1. We Binti nakuuliza hivi Kwa ubinafsi wako hii nchi ingekuwa huru Leo?
2. Kama Nyerere angekuwa kama wewe angepigana kokote kusini mwa afrika?
3. Kama wewe nani atadai Katiba mpya?
4. Kama wewe si heri ya mbuzi ukimchinja utapata japo mchuzi?
Shangazi, you don't know what you're talking about. Kitulize.
We piga porojo tu mkuu....Gaza is finished...
Unafikiri hii itasaidia nini kwa wagaza ukweli ni kwamba mpaka aamue israel na mshirika wake kumaliza vita lakini hizo kula ni faraja tu ground tabu leleee
Tazama hapa chini support yenu kwa Hamas inavyowasaidia Wapalestina
View: https://x.com/SAzrayev/status/1734711145859068061?s=20
Upumbafu ni mzigo. Kwahiyo pale wapalestina sio kwao? Ni nani anayekataa two states solution? Ni nani anayebomoa makazi ya wakazi na kupanua eneo lake kila kukicha? Unajua mipaka ya nchi ya Israel iliyowekwa na kutambuliwa na umaja wa mataifa? Please kwenye haki, ongelea haki, usipende kuingiza udini kwenye haki kwani kujitia upofu kwenye haki ni kujizurumu mwenyeweUhuru wa kuwaondoa wayahudi kwenye aridhi ya mababu zao na sehemu walipozaliwa,,,,wayahudi sio wakoloni,,,pale ni kwao na wapo pale forever..
Usichanganye mada
TATIZO LA WAARABU NA WAISLAMU NI UNAFIKI..
TENA UNAFIKI WA HISTORIA YA WAYAHUDI..
Upumbafu ni mzigo. Kwahiyo pale wapalestina sio kwao? Ni nani anayekataa two states solution? Ni nani anayebomoa makazi ya wakazk na kupanua eneo lake kila kukicha? Unajua mipaka ya nchi ya Israel iliyowekwa na kutambuliwa umaja wa mataifa. Please kwenye haki, ongelea haki, usipende kuingiza udini kwenye haki kwani kujitia upofu kwenye haki ni kujizurumu mwenyewe
Akikuelewa yeye au huyu mwoshwa bongo (MK254) au wa namna hiyo usiache kutupa mrejesho
Mnabanwa hata huku Afrika
Arusha: Masheikh 6 wahukumiwa kunyongwa hadi kifo
SHURA YA MAIMAMU TANZANIA MASHEIKH SITA 6 WAHUKUMIWA KUNYONGWA ARUSHA LEO Mahakama Kuu Kanda ya Arusha leo tarehe 12/12/2023, imewasomea hukumu Masheikh tisa miongoni mwa wale wanaoshikiliwa na Serikali kwa zaidi ya miaka kumi katika Gereza Kuu la Kisonge Mkoani Arusha. Masheikh hao...www.jamiiforums.com
Jikite kwenye mada. Kuhusiana na hao ikikupendeza, tusome huku:
Napinga masheikh sita wa Kiislamu kupewa adhabu ya kunyongwa hadi kufa
Yaani kila nikisoma hii napata faraja sana kwamba upuzi wenu wenu umekataliwa kote.... Arusha: Masheikh 6 wahukumiwa kunyongwa hadi kifo
Unajua maana hoja kujibiwa kwa hoja?
Waswahili na Porojo ni pete na kidole. Hapa ndio utajua kwanini umaskini umetutafuna, kila jumba na kibaraza cha umbea na kupepeta mdomo. Yasiyo tuhusu tunayashadadia ya kwetu twaweka kando
Kwa mwezi mmoja nitakua nasoma hii link, maana imenifurahisha sana kwa kuona Afrika tumekataa huo upumbavu wenu Arusha: Masheikh 6 wahukumiwa kunyongwa hadi kifo
Pia huku kuna mengine yanaendelea kufurahisha
Video: Magaidi 70 ya HAMAS yaliyokua ndani ya hostpitali yajisalimisha na bunduki zao
Jamaa wameamua isiwe tabu IDF airs clip of gunmen surrendering in northern Gaza hospital, says 70 handed themselves in https://twitter.com/i/status/1735253223751946703www.jamiiforums.com
Kwa mwezi mmoja nitakua nasoma hii link, maana imenifurahisha sana kwa kuona Afrika tumekataa huo upumbavu wenu Arusha: Masheikh 6 wahukumiwa kunyongwa hadi kifo
Pia huku kuna mengine yanaendelea kufurahisha
Video: Magaidi 70 ya HAMAS yaliyokua ndani ya hostpitali yajisalimisha na bunduki zao
Jamaa wameamua isiwe tabu IDF airs clip of gunmen surrendering in northern Gaza hospital, says 70 handed themselves in https://twitter.com/i/status/1735253223751946703www.jamiiforums.com
Sasa hapo jibu si ni kwamba hiyo UN ni kivuli tu cha US? Uwepo wake unasaidia nini sasa!!!Maamuzi yoyote ya UN hayawezi kuwa na nguvu kama US haitaunga mkono kwa 100%.