Israel toka 1948 na Jeshi la IDF

Israel toka 1948 na Jeshi la IDF

Mkuu sidhani kama umesoma thread yote.
.
Israel haijawahi kupigwa vita yoyote, haijawahi kuuliwa watu wake kwa kiasi kikubwa kuliko maadui zake watakavyokufa toka mwaka 1948 hadi leo.
.
Kuhusu mmarekani bila yeye hakuna Israel hapo unajidanganya yeye kama yeye hata leo hii anaouwezo wa kuwapiga waarabu wotee, kwa uwezo gani walionao?

Kwanza kabisa irael anajua amezungukwa na mataifa ya namna gani, anajua wanania gani dhidi yake, wanatamani apatwe na nini n.k.

Hivyo Israel kajipanga sana kijeshi kuliko mataifa ya kiarabu na hata yasiyo ya kiarabu yanayohasimiana nae.
.
Israel ni nuclear power country brother akiwemo Russia, US n.k muarabu analijua hili hawezi thubutu cheza na Israel zaidi ya kutaka tu "Negotiations".
.
Mataifa ya kikristo ndio yenye nguvu kubwa kuliko ya kiarabu achilia mbali mataifa ambayo yamejipambanua serikari zake hazina dini. Ila Germany, France, Denmark, Us, Brazil, Italy na mengineyo mengiiiii yako side ya israel hata Russia mwenyewe sema kwanini vita ikitokea baina ya waarabu na Israel atakuwa upande wa waarabu wakati wao ni taifa lenye idadi kubwa ya wakristo? Kwa sababu za kibiashara ili nao angalau wawe taifa lenye uchumi mkubwa zaidi duniani waepuke " Sanctions " za US.
.
Hitimisho
Tukirejea maandiko matakatifu ya Bible 2Kings 6:22,23 tunapata kujua wema wa mungu ubaya haulipwi kwa ubaya bali wema unalipwa kwa ubaya.
Elisha alikuwa mtu wa maono aliyemtonya mfalme wa israel juu ya mipango ya kutaka kuuangamiza ufalme wao hivyo kila anapopanga mikakati mfalme wa Syria Elisha alikuwa akipata maono, wakipanga kuwavamia Haifa wanakuta wamekwishaondoka Elisha alikuja kupata maono ya wanajeshi wa Syria waliopanga kumteka elisha lakini wao ndio waliotekwa badala ya kumteka Elisha na mfalme wa Israel kuamuru wauwawe lakink Elisha alishauri waachiwe wakasimlie matendo makuu waliyotendewa.
Brother hakuna taifa lenye historia kubwa ya kijeshi kama israel
Hata hitler hakuwaua,aliua wawili tu nasikia.
 
Ngoja niweke jiwe!!
Usimuwekee jiwe mwache tu ajiliwaze akule raha juu ya gongo yako waafrika laana au tujiite wafirika yaani tunafirika kwa weupe babaaa yakuhusu nini wewe kutukana viongozi wa watu halafu hapohapo unaweka picha mwanajeshi shoga wa kizungu
Hatujiwezi wafirika kila kitu tumeletewa na weupe
1. Dini
2. Ustaarabu
3. Kula
4. Chakula
5. Nguo
6. Kijustiri chini
Maanae tulikuwa tunakunya porini ma mpaka leo kwenye miji yetu tena wala sio vijijini hakuna vyoo
Kwa hiyo nyamaza na pambana na hali yako
 

HULAUMIKI KOJO LA PUNDA WA EZEKIEL 23:20 LIMEKULEVYA , ENDELEA KUABUDU SHOGA CESARE BORGIA , KAM A MUNGU




unaokota kadi za kliniki za wagonjwa wa ukimwi unatupia humu [emoji15] [emoji12] weka ayat toka Vitabu deen/Imani ili uthibitishe kweli yako [emoji106] gavana kwa nini hukumuorodhesha baba kasim kwenye orodha yako ya mashoga [emoji350] [emoji350] [emoji344] [emoji117]
IMG_20181119_080411_945.jpg
IMG_20181119_080508_638.jpg
na kaagiza wakisha fumuana waoge [emoji117]
IMG_20180530_224415_217.jpg
 
Israel si lolote si chochote bila ya marekani kuwadhamini silaha na pesa na ndio maana kabla ya kupewa hako ka-ardhi na hao wazungu huko nyuma walikuwa wanapigwa tu mwanzo mwisho.

