Israel toka 1948 na Jeshi la IDF

Hata hitler hakuwaua,aliua wawili tu nasikia.
 
Ngoja niweke jiwe!!
Usimuwekee jiwe mwache tu ajiliwaze akule raha juu ya gongo yako waafrika laana au tujiite wafirika yaani tunafirika kwa weupe babaaa yakuhusu nini wewe kutukana viongozi wa watu halafu hapohapo unaweka picha mwanajeshi shoga wa kizungu
Hatujiwezi wafirika kila kitu tumeletewa na weupe
1. Dini
2. Ustaarabu
3. Kula
4. Chakula
5. Nguo
6. Kijustiri chini
Maanae tulikuwa tunakunya porini ma mpaka leo kwenye miji yetu tena wala sio vijijini hakuna vyoo
Kwa hiyo nyamaza na pambana na hali yako
 

HULAUMIKI KOJO LA PUNDA WA EZEKIEL 23:20 LIMEKULEVYA , ENDELEA KUABUDU SHOGA CESARE BORGIA , KAM A MUNGU



unaokota kadi za kliniki za wagonjwa wa ukimwi unatupia humu [emoji15] [emoji12] weka ayat toka Vitabu deen/Imani ili uthibitishe kweli yako [emoji106] gavana kwa nini hukumuorodhesha baba kasim kwenye orodha yako ya mashoga [emoji350] [emoji350] [emoji344] [emoji117] na kaagiza wakisha fumuana waoge [emoji117]
 
chuki binafsi mbaya sana,waarabu waliuziwa na urusi silaha kali na madege ya vita mengi,vifaru vingi,,hilo hulioni,ila unaongea mambo ya kufikirika,,weka ushahidi marekani alituma wanajeshi wangapi,vifaru vingapi,ndege ngapi,siku hizi hakuna siri,yote huandikwa..
 
Mwanzilishi wa uzi hakuwa hata amefungwa mawazo yake na mitazamo ya kiyaudi, kikristu au kiislamu..sasa sijui wachangiaji hizi hoja za nini...
 
Ushahidi?? Si nimeshasema hapo kabla ya 1948 mbona hakuna vita hao wayahudi wamewahi shinda kama kweli wana Mungu au hawakuwa na Mungu kabla ya 1948??

Kama ushahidi tu wa uwepo wa marekani kwenye vita ile je unakumbuka tukio la USS Liberty meli ya kijasusi ya marekani ilivyokosewa na ikalipuliwa na wayahudi wenyewe??? Je unajua kazi yake hyo meli kwenye ile vita?? Embu kaitafute alafu ndio urudi useme marekani hakuwa na mkono kwenye hiyo vita.



Ukimaliza pitia hii link ya Reuters usome historia ya mahusiano kati ya marekani na hao vibaraka wao Israel ndio urudi useme Mungu ndio anawasaidia sio marekani!!
TIMELINE: U.S.-Israeli relations since 1948 | Reuters

Anyway naomba uje na mfano wa vita yeyote ambayo jeshi la wayahudi limewahi shinda kabla ya 1948?? Yeyote tu hata na vibonde wao palestina alafu ndio tuanzie hapo uje na fact sio na mahaba ya kidini tena hii ni JF sio facebook.
 
ni kweli kwamba vita hizo israel alishinda kwa kua US alikua nyuma yake coz alimsaidia sana katika intelijinsia, US alitumia meli kufanya intelijinsia na ndege kali sana za intelijinsia, pia aliwapa silaha nyingi, ila pia muarabu naye hakua peke yake kumbuka na yeye alisapotiwa sana na mrusi kwa mandege mavifaru na mabunduki so hapo usije sema eti israel alishinda kwa sababu ya marekani mbona pia muarabu alisaidiwa na mrusi lakini hajashinda?

kumbuka kila taifa lina marafiki so linapopata shida labda vita marafiki lazima watashiriki..mfano vita vya syria tumeona mataifa ya iran, urusi, hezbolah yakiwa upande wa syria na ushiriki wao ndio umewawezesha syria kushinda vita ile so hapo utasema kwamba ushindi wa syria ni batili kwa sababu kasaidiwa? ushindi ni ushindi tu. so usiseme fulani kashinda kwa sababu eti amesaidiwa
 
kabla ya mwaka 48 wayahudi hawakua na jeshi coz walikua bado hawana taifa...labda walikua tu wanavikundi vikundi vya wanamgambo
 
Mkuu labda sikueleweka hakuna mahali nimelinganisha Israel kushinda warabu sababu ya marekani nachosema Israel imeshinda baada ya 1948 sababu ya support ya marekani UKILINGANISHA na kabla ya 1948 na nimetoa mfano wa jeshi la kiyahudi la poland waliochakazwa kwa malaki yao nmetoa mfano wa spain na ufaransa walipocharazwa so unapocompare usiongelee waarabu ongelea majeshi ya kiyahudi ya kabla ya 1948??

2. Unasema hawakuwa na jeshi bali vikundi?? Are you serious?? Walipochakazwa na Roman Empire 70 AD walikuwa ni kikundi cha mgambo???.... Kingine issue sio kuwa kikundi au jeshi hoja ni kwamba wayahudi eti wana jeshi bora zaidi ndio natoa mfano kabla hawajakalia kimabavu hiyo ardhi ya palestina walishawahi kalia ardhi zingine kiwizi wizi huko hispania china Russia ujerumani poland France n.k na kote huko walikuwa wanatandikwa so kuwa na nchi sio hoja maana kuna vikundi kama FARC havina jeshi ila kwa miaka kibao vimeitesa dunia so hiyo sio hoja.

Sasa nachotaka tusaidiane je ni lini wayahudi wamewahi shinda vita kabla ya 1948?? Kama hawajawahi kipi kinawaaminisha kuwa wanashinda vita za sasa sababu ya uwezo wao sijui taifa la Mungu na sio before 1948?? Kama issue ni nchi mbona kabla ya hapo walipewa maeneo kadhaa huko nyuma waishi ila bado vipigo pale pale??

Karibu
 
Mbona waarabu wanakuja nchi zaidi ya sita na husemi.. huoni kama na wao ni kama wanasaidiana. Kwanini wasije mmoja mmoja badala yake wanakusanyana kijiji ndio wanakuja kumpiga mtu mmoja Israel?
Wana muogopa!

Kuhusu wayahudi kuuliwa huko spain na poland ni kuwa huko hawakuwa kama taifa, walikuwa tu kama makundi... Hawakuwa taifa kamili..

Israel ni taifa la Mungu, taifa teule na atakaye pigana nae anapigana na Mungu!
 
Hahahah kazi sana..... watu mnasema Israel ni watu wa MUNGU ndio maana hawapigwi si ndio?? ..... sasa walipokuwa wanatandikwa walikuwa hawana huyo Mungu ama huyo Mungu huwa anawapigania wakiwa taifa tu na sio kikundi???

Embu tuanzie hapo kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…