Israel mambo yamewafika hapa. Watishia kuipiga Lebanon kama dunia itashindwa kuwaondoa Hizbullah mpakani. Je, wataweza?

Israel mambo yamewafika hapa. Watishia kuipiga Lebanon kama dunia itashindwa kuwaondoa Hizbullah mpakani. Je, wataweza?

Maneno mengi yasifa kama kawaida yako, tuambie kwanza Kwa nini mpaka Sasa kashindwa wamaliza Hamas?. Kipindi hichi sio chakuhadisiwa tena kama zamani teknolojia imekua kubwa hata ufiche vipi mambo yakweli yatadhihirika tu. Anapambana na kundi ambalo halina hata drone moja lakini linamtoa jasho, kundi ambalo tuliambiwa analifuta ndani ya siku 2 Leo imekua miez 3. Nguvu za Israel ziko wapi?.
Waambie wache kujificha kwa watoto na kina mama!

Waambie nao watokee live kama wenzao tuone
 
Hata Israel itageuzwa magofu, Hizbulah wana makombora yenye uwezo mkubwa tofauti na Hamas wenye vijiroketi vya kienyeji.
Hezbollah wangekuwa vizuri kama unavyodai hapa wangekuwa wameshaichakaza Israel siku nyingi tu tangu huu mzozo uanze.

Wamekuwa wakiwavizia Idf mara chache chache na idf imekuwa ikiwapelekea moto na imewauwa wengi tu


Acheni haya mahaba yenu huku wenzenu wanahenyeka huko gaza
 
Alafu nyie waislam vita hamjui mnachokijua ni kuutesa akina FaizaFoxy tu, Israel imeiambia dunia (UN) kwamba uvumilivu wake unakaribia kufia mwisho, so wataingia kuchukua yale maeneo ambayo Hizbullah inayatumia kuushambulia Israel ok, na Israel iko serious itayachukua na kuyakalia kama Golan heights so kama unaleta ujuaji wenu wa kiislam na nguvu hamna hayo ni yenu
Israel haina uwezo wa kupambana na Hezbollah, Israel waendelee na covert mission zao za kuvizia wanajeshi wa Iran na wanasayansi, lakini kwenye ground hamna rangi wataacha kuiona.

We unakuwa una jeshi unajifanya eti haki za binadamu, hadi kuna wakuu wa jeshi ni gays, lazima upigwe usambae, kwanza hata Mungu mwenyewe anakulaani tu.
 
Japo kila mtu ana mtazamo wake lakini saa nyingine mkuu maoni yako yanatia kinyaa.
Mpaka sasa Urusi imesha tumia tani 18000 za mabomu ndani ya Ukraine yenye jeshi lenye nguvu na yenye ukubwa wa eneo karibia na Tz kwa miaka 2, Marekani imetumia mabomu yenye uzito wa tani 28,000 nchini Afghanistan kwa miaka zaidi ya 20.
Lakini mpaka sasa Israel imesha dondosha zaidi ya tani 52,000 ndani ya gaza eneo linalo zidiwa ukubwa na kigamboni ndani ya miezi mitatu tu, hayo ni mashambulizi ya kiwango cha maangamizi makubwa,kwa hiyo hoja zako ulizo ziandika hapo hazina mashiko.

Kujaribu kuaminisha watu kuwa Israel ni bora ni sawa na kupamba mavi ukitaka watu waamini kuwa ni keki,au ni sawa na kupamba uharo na uwaaminishe watu kuwa ni mayai ya kukaangwa.
Kila mtu anaona kinacho endelea gaza mpaka sasa na jeshi la Israel halina uwezo zaidi ya huu wanao uonesha gaza.
Israel ingekuwa bora kama unavyo jaribu kutuaminisha basi Marekani asingekuwa anahaha kupeleka mameli na kuzilinda meli za Israel zinazo shambuliwa na wauthi.
Hizo hadithi zenu za sijui vita ya siku 6 zimesha pitwa na wakati , hata wauthi walipigana na mataifa karibia yote kiarabu yenye kila aina ya silaha na walio kuwa wanapokea habari za kijasusi kutoka kwa Marekani na Uingereza na wakashizishinda.

Kwenye vita ya siku sita Israel haukupata upinzani wowote ule ina maana sehemu kubwa aliiteka bila upinzani wowote hivyo alinufaika na woga na Unafiki wa waarabu na mpaka sasa anaendelea kunufaika nao, kama vipi nitajie ni battle gani ya maana alisha wahi kupigana Israel mfano battle ya Maliupol na Bhakhiumut.
Hizbulah na Israel wakiingia kwenye vita ya moja kwa moja Lebanon itachakaa , lakini pia Israel nayo itachakaa maana Hizbulah haina maroketi ya kienyeji kama Hamas bali yana makombora yanayo ongozwa kwa usahihi alafu mengi, alafu hiyo Israel ilisha furushwa na hiyo Hizbulah kwenye eneo la Lebanon.
Mkuu umemaliza sina la kuongeza.
 