Mfano huko poland 1943 wayahudi waliunda jeshi kuzuia mauaji ya wayahudi wenzao ila zaidi ya wayahudi 75 elfu walichinjwa au kupotezwa ama kutekwa.

Hapo usisahau huko uhispania kwenye first crusade na huko ufaransa kwenye second second crusade walichinjwa kama kuku

Yaani kwa ufupi hakuna vita waliowahi shinda kwenye open play ila baada ya kuwekwa hapo na wazungu ndio wanawapa kiburi ila leo mmarekani akiachana na Israel asubuhi tu wanatandikwa ila nashangaa Kuna watu mnadai wanashinda kisa wana Mungu as if kabla ya kupewa hicho kiardhi kwa mabavu hawakuwa na Mungu wao!!

Tuache propaganda kiufupi bila marekani hakuna Israel that's all i can say
chuki binafsi mbaya sana,waarabu waliuziwa na urusi silaha kali na madege ya vita mengi,vifaru vingi,,hilo hulioni,ila unaongea mambo ya kufikirika,,weka ushahidi marekani alituma wanajeshi wangapi,vifaru vingapi,ndege ngapi,siku hizi hakuna siri,yote huandikwa..
 
Mwanzilishi wa uzi hakuwa hata amefungwa mawazo yake na mitazamo ya kiyaudi, kikristu au kiislamu..sasa sijui wachangiaji hizi hoja za nini...
 
chuki binafsi mbaya sana,waarabu waliuziwa na urusi silaha kali na madege ya vita mengi,vifaru vingi,,hilo hulioni,ila unaongea mambo ya kufikirika,,weka ushahidi marekani alituma wanajeshi wangapi,vifaru vingapi,ndege ngapi,siku hizi hakuna siri,yote huandikwa..
Ushahidi?? Si nimeshasema hapo kabla ya 1948 mbona hakuna vita hao wayahudi wamewahi shinda kama kweli wana Mungu au hawakuwa na Mungu kabla ya 1948??

Kama ushahidi tu wa uwepo wa marekani kwenye vita ile je unakumbuka tukio la USS Liberty meli ya kijasusi ya marekani ilivyokosewa na ikalipuliwa na wayahudi wenyewe??? Je unajua kazi yake hyo meli kwenye ile vita?? Embu kaitafute alafu ndio urudi useme marekani hakuwa na mkono kwenye hiyo vita.

images (76).jpg


Ukimaliza pitia hii link ya Reuters usome historia ya mahusiano kati ya marekani na hao vibaraka wao Israel ndio urudi useme Mungu ndio anawasaidia sio marekani!!
TIMELINE: U.S.-Israeli relations since 1948 | Reuters

Anyway naomba uje na mfano wa vita yeyote ambayo jeshi la wayahudi limewahi shinda kabla ya 1948?? Yeyote tu hata na vibonde wao palestina alafu ndio tuanzie hapo uje na fact sio na mahaba ya kidini tena hii ni JF sio facebook.
 
Ushahidi?? Si nimeshasema hapo kabla ya 1948 mbona hakuna vita hao wayahudi wamewahi shinda kama kweli wana Mungu au hawakuwa na Mungu kabla ya 1948??

Kama ushahidi tu wa uwepo wa marekani kwenye vita ile je unakumbuka tukio la USS Liberty meli ya kijasusi ya marekani ilivyokosewa na ikalipuliwa na wayahudi wenyewe??? Je unajua kazi yake hyo meli kwenye ile vita?? Embu kaitafute alafu ndio urudi useme marekani hakuwa na mkono kwenye hiyo vita.

