Alafu ndio nchi zao zinakupa misaada wewe mtanzagiza bila wao unakufa kwa kukosa madawa, chakula na teknolojia. Tuache kutumia vitu vyao tutumie vya china na kwingineAibu tupu walahi
Ni mambo ya kishirikina walahi
Piga chini milele yote walahi
Acha na kutumia vitu vyao tumia vya wachina.Ikiwa huku ndiko kumtegemea Mungu, ?? Inabidi Bashite aombe radhi 😛😛😛😛😛
Welcome to Tel Aviv, the gayest city on earth - The Boston Globe
View attachment 938251
Tel Aviv trumps New York to be named world's best gay city | Daily ...
Daily Mail
Tel Aviv trumps New York to be named world's best gay city | Daily Mail Online
Tel Aviv trumps New York to be named world's best gay city | Daily Mail Online
Ungehariri basi kaka😂😂😂😂 "The most popular destinations for gay travellers" Ungetoa hii inaondoa maana ya ulichotaka kukikusudia ngoja.
.
Kumbe hiyo miji haina mashoga ila mashoga husafiri kwenda huko!!! 😱
Acha na kutumia vitu vyao tumia vya wachina.
NB: siungi mkono ushoga ila hatuna namna.
Mkuu umeandika vyema sana ila mwishoni umeharibu kabisa "Kufutwa rasmj kwa taifa hilo la kidhalimu linalokalia kimabavu ardhi ya watu' hapa umeweka udini mbele ambao umesema tuuweke pembeni.Mkuu Khaligraph Jordan nataka tuwe objective sio subjective ili tuweze kupata ukweli mahaba ya kidini tuweke pembeni ili tujadili kwa uhuru.
1. Nimesema kwenye recent history hata kabla ya taifa la Israel kuanzishwa 1948 hao Israel walikuwa wanatandikwa mwanzo mwisho kiufupi tokea zile uprising zao dhidi ya Roman Empire mpaka 1943 walipounda jeshi lao kutetea wayahudi wa kipoland "polish ghetto uprising" wao ilikuwa vipigo tu na nmekupa heist yao kwamba kwenye hyo uprising ya mwisho walitandikwa,kutekwa na kuchinjwa wanajeshi 75,000 wa kiyahudi sasa kama hoja yako kuwa waisrael hawatandikwi sababu wana Mungu unawezaje kueleza hili?? Ina maana kabla ya 1948 hawakuwa na Mungu??
2. Bila marekani unasema Israel inaweza survive?? Wote tunafahamu military aid kwa billions of dollars inatolewa na marekani kila mwaka na hata msaada wa kidiplomasia mfano Trump aliutambua Jerusalem kuwa mji mkuu na hata alienda kushawishi wamachama wa UN wautambue pia ingawa aligonga mwamba na hata marekani ndio kikwazo kwa kuundwa taifa la palestina na kutambuliwa sasa unawezaje kusema Israel inasurvive bila ya Israel?? Narudi palepale kwanini kabla ya 1948 Wayahudi bila support ya mmarekani walikuwa wanatandikwa kila kona ya dunia ila baada ya kuwafanya vibaraka wao 1948 ndio Israel ikawa taifa strong?? Je huoni kuna correlation kati ta support ya marekani na kuongezeka kwa nguvu za kijeshi za Israel??
3. Na kingine inatakiwa tufahamu hao wazungu wanamsupport Israel sio sababu ya dini maana kuna mataifa mengi tu ya kikristo wazungu wanasupport vikundi vya kigaidi vya kiislam ila wanaisupport sababu ndio mshirika pekee ambaye sio majority muslim hapo mashariki ya kati na yupo strategic kwa faida za baadae mfano vita dhidi ya Iran,syria,Iraq n.k hao wazungu wanaona Israel ndio itakuwa base of operations na ndio maana wanamtumia kudhoofisha waarabu ila kama suala ni dini unaweza nieleza kwanini wayahudi kabla ya 1948 waliuawa na hayo mataifa uliyotaja mfano uhispania waliwahi timua kabisa wayahudi na kuwachinja,Ufaransa pia iliwahi fanya hivyo miaka ya 1000s hapo bado huko ulaya mashariki na Urusi wayahudi waliwahi chinjwa na kutimuliwa je kama issue ni dini kwanini hawakuwalinda zamani eti leo wawe upande wao??? Huoni kuna sababu kubwa zaidi ya dini inayowafanya wamtumie Israel kama kibaraka?
