aliye salimika ila wale walikimbilia chooni kujificha πŸ˜‚

Hata Israel auwe vipi raia wasio na hatia pale Gaza ni tofauti kuwauwa askari kwenye kambi nne ni kipigo kikubwa sana.

Afu wamechukua wale Majenarali wote kwenye hizo kambi πŸ˜‚

Amerika na Europe walipoteza pesa nyingi sana kuifanya Israel aonekane super power ameaibishwa masaa mawili tu πŸ˜‚

Jeshi la Israel wamepata kichaa imebidi America apeleke askari 2000 eti ndio wao watangulie mbele kwenye ground war.

Walingia jana jeshi la Israel kutest waliwacha vifaru viwili na caterpillar lao chezea Hamasi πŸ˜‚

Afu huyo Sisi Rais wa Misri angekuwa si kibaraka Israel ingepata shida sana kwenye hi vita.


View: https://youtu.be/QiCfZlk0LK8?si=Ch-5b742sbBhHmdW
Wanaume wapo kazini leo hio
 
Tuliwaambia mapema huyo Israel hachokozwagi kihuni hamkusikia
" Kazi ya kusamehe magaidi ni ya MUNGU , kazi ya kuyapeleka magaidi Kwa Mungu ni ya Israel" waziri wa ulinzi wa Israel.
 

Attachments

  • 7145e3c0-0ee4-434a-9e32-626d8d52e548.mov
    6.2 MB
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…