Israel ndiyo mbabe wa Mashariki ya Kati

Israel ndiyo mbabe wa Mashariki ya Kati

francoo1

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2014
Posts
1,237
Reaction score
856
Kitendo cha Israel Kumuua Haniya akiwa nchini Iran kwa shambulizi ambalo hata Iran wenyewe hawajui limefanyikaje, kuwapiga wahouth na kulipua maghala yao ya mafuta na kupiga na Lebanon kwa wakati mmoja, kinaonesha kwamba jamaa anamkono wa kupiga mashariki ya kati muda wowote na saa yeyote anayoamua yeye.

Kifo cha kiongozi wa Hamas akiwa nchini Iran pamoja na kifo cha rais wa iran kwa ajali ya helicopta katika mazingira ya kutatanisha kinaonesha kwamba Iran bado ni kama mtoto mdogo anayejaribu kupambana na Baba yake. Kama Israel anafanya mauaji hayo ndani ya ardhi ya Iran je hizo teknologia za Iran zinazosifiwa huku kila siku ziko wapi?

Je, Iran ambae anataka kutawala mashariki ya kati ataweza kupambana na Myahudi?

Iran ajaribu kuwaangalia wenzake Egypt na Saudia walivotulia maana wanamjua vizuri kaka yao Myahudi a.k.a mtoto wa Baba mkubwa.
 
Vita ya pale ghaza imeonesha uwezo halisi wa jeshi la Israeli linapo lipigana vita bila kusaidiwa kieneo kidogo kama ghaza kinawatoa jasho karibia mwaka sasa. Yaani ingetokea vita kati ya Israeli na jwtz ya hapa Tanzania nakuhakikishia ndani ya wiki 2 tu mama Samia angeteua wakuu wapya wa wilaya za Tel aviv,haifa,netanyau, galilee,na, Jerusalem
 
Vita ya pale ghaza imeonesha uwezo halisi wa jeshi la Israeli linapo lipigana vita bila kusaidiwa kieneo kidogo kama ghaza kinawatoa jasho karibia mwaka sasa. Yaani ingetokea vita kati ya Israeli na jwtz ya hapa Tanzania nakuhakikishia ndani ya wiki 2 tu mama Samia angeteua wakuu wapya wa wilaya za Tel aviv,haifa,netanyau, galilee,na, Jerusalem

Duh!

Hivi unajua Gaza ni mji kabisa unakaliwa na watu wote ambao wapo Hamas na raia wasio Hamas?

Ulitaka Israel adondoshe bomu litalofumua mji wa Gaza?
 
Vita ya pale ghaza imeonesha uwezo halisi wa jeshi la Israeli linapo lipigana vita bila kusaidiwa kieneo kidogo kama ghaza kinawatoa jasho karibia mwaka sasa. Yaani ingetokea vita kati ya Israeli na jwtz ya hapa Tanzania nakuhakikishia ndani ya wiki 2 tu mama Samia angeteua wakuu wapya wa wilaya za Tel aviv,haifa,netanyau, galilee,na, Jerusalem
Gaza haijashindikana vita kuisha mapema sema ni hawa magaidi wa hamas kutumia miundo mbinu ya kiraia na kuvaa kiraia kipindi cha mapigano
 
Duh!

Hivi unajua Gaza ni mji kabisa unakaliwa na watu wote ambao wapo Hamas na raia wasio Hamas?

Ulitaka Israel adondoshe bomu litalofumua mji wa Gaza?
Huyo yahudi akipiga huwa anajali kama huyu ni hamas na huyu siye? Mbona siku zote anadondosha mabomu tu na kuuwa watu anaowapenda? Au wale watoto wachanga anaowauwa wote ni hamas?
 
Vita ya pale ghaza imeonesha uwezo halisi wa jeshi la Israeli linapo lipigana vita bila kusaidiwa kieneo kidogo kama ghaza kinawatoa jasho karibia mwaka sasa. Yaani ingetokea vita kati ya Israeli na jwtz ya hapa Tanzania nakuhakikishia ndani ya wiki 2 tu mama Samia angeteua wakuu wapya wa wilaya za Tel aviv,haifa,netanyau, galilee,na, Jerusalem
Wee mjukuu wa allah una shida pahala.Isingekuwa Hamas kujificha nyuma ya raia vita ingekuwa dk tano.
 