View attachment 939811

Ukimaliza pitia hii link ya Reuters usome historia ya mahusiano kati ya marekani na hao vibaraka wao Israel ndio urudi useme Mungu ndio anawasaidia sio marekani!!
TIMELINE: U.S.-Israeli relations since 1948 | Reuters

Anyway naomba uje na mfano wa vita yeyote ambayo jeshi la wayahudi limewahi shinda kabla ya 1948?? Yeyote tu hata na vibonde wao palestina alafu ndio tuanzie hapo uje na fact sio na mahaba ya kidini tena hii ni JF sio facebook.
ni kweli kwamba vita hizo israel alishinda kwa kua US alikua nyuma yake coz alimsaidia sana katika intelijinsia, US alitumia meli kufanya intelijinsia na ndege kali sana za intelijinsia, pia aliwapa silaha nyingi, ila pia muarabu naye hakua peke yake kumbuka na yeye alisapotiwa sana na mrusi kwa mandege mavifaru na mabunduki so hapo usije sema eti israel alishinda kwa sababu ya marekani mbona pia muarabu alisaidiwa na mrusi lakini hajashinda?

kumbuka kila taifa lina marafiki so linapopata shida labda vita marafiki lazima watashiriki..mfano vita vya syria tumeona mataifa ya iran, urusi, hezbolah yakiwa upande wa syria na ushiriki wao ndio umewawezesha syria kushinda vita ile so hapo utasema kwamba ushindi wa syria ni batili kwa sababu kasaidiwa? ushindi ni ushindi tu. so usiseme fulani kashinda kwa sababu eti amesaidiwa
 
Ushahidi?? Si nimeshasema hapo kabla ya 1948 mbona hakuna vita hao wayahudi wamewahi shinda kama kweli wana Mungu au hawakuwa na Mungu kabla ya 1948??

Kama ushahidi tu wa uwepo wa marekani kwenye vita ile je unakumbuka tukio la USS Liberty meli ya kijasusi ya marekani ilivyokosewa na ikalipuliwa na wayahudi wenyewe??? Je unajua kazi yake hyo meli kwenye ile vita?? Embu kaitafute alafu ndio urudi useme marekani hakuwa na mkono kwenye hiyo vita.

View attachment 939811

Ukimaliza pitia hii link ya Reuters usome historia ya mahusiano kati ya marekani na hao vibaraka wao Israel ndio urudi useme Mungu ndio anawasaidia sio marekani!!
TIMELINE: U.S.-Israeli relations since 1948 | Reuters

Anyway naomba uje na mfano wa vita yeyote ambayo jeshi la wayahudi limewahi shinda kabla ya 1948?? Yeyote tu hata na vibonde wao palestina alafu ndio tuanzie hapo uje na fact sio na mahaba ya kidini tena hii ni JF sio facebook.
kabla ya mwaka 48 wayahudi hawakua na jeshi coz walikua bado hawana taifa...labda walikua tu wanavikundi vikundi vya wanamgambo
 
ni kweli kwamba vita hizo israel alishinda kwa kua US alikua nyuma yake coz alimsaidia sana katika intelijinsia, US alitumia meli kufanya intelijinsia na ndege kali sana za intelijinsia, pia aliwapa silaha nyingi, ila pia muarabu naye hakua peke yake kumbuka na yeye alisapotiwa sana na mrusi kwa mandege mavifaru na mabunduki so hapo usije sema eti israel alishinda kwa sababu ya marekani mbona pia muarabu alisaidiwa na mrusi lakini hajashinda?

kumbuka kila taifa lina marafiki so linapopata shida labda vita marafiki lazima watashiriki..mfano vita vya syria tumeona mataifa ya iran, urusi, hezbolah yakiwa upande wa syria na ushiriki wao ndio umewawezesha syria kushinda vita ile so hapo utasema kwamba ushindi wa syria ni batili kwa sababu kasaidiwa? ushindi ni ushindi tu. so usiseme fulani kashinda kwa sababu eti amesaidiwa
Mkuu labda sikueleweka hakuna mahali nimelinganisha Israel kushinda warabu sababu ya marekani nachosema Israel imeshinda baada ya 1948 sababu ya support ya marekani UKILINGANISHA na kabla ya 1948 na nimetoa mfano wa jeshi la kiyahudi la poland waliochakazwa kwa malaki yao nmetoa mfano wa spain na ufaransa walipocharazwa so unapocompare usiongelee waarabu ongelea majeshi ya kiyahudi ya kabla ya 1948??

