Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 7,681
- 9,892
Mimi ni dogo naweza kuwa baba yako shenzi type, unajua umri wangu.Dogo acha kuchanganya mafaili pia toa upuuzi uliojazwa huko madrasa,uyahudi ndio unahistoria kamli juu ya habari za ibrahimu na kizazi chake chote.
Hatuwezi amini kurwani kwasababu ni kitabu kilichotungwa na watu wenye chuki dhidi ya uyahudi na ukristo.
Sa we unaye sema ukristo ni dini nionyeshe wapi bibilia yenu inasema ukristo dini.
Na huyo myahudi katokana na nani kama sio kwenye kizazi cha Ishaq, kwa hio elewa mwarabu ndio zalio la kwanza la Ibrahim kabla ya wayahudi.