Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 12,599
- 26,263
1. We Binti nakuuliza hivi Kwa ubinafsi wako hii nchi ingekuwa huru Leo?
2. Kama Nyerere angekuwa kama wewe angepigana kokote kusini mwa afrika?
3. Kama wewe nani atadai Katiba mpya?
4. Kama wewe si heri ya mbuzi ukimchinja utapata japo mchuzi?
Shangazi, you don't know what you're talking about. Kitulize.