Israel: Mawaziri Wawili watishia kujiuzulu na Kuvunja Serikali ikiwa Israel itasitisha Mapigano Gaza

Hakuna vita ngumu kama ile ya kupigana na adui ambaye havai sare, na ambaye amejichanganya na raia. Nadhani Marekani ana uzoefu wa kutosha sana kupitia ile vita yake ya miaka 1970's dhidi ya Vietnam.
 
Hamas ni magaidi ? toka lini ?
 
Unawamalizaje Hamas wakati hata uhuru wa Palestine huutaki ?

Yaani unataka kumaliza Hamas hapo hapo unaona kuikoloni Palestine ni sahihi kwako unless uwe mwendawazimu ndio utafikiri Hamas itakwisha.
 
Mnyonge?Mnyonge anavamia,kuua,kutesa,kuteka,kubaka,kulawiti na kurusha viroketi?Mnyonge hutulia aonewe huruma.Mnyonge huishi na wenzie kwa amani.Mnyonge havimbishi misuli wala mishipa.To hell with wanyonge.Wanyongwe tu.
Kwamba harakati za uhuru zilizo kua zikifanywa na waafrika unasema waafrika hawakuwa wanyonge kwa wakoloni ?
 
Kwamba Israel itamaliza Hamas kwa kuuwa wapalestine hapo unaangamiza Hamas au unachochea chuki zaidi juu yako ?

Vitu vingine vinahitaji akili ndogo tu kutambua ukifanyacho ni sahihi au si sahihi.
 
Kwamba kitoto kichanga kuwa hospital ni kosa kwake ?

Kichwani umebeba akili au kinyesi ?!.

Hao IDF si walisema Raffah ni safe area inakuwaje wanaipiga mabomu tena ?
 
Kwamba kitoto kichanga kuwa hospital ni kosa kwake ?

Kichwani umebeba akili au kinyesi ?!.

Hao IDF si walisema Raffah ni safe area inakuwaje wanaipiga mabomu tena ?
Vibaka wenzio wapo pale.Lazima wanyukwe sana hadi adabu iwarudi.
 
Hakuna vita ngumu kama ile ya kupigana na adui ambaye havai sare, na ambaye amejichanganya na raia. Nadhani Marekani ana uzoefu wa kutosha sana kupitia ile vita yake ya miaka 1970's dhidi ya Vietnam.
Vita yoyote ile inayohusu ukoloni na ukombozi sio rahisi kuishinda na ndicho anacho pambana nacho Israel kuzuia ukombozi kwa mabavu.

Hana support yoyote ile ya raia wa Palestine kuunga mkono udhalimu wake.

Ingekuwa vita dhidi ya ugaidi angeshinda lakini vita dhidi ya ukombozi hawezi shinda kamwe anapoteza muda tu hapo Gaza.
 
Palestinians wanajikomboa na nini wewe?Umezaliwa lini wewe?Hebu tulia unywe maji kwanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…