Waambie wache kujificha kwa watoto na kina mama!Maneno mengi yasifa kama kawaida yako, tuambie kwanza Kwa nini mpaka Sasa kashindwa wamaliza Hamas?. Kipindi hichi sio chakuhadisiwa tena kama zamani teknolojia imekua kubwa hata ufiche vipi mambo yakweli yatadhihirika tu. Anapambana na kundi ambalo halina hata drone moja lakini linamtoa jasho, kundi ambalo tuliambiwa analifuta ndani ya siku 2 Leo imekua miez 3. Nguvu za Israel ziko wapi?.
Hezbollah wangekuwa vizuri kama unavyodai hapa wangekuwa wameshaichakaza Israel siku nyingi tu tangu huu mzozo uanze.Hata Israel itageuzwa magofu, Hizbulah wana makombora yenye uwezo mkubwa tofauti na Hamas wenye vijiroketi vya kienyeji.
Israel haina uwezo wa kupambana na Hezbollah, Israel waendelee na covert mission zao za kuvizia wanajeshi wa Iran na wanasayansi, lakini kwenye ground hamna rangi wataacha kuiona.Alafu nyie waislam vita hamjui mnachokijua ni kuutesa akina FaizaFoxy tu, Israel imeiambia dunia (UN) kwamba uvumilivu wake unakaribia kufia mwisho, so wataingia kuchukua yale maeneo ambayo Hizbullah inayatumia kuushambulia Israel ok, na Israel iko serious itayachukua na kuyakalia kama Golan heights so kama unaleta ujuaji wenu wa kiislam na nguvu hamna hayo ni yenu
Mkuu umemaliza sina la kuongeza.Japo kila mtu ana mtazamo wake lakini saa nyingine mkuu maoni yako yanatia kinyaa.
Mpaka sasa Urusi imesha tumia tani 18000 za mabomu ndani ya Ukraine yenye jeshi lenye nguvu na yenye ukubwa wa eneo karibia na Tz kwa miaka 2, Marekani imetumia mabomu yenye uzito wa tani 28,000 nchini Afghanistan kwa miaka zaidi ya 20.
Lakini mpaka sasa Israel imesha dondosha zaidi ya tani 52,000 ndani ya gaza eneo linalo zidiwa ukubwa na kigamboni ndani ya miezi mitatu tu, hayo ni mashambulizi ya kiwango cha maangamizi makubwa,kwa hiyo hoja zako ulizo ziandika hapo hazina mashiko.
Kujaribu kuaminisha watu kuwa Israel ni bora ni sawa na kupamba mavi ukitaka watu waamini kuwa ni keki,au ni sawa na kupamba uharo na uwaaminishe watu kuwa ni mayai ya kukaangwa.
Kila mtu anaona kinacho endelea gaza mpaka sasa na jeshi la Israel halina uwezo zaidi ya huu wanao uonesha gaza.
Israel ingekuwa bora kama unavyo jaribu kutuaminisha basi Marekani asingekuwa anahaha kupeleka mameli na kuzilinda meli za Israel zinazo shambuliwa na wauthi.
Hizo hadithi zenu za sijui vita ya siku 6 zimesha pitwa na wakati , hata wauthi walipigana na mataifa karibia yote kiarabu yenye kila aina ya silaha na walio kuwa wanapokea habari za kijasusi kutoka kwa Marekani na Uingereza na wakashizishinda.
Kwenye vita ya siku sita Israel haukupata upinzani wowote ule ina maana sehemu kubwa aliiteka bila upinzani wowote hivyo alinufaika na woga na Unafiki wa waarabu na mpaka sasa anaendelea kunufaika nao, kama vipi nitajie ni battle gani ya maana alisha wahi kupigana Israel mfano battle ya Maliupol na Bhakhiumut.
Hizbulah na Israel wakiingia kwenye vita ya moja kwa moja Lebanon itachakaa , lakini pia Israel nayo itachakaa maana Hizbulah haina maroketi ya kienyeji kama Hamas bali yana makombora yanayo ongozwa kwa usahihi alafu mengi, alafu hiyo Israel ilisha furushwa na hiyo Hizbulah kwenye eneo la Lebanon.