Huo uharibifu wa Gaza mostly ni kwa kutumia D9 bulldozers, au Mk-82 500lb bombs sometimes zinafungwa JDAM, shelling ya meli kiasi kidogo, bunker busters ndogo kwa ajili ya turners na mara chache drone strikes zikifanya precision strikes.

Hivyo ni vitu vichache kwa walivyonavyo Israel, hawajajimaliza bado wana silaha nzito nyingi. Hamas ndio wameishiwa mbinu kila kitu wametumia. Sasa Israel ikipigana na Lebanon inapigana na taifa, na bado haiwezi weka nguvu nyingi kama inavyoweza pigana na Iran.

Issue ya Bakhmut ni tofauti, Ukraine ilifanya evacuation ya raia. Urusi ilitumia artillery kuharibu mji, wakati Israel haiwezi tumia artillery Gaza sababu haipigi kuharibu, inapoharibu ni penye turners, rocket launchers na viongozi wa Hamas.
Kutumia artillery dhidi ya Gaza mbona ingefutika muda mrefu.
Israel ilichobakiza kutumia pale Gaza ni nuclear tu, mbinu zote za kivita zime fail, intelligence imefeli, morali ya askari yao imekufa, mipango yote imekwisha, Labda kama unazungumzia watumie long range ballistic missiles, sasa si kituko hiko, yaani eti unafyatua ballistic missile kutoka Temeke kuelekea Kigamboni kama si kuchanganyikiwa ni kitu gani.

Kila silaha ina matuizi yake maalumu, wakati maalumu na eneo maalumu la kuitumia, kushindwa kutumia silaha inayostahili katika wakati na eneo stahiki ndio kuchanganyikiwa na kushindwa vita.

Silaha zote na mbinu ambazo zilifaa kutumiwa Gaza zimekwisha, sikatai Israel bado ana silaha lakini sio efficient kwa matumizi pale Gaza.
 
Huo uharibifu wa Gaza mostly ni kwa kutumia D9 bulldozers, au Mk-82 500lb bombs sometimes zinafungwa JDAM, shelling ya meli kiasi kidogo, bunker busters ndogo kwa ajili ya turners na mara chache drone strikes zikifanya precision strikes.

Hivyo ni vitu vichache kwa walivyonavyo Israel, hawajajimaliza bado wana silaha nzito nyingi. Hamas ndio wameishiwa mbinu kila kitu wametumia. Sasa Israel ikipigana na Lebanon inapigana na taifa, na bado haiwezi weka nguvu nyingi kama inavyoweza pigana na Iran.

Issue ya Bakhmut ni tofauti, Ukraine ilifanya evacuation ya raia. Urusi ilitumia artillery kuharibu mji, wakati Israel haiwezi tumia artillery Gaza sababu haipigi kuharibu, inapoharibu ni penye turners, rocket launchers na viongozi wa Hamas.
Kutumia artillery dhidi ya Gaza mbona ingefutika muda mrefu.
Mkuu acha mahaba basi, kama Israel Iko vizuri USA anahangaika kuwapa msaada Kwa nini?. Inapambana nakikundi kinachorusha mawe miezi mitatu imekaribia halafu unasema haijashindwa?. Israel imetumia mabomu yenye uzito Gani mpaka Sasa Gaza kwa muda wa miezi mitatu?.

Kisha linganisha nanchi nyingine zilizoenda vitani utaona kama ISRAEL kashindwa au laa. Mengine wadau washakujibu Sina haja yakurudi.
 
Hezbollah inao uwezo wa kupigana na jeshi la Syria hii ya sasa iliyodhoofika?
Hizbullah iliisaidia sana serikali ya Syria ilipokuwa imelemewa mno na waasi mwaka 2013-2014, kabla ya Urusi kutia mguu pia mwaka 2015.

Hizbullah ina askari wenye uzoefu mkubwa, ila pia ni ukweli haina uwezo kuizidi Israel.
 
Sijawahi kutumia mihemko sehemu yeyote ile
Naukiona mihemko ujue kwako ila kwangu pengine ndio udogo wa akili yangu ulipoishia
Hua natumia mihemko kwenye mambo yautani labda ila sio mambo yamsingi hasa yanayohusu roho na maisha ya watu kwaujumla wake
Nimpuuzi pekee ama mjinga pekee atakae kanusha adha madhila na mateso wanayoyapitia wapalestine pale ukanda wa ghaza
Narudia tena Nimpuuzi pekee namjinga pekee atakae kanusha adha madhila na mateso wanayoyapitia wapalestine pale ukanda wa ghaza
okey basi tuombe aman dunian na si gaza pekee kuna ukrain,congo,nigeria tuombe aman na tuitunze aman yetu tusiruhusu udini wala siasa kutuingiza katika vta vya wenyew kw wenyew.au unasemaje shekhe wng
 