4. Unaposema hakuna taifa lenye historia kubwa ya vita kama Israel una maana gani?? Hivi Israel ilishawahi hata kujenga empire hapa duniani kama walivyofanya Ottoman empire ama Golden horde ya mongolia?? Kama hawajawahi je unajua basis gani kujenga hoja kuwa Israel ndio inahistoria kubwa zaidi ya vita kuliko taifa jingine lolote duniani
5. Hapo pia unasema Israel hawajawahi kupigwa au kufa wengi kuliko maadui ila kuna kitu kimoja unasahau. Hao Israel mara nyingi huwa wana counter attack wakihisi una mpango wa kuvamia hivyo vita inamalizwa kwenye ardhi yako na hivyo vifo vingi lazima viwe upande wa adui na sio Israel ila wangekuwa wanasubiri wavamiwe wa kwanza obvious vita ingepiganwa kwenye mitaa ya Israel hivyo wangekufa Israelites wengi kuliko maadui mbona iko wazi kabisa hii. Ukitaka kuona hili jikumbushe Yom kippur war ambapo baadhi ya maeneo Israel ilishambuliwa bila kugundua mapema na ndio maana mwanzoni mwa Vita Israel alizidiwa kabisa na kama sio mkono wa Wamarekani leo tungekuwa tunaongea mengine kwahiyo ikitokea mataifa ya uarabuni yakavamia kwa counter attack hiyo Israel watakufa wengi sana tu na penginepo kufutwa rasmi iwa taifa hilo la kidhalimu linalokaliza kimabavu ardhi ya watu.
Vipi na mazaga yao utaacha kutumia?JERUSALEM HIYO , MAMBO MOTO MOTO
View attachment 938283
JERUSALEMU ; MAMBO MOTOMOTO
GONGA HAPO CHINI
http://footage.framepool.com/mov/423-832-149.mp4
Alafu ndio nchi zao zinakupa misaada wewe mtanzagiza bila wao unakufa kwa kukosa madawa, chakula na teknolojia. Tuache kutumia vitu vyao tutumie vya china na kwingine
.
NB: siungi mkono ushoga.
Mkuu umeandika vyema sana ila mwishoni umeharibu kabisa "Kufutwa rasmj kwa taifa hilo la kidhalimu linalokalia kimabavu ardhi ya watu' hapa umeweka udini mbele ambao umesema tuuweke pembeni.
Sina cha kuongeza mpaka uuondoe udini kwanza.
Ni kweli , kwa hali hii
WORLD'S TOP GAY CITIES
The most popular destinations for gay travellers, as voted for by readers of GayCities.com, are:
1. Tel Aviv - 43 per cent
2. New York - 14 per cent
3. Toronto - 7 per cent
4. Sao Paolo - 6 per cent
5 London - 5 per cent
6 Madrid - 5 per cent
7. New Orleans - 4 per cent
8. Mexico City - 4 per cent
mbona huyu wanaye mgeza huja muweka [emoji117] View attachment 938294
mbona huyu wanaye mgeza huja muweka [emoji117] View attachment 938294
mbona huyu wanaye mgeza huja muweka [emoji117] View attachment 938294
Vipi na mazaga yao utaacha kutumia?
mbona huyu wanaye mgeza huja muweka [emoji117] View attachment 938294
Cha mmarekani, na muingereza huna pia?😱Sina kitu natumia cha myahudi wala sina haja na mavi yao😛😛😛😛😛
Cha mmarekani, na muingereza huna pia?😱
😂😂😂😂😂😂 Huna namna mkuu wamarekani si ndio haohao wanaofanya ushoga kama wayahudi kwa mujibu wa maelezo yako acha kutumia vitu vyaoCha mmarekani , nilifikiri cha myahudi 😛😛😛
Hapana mkuu sijaweka udini bali kuliita taifa dhalimu hiyo ni kauli ya kidiplomasia kuelezea matendo ya nchi moja kuikalia kimabavu nchi nyingine huru mfano crime kukaliwa na Urusi,western Sahara kukaliwa na Morocco kote huku tunaita ni tawala dhalimu bila kujali ni dini gani inatawala so naomba usiingalie kwa jicho la kidini bali kisiasa zaidi.Mkuu umeandika vyema sana ila mwishoni umeharibu kabisa "Kufutwa rasmj kwa taifa hilo la kidhalimu linalokalia kimabavu ardhi ya watu' hapa umeweka udini mbele ambao umesema tuuweke pembeni.
Sina cha kuongeza mpaka uuondoe udini kwanza.
“Do we really want to entrust our souls to a man who had a disciple who ran around with nothing but a towel on?” (John 21:7)