Israel ilichobakiza kutumia pale Gaza ni nuclear tu, mbinu zote za kivita zime fail, intelligence imefeli, morali ya askari yao imekufa, mipango yote imekwisha, Labda kama unazungumzia watumie long range ballistic missiles, sasa si kituko hiko, yaani eti unafyatua ballistic missile kutoka Temeke kuelekea Kigamboni kama si kuchanganyikiwa ni kitu gani.Huo uharibifu wa Gaza mostly ni kwa kutumia D9 bulldozers, au Mk-82 500lb bombs sometimes zinafungwa JDAM, shelling ya meli kiasi kidogo, bunker busters ndogo kwa ajili ya turners na mara chache drone strikes zikifanya precision strikes.
Hivyo ni vitu vichache kwa walivyonavyo Israel, hawajajimaliza bado wana silaha nzito nyingi. Hamas ndio wameishiwa mbinu kila kitu wametumia. Sasa Israel ikipigana na Lebanon inapigana na taifa, na bado haiwezi weka nguvu nyingi kama inavyoweza pigana na Iran.
Issue ya Bakhmut ni tofauti, Ukraine ilifanya evacuation ya raia. Urusi ilitumia artillery kuharibu mji, wakati Israel haiwezi tumia artillery Gaza sababu haipigi kuharibu, inapoharibu ni penye turners, rocket launchers na viongozi wa Hamas.
Kutumia artillery dhidi ya Gaza mbona ingefutika muda mrefu.
Mkuu acha mahaba basi, kama Israel Iko vizuri USA anahangaika kuwapa msaada Kwa nini?. Inapambana nakikundi kinachorusha mawe miezi mitatu imekaribia halafu unasema haijashindwa?. Israel imetumia mabomu yenye uzito Gani mpaka Sasa Gaza kwa muda wa miezi mitatu?.Huo uharibifu wa Gaza mostly ni kwa kutumia D9 bulldozers, au Mk-82 500lb bombs sometimes zinafungwa JDAM, shelling ya meli kiasi kidogo, bunker busters ndogo kwa ajili ya turners na mara chache drone strikes zikifanya precision strikes.
Hivyo ni vitu vichache kwa walivyonavyo Israel, hawajajimaliza bado wana silaha nzito nyingi. Hamas ndio wameishiwa mbinu kila kitu wametumia. Sasa Israel ikipigana na Lebanon inapigana na taifa, na bado haiwezi weka nguvu nyingi kama inavyoweza pigana na Iran.
Issue ya Bakhmut ni tofauti, Ukraine ilifanya evacuation ya raia. Urusi ilitumia artillery kuharibu mji, wakati Israel haiwezi tumia artillery Gaza sababu haipigi kuharibu, inapoharibu ni penye turners, rocket launchers na viongozi wa Hamas.
Kutumia artillery dhidi ya Gaza mbona ingefutika muda mrefu.
Hizbullah iliisaidia sana serikali ya Syria ilipokuwa imelemewa mno na waasi mwaka 2013-2014, kabla ya Urusi kutia mguu pia mwaka 2015.Hezbollah inao uwezo wa kupigana na jeshi la Syria hii ya sasa iliyodhoofika?
okey basi tuombe aman dunian na si gaza pekee kuna ukrain,congo,nigeria tuombe aman na tuitunze aman yetu tusiruhusu udini wala siasa kutuingiza katika vta vya wenyew kw wenyew.au unasemaje shekhe wngSijawahi kutumia mihemko sehemu yeyote ile
Naukiona mihemko ujue kwako ila kwangu pengine ndio udogo wa akili yangu ulipoishia
Hua natumia mihemko kwenye mambo yautani labda ila sio mambo yamsingi hasa yanayohusu roho na maisha ya watu kwaujumla wake
Nimpuuzi pekee ama mjinga pekee atakae kanusha adha madhila na mateso wanayoyapitia wapalestine pale ukanda wa ghaza
Narudia tena Nimpuuzi pekee namjinga pekee atakae kanusha adha madhila na mateso wanayoyapitia wapalestine pale ukanda wa ghaza
sasa siku zote mwenye nguvu ndio huanza kumfuata yule asiye na nguvu na kumpiga sababu ya nguvu zake, na kama ujuavo slogan ya hezbola na iran ni kufuta israel kwenye map ya dunia, kwa hiyo sababu mnasema hezbolah wana nguvu za kutosha wao ndio waanze kufanya hivo, israel yeye hana sababu ya kugombana na mtu sabab yeye hana malengo ya kulifuta taifa lolote.. upo hapo shehe ubwabwa?Waambie israhell wavuke mpakua waingie upande wa Hizbullah ndio tutajua eidha wanauunguvu ama laa
Enzi zimebadilika.Kwa sasa Israel hawezi kupiga wala kujitanua popote.Binadamu sasa hawapigiki kirahisi kama zamani.Alafu nyie waislam vita hamjui mnachokijua ni kuutesa akina FaizaFoxy tu, Israel imeiambia dunia (UN) kwamba uvumilivu wake unakaribia kufia mwisho, so wataingia kuchukua yale maeneo ambayo Hizbullah inayatumia kuushambulia Israel ok, na Israel iko serious itayachukua na kuyakalia kama Golan heights so kama unaleta ujuaji wenu wa kiislam na nguvu hamna hayo ni yenu
Waambieni waache kukaa hewani kama mbayuwayu na baharini kama dagaaWaambie wache kujificha kwa watoto na kina mama!
