Israel ndiyo mbabe wa Mashariki ya Kati

Israel ndiyo mbabe wa Mashariki ya Kati

Yaani wewe unayechuuza nyanya hapo Tandale Sokoni ndio uwe na akili kushinda waisraeli hivi una akili timamu kweli..😧😧 Wewe huijui Israel lakini mdogo mdogo utakuja kuifahamu hilo taifa teule.
Hahaha mimi wakuza nyanya tandale labda unanifanisha ns.mjomba wako.
Endeleo kuota mjomba wako huko Tela Aviv yuko kwenye mashimo ya panya ana ogopa kipigo.
 
Back
Top Bottom