Israel leo yapiga vibaya Gaza, Ukingo wa Magharibi na Syria huku Marekani ikipeleka ndege 45 za silaha nchini humo

Israel leo yapiga vibaya Gaza, Ukingo wa Magharibi na Syria huku Marekani ikipeleka ndege 45 za silaha nchini humo

Basi itoshe mnapowatetea wauaji wa watoto wa kiyahudi kujifanya hamna akili, Hao wapalestina waliua watoto, wanawake kwenye kumbi za starehe,kulikuwa na silaha huko, mkapongezana sana,.kwa jina la miungu yenu. Kama msingekuwa na unafiki japo kama jembe ya mchele leo hii kwa anachowafanyia wauji wa watoto na watekaji wa watu wake ,
Angalau mgeilaani Hamasi.
Kama adui anajificha katikakati ya watu ,ikiwa ili umfikie lazima wasio na hatia wafe , basi watakufa ili adui aangamizwe.
Vivyo hivyo ikiwa adui ameweka maficho katikati ya majumba yanayokaliwa na.watu lakini yeye anakaa ardhini, lazima ,narudia lazima majumba yavunjwe ili ngome za adui zifikiwe na kubomolewa.
Kinachofanyika Gaza kwenye vita kinakubalika kabisa. Wapalestina ni wauaji lazima wasakwe kwa gharama kubwa. Amani ya muda mrefu lazima.igharamiwe
Mkuu umenyoosha saana. Viva kwa ujumbe huu. Unaua wasio na hatia unaenda jificha chini ya hospital na shule na nyumba za watu wanaojifanya wanaonewa kumbe wanatunza magaidi. Burn them
 
Hawa wakristo akili hawana mtu anayesema Mungu ni binadamu mnadhani yuko sawa.

Israel hi vita hashindi hata avunje majumba yote ya Gaza

Nakuhakikishia Israel anatufuta njia ya kuomba vita iishe yeye na Amerika, lakini hawana jinsi wanaona aibu kusema vita hi tusimamishe sababu aliahidi lazima awamalize Hamasi.

Msikie huyu Gen wa US amesema Israel hawezi wapiga Hamasi hata kwa miaka 18 ni kichaa, nyie ndio mna akili kuliko yeye. Hata kama kuna mengine anaongea uwongo lakini ukweli Israel hawezi pigana na Hamasi


View: https://youtu.be/gPgDFHacUG4?si=QBkiXlCcfHL0mg8p

Umeandika nn..? Waomba vita iishe au ndio kwanza wapo intro hawajaanza kazi bado ujue
 
Hawa ndugu hawafuatilii undani wa jambo bali hukurupuka kwa maneno mengi, matusi, kejeli na kelele zisizo na mashiko.
Shida zile sumu wanazolishwa kule mdrasa kwao. Yaani wanaongea vitu mpaka unajiuliza hivi huyu vipi. Imagine hawa hawa wakishangilia watoto, wazee na raia wengine wa israel walipo uliwa juzi na hawa magaidi wao. Leo eti palestina anaonewa. Tena wawe jivu kabsa. Unachokoza watu afu ulalamike.
 
Israeli ni taifa jingine toka zamani za kale. Taifa dogo chini ya Daudi walimuua Goliathi, na majeshi yakakimbia mbele yake. Na chini ya ufalme wa Daudi, wafilisti na mataifa mengine yalipigwa vibaya sana. Leo hii, chini ya waziri mkuu Benjamin Netanyahu, Gaza wanapigwa vibaya sana na bado moto unaendelea hadi kipindi cha mpinga Kristo ambapo itapigwa vita ya mwisho itayomaliza ulimwengu huu.
Israel ipi hiyo unayoiongelea? hii ya 1948(man made Israel Ashkanaz) au Ancient Israel? be specific ueleweke vizuri...
 
Mkuu umenyoosha saana. Viva kwa ujumbe huu. Unaua wasio na hatia unaenda jificha chini ya hospital na shule na nyumba za watu wanaojifanya wanaonewa kumbe wanatunza magaidi. Burn them
Eti Israeli anapiga Hospitali, Shule na nyumba za watu. Israeli sio kichaa .. anajua anachokifanya tena kwa malengo. Mbona HAMAS hawakuwa na ujasiri na kutoa maelekezo/Tamko kwa Wayahudi kwamba tutakuja (Tutashambulia ) hapo na wale Innocent people waondoke kupisha ndani ya masaa fulani? Myahudi alisema waziwazi kwamba atakuja kufanya anachokifanya. Sasa ww unakaza fuvu? Subiri upate ushahidi.......
 
Shida zile sumu wanazolishwa kule mdrasa kwao. Yaani wanaongea vitu mpaka unajiuliza hivi huyu vipi. Imagine hawa hawa wakishangilia watoto, wazee na raia wengine wa israel walipo uliwa juzi na hawa magaidi wao. Leo eti palestina anaonewa. Tena wawe jivu kabsa. Unachokoza watu afu ulalamike.
Wanadhani wao ndo watu; wengine sio watu. Mkuki kwa nguruwe mtamu kwa binadamu wa uchungu. Ngoja kwanza wapigwe kama ngoma ya bugobogobo akili ziwakae sawa ili wasijerudia tena ujinga huo hata siku moja.
 
Wanadhani wao ndo watu; wengine sio watu. Mkuki kwa nguruwe mtamu kwa binadamu wa uchungu. Ngoja kwanza wapigwe kama ngoma ya bugobogobo akili ziwakae sawa ili wasijerudia tena ujinga huo hata siku moja.
Hawa watu wa ajabu. Sema hata wapige kelele israel anakunguta mpaka aridhike na uzuri wababe watampa sapoti fasta saana. Waarabu wajichanganye kiwake haswaa
 
Hawa watu wa ajabu. Sema hata wapige kelele israel anakunguta mpaka aridhike na uzuri wababe watampa sapoti fasta saana. Waarabu wajichanganye kiwake haswaa
Hahahahaa. Nawashauri Waarabu waandike majina yao kwenye vilemba au baraghashia zao ili zikiokotwa njiani/porini ijulikane kuwa Izraeli keshafanya yake. Wajue hakuna jiwe litasalia juu ya jiwe lingine.
 
Hahahahaa. Nawashauri Waarabu waandike majina yao kwenye vilemba au baraghashia zao ili zikiokotwa njiani/porini ijulikane kuwa Izraeli keshafanya yake. Wajue hakuna jiwe litasalia juu ya jiwe lingine.
Hahaha hatari saana
 
Hapo anatafutwa iran tu aingie cha kike apotezwa maana ndio Taifa jeuri lililobaki hapo middle east
 
mna uhakika mnachukia kitu sahihi au tumechongwa .....imekuwaje mkachagua upande ?
Tuendelee kuchezeshwa kizombi zombi.
 
Hio si vita hio ni genocide ukita kufahamu taifa lolote ndio mwisho wake huwa linatumia mauwaji kwa watu wasio na hatia, sa Hamasi mnasema wako kwenye mashimo sa mnavunja majumba ya nini
Mashimo yako chini ya ardhi, unaondoa kwanza nyumba
 
Back
Top Bottom