Waambie israhell wavuke mpakua waingie upande wa Hizbullah ndio tutajua eidha wanauunguvu ama laa
sasa siku zote mwenye nguvu ndio huanza kumfuata yule asiye na nguvu na kumpiga sababu ya nguvu zake, na kama ujuavo slogan ya hezbola na iran ni kufuta israel kwenye map ya dunia, kwa hiyo sababu mnasema hezbolah wana nguvu za kutosha wao ndio waanze kufanya hivo, israel yeye hana sababu ya kugombana na mtu sabab yeye hana malengo ya kulifuta taifa lolote.. upo hapo shehe ubwabwa?
 
Alafu nyie waislam vita hamjui mnachokijua ni kuutesa akina FaizaFoxy tu, Israel imeiambia dunia (UN) kwamba uvumilivu wake unakaribia kufia mwisho, so wataingia kuchukua yale maeneo ambayo Hizbullah inayatumia kuushambulia Israel ok, na Israel iko serious itayachukua na kuyakalia kama Golan heights so kama unaleta ujuaji wenu wa kiislam na nguvu hamna hayo ni yenu
Enzi zimebadilika.Kwa sasa Israel hawezi kupiga wala kujitanua popote.Binadamu sasa hawapigiki kirahisi kama zamani.
 
okey basi tuombe aman dunian na si gaza pekee kuna ukrain,congo,nigeria tuombe aman na tuitunze aman yetu tusiruhusu udini wala siasa kutuingiza katika vta vya wenyew kw wenyew.au unasemaje shekhe wng
Huna ulilobakisha mzee yote umemaliza ndugu yangu
Amani amani amani
 
sasa siku zote mwenye nguvu ndio huanza kumfuata yule asiye na nguvu na kumpiga sababu ya nguvu zake, na kama ujuavo slogan ya hezbola na iran ni kufuta israel kwenye map ya dunia, kwa hiyo sababu mnasema hezbolah wana nguvu za kutosha wao ndio waanze kufanya hivo, israel yeye hana sababu ya kugombana na mtu sabab yeye hana malengo ya kulifuta taifa lolote.. upo hapo shehe ubwabwa?
Kwahio hamas ina nguvu kuliko israhell maana wao ndio walianza kuwafyeka wazayuni
Iran anaifuta israhell kisayanas yaani anawapiga wakati yeye katulia barazani anakunywa kahwa
Uchumi wa iran unaendelea kama kawaida wakati israhell huko unaambiwa hali tete
 
Ukiona Israel anaomba mazungumzo na nchi wapate muafaka wa kisiasa basi ufahami hali mbaya kwake, huo ni mkwala tu anaishambulia Lebanon na yeye miji yake itachaka kwa makombora siyo mara ya kwanza vita vya mwanzo mpaka UN akaingilia kati.
Hawa kima ndio wa kupambana Iran [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
IMG_20231227_225021.jpg
 
Kama waliwaunganisha middle East yote na kuwatandika, vipi hao Lebanon
Middle East nzima ilipigwa ndani ya siku 6 mnamo mwaka 1967

2023 pamoja na usaidizi wote wa NATO sasa hivi inaelekea siku ya 90 wameshindwa kukomboa Raia wao waliotekwa na wahuni wa Ghaza eneo lisilozidi kilometa za mraba 1000, kweli Kizazi cha 1967 kimeshindwa kujizaa

Israel imekuwa kama Manchester tu inatembelea legacy

Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
 
Kabisaaa halaf kuna mtu anatokea anasema israhell wanapigana kistaarab inastaajabisha
Mpaka wakuu wao wenyewe huko jeshini wanataka kufungua kesi za uchunguzi dhidi ya jeshi lao (ingawa tunajua kama wanauhadaa ulimwengu)
Kwakusema wanapiga mpaka sehem ambazo hazikustahili kupiga tena sio mara moja mbili wala tatu
Maana yake wao wanarusha tu mabomu maadam wanaua basi hawajali
Kwa kuwa wana drone kila jengo linatokea mbele yao ni hamasi
 
Kwahio hamas ina nguvu kuliko israhell maana wao ndio walianza kuwafyeka wazayuni
Iran anaifuta israhell kisayanas yaani anawapiga wakati yeye katulia barazani anakunywa kahwa
Uchumi wa iran unaendelea kama kawaida wakati israhell huko unaambiwa hali tete
sasa kama hamas ndo ina nguvu au haina we jibu si unalo ambae anapoteza vitani ni nani? waarabu wote sasa hivi wanalia kila siku kazi ni kuandamana tu vita visimame kupigana hawawezi, GDP ya israel imeiziidi ya Iran kwa zaidi ya dola bilioni 200 sasa sijui unaongelea uchumi upi shehe ubwabwa?
 
Back
Top Bottom