Vita ya pale ghaza imeonesha uwezo halisi wa jeshi la Israeli linapo lipigana vita bila kusaidiwa kieneo kidogo kama ghaza kinawatoa jasho karibia mwaka sasa. Yaani ingetokea vita kati ya Israeli na jwtz ya hapa Tanzania nakuhakikishia ndani ya wiki 2 tu mama Samia angeteua wakuu wapya wa wilaya za Tel aviv,haifa,netanyau, galilee,na, Jerusalem
Ila shule ni muhimu Sana ndugu zangu hivi unajua Israel inapigana Gaza Kwa masharti ya kutopiga raia kumbuka hamas ni kikundi kinachojificha katikati ya raia.
Israel hawezi kupiga raia wote wa Gaza ni kinyume cha Haki za binadamu
 
Mbona umechanganyikiwa shehe hata unachoandika kinaonyesha umepagawa na kifo cha Haniyeh bado kidogo kina kuja kifo cha Nasrullah
😄 Tutaona sherehe ya vigelegele Tela Aviv karibuni, hakuna harusi tamu kama kusikia vilio vikitokea Haifa na Tela Aviv karibu kicheko kitabadilika kuwa kilio.
 
Vita ya pale ghaza imeonesha uwezo halisi wa jeshi la Israeli linapo lipigana vita bila kusaidiwa kieneo kidogo kama ghaza kinawatoa jasho karibia mwaka sasa. Yaani ingetokea vita kati ya Israeli na jwtz ya hapa Tanzania nakuhakikishia ndani ya wiki 2 tu mama Samia angeteua wakuu wapya wa wilaya za Tel aviv,hai
apo gaza yamebaki magofu tu jipeni moyo
fa,netanyau, galilee,na, Jerusalem

Vita ya pale ghaza imeonesha uwezo halisi wa jeshi la Israeli linapo lipigana vita bila kusaidiwa kieneo kidogo kama ghaza kinawatoa jasho karibia mwaka sasa. Yaani ingetokea vita kati ya Israeli na jwtz ya hapa Tanzania nakuhakikishia ndani ya wiki 2 tu mama Samia angeteua wakuu wapya wa wilaya za Tel aviv,haifa,netanyau, galilee,na, Jerusalem
apo gaza yamebaki magofu uko lebanon kunawaka moto kaja yemen kichwakichwa kachezea kipigo cha mbwa koko
 
Huyo yahudi akipiga huwa anajali kama huyu ni hamas na huyu siye? Mbona siku zote anadondosha mabomu tu na kuuwa watu anaowapenda? Au wale watoto wachanga anaowauwa wote ni hamas?

Hukuona akitoa tangazo la raia wa kawaida wahamie kusini mwa Gaza ili wapambane na Hamas kwa wepesi...

Vita vya mtaani ni vigumu kuliko vita vya piga popote...
 
Vita ya pale ghaza imeonesha uwezo halisi wa jeshi la Israeli linapo lipigana vita bila kusaidiwa kieneo kidogo kama ghaza kinawatoa jasho karibia mwaka sasa. Yaani ingetokea vita kati ya Israeli na jwtz ya hapa Tanzania nakuhakikishia ndani ya wiki 2 tu mama Samia angeteua wakuu wapya wa wilaya za Tel aviv,haifa,netanyau, galilee,na, Jerusalem
Raia wasio na hatia ndio wanaofanya israel itumie mda mrefu kupambana na Hamas. Jeshi la israel lina huruma Mashallah
 
Huyo yahudi akipiga huwa anajali kama huyu ni hamas na huyu siye? Mbona siku zote anadondosha mabomu tu na kuuwa watu anaowapenda? Au wale watoto wachanga anaowauwa wote ni hamas?
ao watoto wanauliwa na hamas wenyewe kama wanaume kweli wanaendaje kujificha kwa watoto na wamama Israel anajibu mashambulizi ukouko walipo.
 