2. Unasema hawakuwa na jeshi bali vikundi?? Are you serious?? Walipochakazwa na Roman Empire 70 AD walikuwa ni kikundi cha mgambo???.... Kingine issue sio kuwa kikundi au jeshi hoja ni kwamba wayahudi eti wana jeshi bora zaidi ndio natoa mfano kabla hawajakalia kimabavu hiyo ardhi ya palestina walishawahi kalia ardhi zingine kiwizi wizi huko hispania china Russia ujerumani poland France n.k na kote huko walikuwa wanatandikwa so kuwa na nchi sio hoja maana kuna vikundi kama FARC havina jeshi ila kwa miaka kibao vimeitesa dunia so hiyo sio hoja.

Sasa nachotaka tusaidiane je ni lini wayahudi wamewahi shinda vita kabla ya 1948?? Kama hawajawahi kipi kinawaaminisha kuwa wanashinda vita za sasa sababu ya uwezo wao sijui taifa la Mungu na sio before 1948?? Kama issue ni nchi mbona kabla ya hapo walipewa maeneo kadhaa huko nyuma waishi ila bado vipigo pale pale??

Karibu
 
Israel si lolote si chochote bila ya marekani kuwadhamini silaha na pesa na ndio maana kabla ya kupewa hako ka-ardhi na hao wazungu huko nyuma walikuwa wanapigwa tu mwanzo mwisho.

Mfano huko poland 1943 wayahudi waliunda jeshi kuzuia mauaji ya wayahudi wenzao ila zaidi ya wayahudi 75 elfu walichinjwa au kupotezwa ama kutekwa.

Hapo usisahau huko uhispania kwenye first crusade na huko ufaransa kwenye second second crusade walichinjwa kama kuku

Yaani kwa ufupi hakuna vita waliowahi shinda kwenye open play ila baada ya kuwekwa hapo na wazungu ndio wanawapa kiburi ila leo mmarekani akiachana na Israel asubuhi tu wanatandikwa ila nashangaa Kuna watu mnadai wanashinda kisa wana Mungu as if kabla ya kupewa hicho kiardhi kwa mabavu hawakuwa na Mungu wao!!

Tuache propaganda kiufupi bila marekani hakuna Israel that's all i can say
Mbona waarabu wanakuja nchi zaidi ya sita na husemi.. huoni kama na wao ni kama wanasaidiana. Kwanini wasije mmoja mmoja badala yake wanakusanyana kijiji ndio wanakuja kumpiga mtu mmoja Israel?
Wana muogopa!

Kuhusu wayahudi kuuliwa huko spain na poland ni kuwa huko hawakuwa kama taifa, walikuwa tu kama makundi... Hawakuwa taifa kamili..

Israel ni taifa la Mungu, taifa teule na atakaye pigana nae anapigana na Mungu!
 
Mbona waarabu wanakuja nchi zaidi ya sita na husemi.. huoni kama na wao ni kama wanasaidiana. Kwanini wasije mmoja mmoja badala yake wanakusanyana kijiji ndio wanakuja kumpiga mtu mmoja Israel?
Wana muogopa!

Kuhusu wayahudi kuuliwa huko spain na poland ni kuwa huko hawakuwa kama taifa, walikuwa tu kama makundi... Hawakuwa taifa kamili..

Israel ni taifa la Mungu, taifa teule na atakaye pigana nae anapigana na Mungu!
Hahahah kazi sana..... watu mnasema Israel ni watu wa MUNGU ndio maana hawapigwi si ndio?? ..... sasa walipokuwa wanatandikwa walikuwa hawana huyo Mungu ama huyo Mungu huwa anawapigania wakiwa taifa tu na sio kikundi???

Embu tuanzie hapo kwanza
 
Back
Top Bottom