Waambie nao watokee live kama wenzao tuone
Huna ulilobakisha mzee yote umemaliza ndugu yanguokey basi tuombe aman dunian na si gaza pekee kuna ukrain,congo,nigeria tuombe aman na tuitunze aman yetu tusiruhusu udini wala siasa kutuingiza katika vta vya wenyew kw wenyew.au unasemaje shekhe wng
Kwahio hamas ina nguvu kuliko israhell maana wao ndio walianza kuwafyeka wazayunisasa siku zote mwenye nguvu ndio huanza kumfuata yule asiye na nguvu na kumpiga sababu ya nguvu zake, na kama ujuavo slogan ya hezbola na iran ni kufuta israel kwenye map ya dunia, kwa hiyo sababu mnasema hezbolah wana nguvu za kutosha wao ndio waanze kufanya hivo, israel yeye hana sababu ya kugombana na mtu sabab yeye hana malengo ya kulifuta taifa lolote.. upo hapo shehe ubwabwa?
Hawa kima ndio wa kupambana Iran [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukiona Israel anaomba mazungumzo na nchi wapate muafaka wa kisiasa basi ufahami hali mbaya kwake, huo ni mkwala tu anaishambulia Lebanon na yeye miji yake itachaka kwa makombora siyo mara ya kwanza vita vya mwanzo mpaka UN akaingilia kati.
Acha stori za vijiweni bwana mdogoIsrael iliyopigana na mataifa 10 ya kiarabu ndo washindwe na vikundi hivyo 3 kweli! Alizichapa nchi 10 hatimaye wakichukuliwa Jerusalem, Golan na Sinai. Hao hezibolla ndo wanawasha moto, watapigwa mpaka wachakae
Middle East nzima ilipigwa ndani ya siku 6 mnamo mwaka 1967Kama waliwaunganisha middle East yote na kuwatandika, vipi hao Lebanon
kivip, kwan tulikua tunajadiliana au tulikuwa kwenye battle mzee?,kujadiliana lazma mfkie lengo moja ambalo ndo hilo aman dunian au mwenzangu aman gaza tu au mihemko tayarHuna ulilobakisha mzee yote umemaliza ndugu yangu
Amani amani amani
Kwa kuwa wana drone kila jengo linatokea mbele yao ni hamasiKabisaaa halaf kuna mtu anatokea anasema israhell wanapigana kistaarab inastaajabisha
Mpaka wakuu wao wenyewe huko jeshini wanataka kufungua kesi za uchunguzi dhidi ya jeshi lao (ingawa tunajua kama wanauhadaa ulimwengu)
Kwakusema wanapiga mpaka sehem ambazo hazikustahili kupiga tena sio mara moja mbili wala tatu
Maana yake wao wanarusha tu mabomu maadam wanaua basi hawajali
sasa kama hamas ndo ina nguvu au haina we jibu si unalo ambae anapoteza vitani ni nani? waarabu wote sasa hivi wanalia kila siku kazi ni kuandamana tu vita visimame kupigana hawawezi, GDP ya israel imeiziidi ya Iran kwa zaidi ya dola bilioni 200 sasa sijui unaongelea uchumi upi shehe ubwabwa?Kwahio hamas ina nguvu kuliko israhell maana wao ndio walianza kuwafyeka wazayuni
Iran anaifuta israhell kisayanas yaani anawapiga wakati yeye katulia barazani anakunywa kahwa
Uchumi wa iran unaendelea kama kawaida wakati israhell huko unaambiwa hali tete