Israel ni nchi ya Wayahudi - Netanyahu

Hao waarabu wanafaida gani kuendelea kuwepo huko?

Waondoke kama hawataki wapelekewe moto usiku na mchana.
baadae utasikia account ilikuwa hacked [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Naomba nieleweshwe kdgo, wanasema waisrael ni taifa takatifu la Mungu na wao ni wana wa Mungu(according to the bible), swali-inamana mauaji wanayoyafanya yote yana baraka zote za Mungu? Naomba nijibiwe.
 
Ukienda kwenye dini mvamizi ni Myahudi alitoka Misri akaenda hapo alipo na aliwakuta watu ,kabla ya kwenda Misri Kwa njaa Wayahudi walikuwa wanaishi wapi? Walikotoka kabla ndio kwao ila sio hapa Kwa Wapalestina huu ni uongo.
Hata kabla ya kwenda uhamiji misri walitokea hapo hapo kaanani au israel ya leo.
 
WW ni mjinga samahani sana kwa hilo
 
Sio kweli maana walipigana kuondoa wenyeji soma vizuri historia
 

Baada ya kugawanywa na kupewa mipaka wapalestina wakashawishiwa na waarabu wenzao wakatae mipaka ya UN,roho mbaya imewakost.
 
That says Benjamin
 
Anayebisha Israel ni nchi ya wayahudi atabisha kila kitu
 

Attachments

  • 20231112_103053.jpg
    151.2 KB · Views: 3
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…