Ila shule ni muhimu Sana ndugu zangu hivi unajua Israel inapigana Gaza Kwa masharti ya kutopiga raia kumbuka hamas ni kikundi kinachojificha katikati ya raia.
Israel hawezi kupiga raia wote wa Gaza ni kinyume cha Haki za binadamu
Ww ndio hujui hata unachoongea eti Israel hataki kuua raia wakati anashambulia mpk Kambi za wakimbizi amevamia hospitals ameua mpk madokta raia na watoto aliouwa napa Gaza wamefika elf 40
 
Kitendo cha Israel Kumuua Haniya akiwa nchini Iran kwa shambulizi ambalo hata Iran wenyewe hawajui limefanyikaje, kuwapiga wahouth na kulipua maghala yao ya mafuta na kupiga na Lebanon kwa wakati mmoja, kinaonesha kwamba jamaa anamkono wa kupiga mashariki ya kati muda wowote na saa yeyote anayoamua yeye.

Kifo cha kiongozi wa Hamas akiwa nchini Iran pamoja na kifo cha rais wa iran kwa ajali ya helicopta katika mazingira ya kutatanisha kinaonesha kwamba Iran bado ni kama mtoto mdogo anayejaribu kupambana na Baba yake. Kama Israel anafanya mauaji hayo ndani ya ardhi ya Iran je hizo teknologia za Iran zinazosifiwa huku kila siku ziko wapi?

Je, Iran ambae anataka kutawala mashariki ya kati ataweza kupambana na Myahudi?

Iran ajaribu kuwaangalia wenzake Egypt na Saudia walivotulia maana wanamjua vizuri kaka yao Myahudi a.k.a mtoto wa Baba mkubwa.
Maoni yako Ritz Malaria 1 Malaria 2 FaizaFoxy yatasaidia kunusa ukweli
 
Kitendo cha Israel Kumuua Haniya akiwa nchini Iran kwa shambulizi ambalo hata Iran wenyewe hawajui limefanyikaje, kuwapiga wahouth na kulipua maghala yao ya mafuta na kupiga na Lebanon kwa wakati mmoja, kinaonesha kwamba jamaa anamkono wa kupiga mashariki ya kati muda wowote na saa yeyote anayoamua yeye.

Kifo cha kiongozi wa Hamas akiwa nchini Iran pamoja na kifo cha rais wa iran kwa ajali ya helicopta katika mazingira ya kutatanisha kinaonesha kwamba Iran bado ni kama mtoto mdogo anayejaribu kupambana na Baba yake. Kama Israel anafanya mauaji hayo ndani ya ardhi ya Iran je hizo teknologia za Iran zinazosifiwa huku kila siku ziko wapi?

Je, Iran ambae anataka kutawala mashariki ya kati ataweza kupambana na Myahudi?

Iran ajaribu kuwaangalia wenzake Egypt na Saudia walivotulia maana wanamjua vizuri kaka yao Myahudi a.k.a mtoto wa Baba mkubwa.
Uliza tukufundishe kuliko kuleta mada za kiduwanzi.
-Kifo cha Haniyeh kinaweza kufanyika kiwepesi kwasababu Iran kuna wayahudi zaidi ya laki 8 wanaishi,hivyo kumpata pandikizi wa shambulio ni rahisi,ni kama Alshabaab wanavyoshambulia Kenya kiwepesi kwasababu wasomali wapo wengi Kenya,hivyo haimaanishi kubwa Kenya dhaifu mbele ya Somalia.
-Kifo cha Ebrahim Raisi Netanyahu alishakataa na kukanusha kuwa hahusiki kabisa.
-Shambulizi la Yemeni pale Hodeidah limefanywa kwa usaidizi wa mabwana zake wa magharibi.

Usidhani kuwa Lebanon,Yemeni na Gaza hawatalipia kisasi.

-Iran ni mbabe na mtawala wa Middle east kwasababu hakuna taifa linalopingana na yeye pale.Na yeye ndiye mkuu wa axis of resistance.
 
Back
Top Bottom