Israel toka 1948 na Jeshi la IDF

Israel toka 1948 na Jeshi la IDF

😀😀😀 ulipaswa ukubali tu bila chuki WAISRAEL NI VERY SMART. jamaa wapo vizuri sana. Hayo mataifa mengine yamekuwa yakisaidia na ussr na yakisadiana yenyewe kwa yenyewe bado yameshindwa kuiondoa israel ilipo. Tunaweza tukawa tunawachukia waisrael ila kwenye credit tuwape credit
Waisrael very smart compared to who?? Mbona IQ wise wamezidiwa hata na ASEAN countries kama S.Korea na malaysia?? Au mnatoaga wapi data kusema Israel ni bright kuliko mataifa mengine.

Kingine elewa hoja yangu.... Nachouliza mbona before 1948 Israel (Jews) walikuwa wakiunda majeshi wanapigwa au hizo akili na nguvu wamezipata post-1948?? Ndio maana nikasema kuanzia 1948 wamekuwa wakipata support kubwa toka USA na UK na ndio ina wasustain mpaka sasa mfano ona UN kule palestina kuwa taifa imekuwa kikwazo kisa US, hata issue ya Israel kuadhibiwa kwa kuvamia makazi ya Palestina imekuwa shida sababu ya mgongo wa USA kwahiyo ni mfia dini tu ndio atakayesema Israel ina survive bila msaada wa US.

Sasa naomba unisaidie mkuu kama Israelites wana akili sana na nguvu ilikuwaje majeshi yao mfano ZZW kutandikwa vibaya sana kwenye World war 2 au 1st and 2nd crusades za millenium ya kwanza huko france na spain??

Pia kwanini hakuna vita wamewahi shida kabla ya 1948 ila wameanza kushinda baada ya kuwa rafiki wa US post-1948?? Kma wana akili iweje baada ya 1948 na sio kabla?? Kama ni taifa teule iweje baada ya 1948 na sio kabla??

Ukiweza nisaidia hapa ndio ntakuelewa maana utakuwa umenipa facts sio illusions za kidini
 
Waisrael very smart compared to who?? Mbona IQ wise wamezidiwa hata na ASEAN countries kama S.Korea na malaysia?? Au mnatoaga wapi data kusema Israel ni bright kuliko mataifa mengine.

Kingine elewa hoja yangu.... Nachouliza mbona before 1948 Israel (Jews) walikuwa wakiunda majeshi wanapigwa au hizo akili na nguvu wamezipata post-1948?? Ndio maana nikasema kuanzia 1948 wamekuwa wakipata support kubwa toka USA na UK na ndio ina wasustain mpaka sasa mfano ona UN kule palestina kuwa taifa imekuwa kikwazo kisa US, hata issue ya Israel kuadhibiwa kwa kuvamia makazi ya Palestina imekuwa shida sababu ya mgongo wa USA kwahiyo ni mfia dini tu ndio atakayesema Israel ina survive bila msaada wa US.

Sasa naomba unisaidie mkuu kama Israelites wana akili sana na nguvu ilikuwaje majeshi yao mfano ZZW kutandikwa vibaya sana kwenye World war 2 au 1st and 2nd crusades za millenium ya kwanza huko france na spain??

Pia kwanini hakuna vita wamewahi shida kabla ya 1948 ila wameanza kushinda baada ya kuwa rafiki wa US post-1948?? Kma wana akili iweje baada ya 1948 na sio kabla?? Kama ni taifa teule iweje baada ya 1948 na sio kabla??

Ukiweza nisaidia hapa ndio ntakuelewa maana utakuwa umenipa facts sio illusions za kidini
Mzee hao huwa hawaelewi hata wakiona kwa macho na sababu mojawapo ni ile kuthibitisha kuwa kuna ukweli katika maandiko fulani hivi. Yaani huwa wana mitazamo ya kimuujiza muujiza. Wengine wanatamani ithibitike kuwa ni kweli yule mchungaji sauzi alifufua mtu. Wakao desperate kuprove mambo kadha wa kadha. Hapo jaribu kumwambia wayahudi wana imani yao na sio ukristo anaweza kupanda juu ya mti na kukubishia
 
Waisrael very smart compared to who?? Mbona IQ wise wamezidiwa hata na ASEAN countries kama S.Korea na malaysia?? Au mnatoaga wapi data kusema Israel ni bright kuliko mataifa mengine.

Kingine elewa hoja yangu.... Nachouliza mbona before 1948 Israel (Jews) walikuwa wakiunda majeshi wanapigwa au hizo akili na nguvu wamezipata post-1948?? Ndio maana nikasema kuanzia 1948 wamekuwa wakipata support kubwa toka USA na UK na ndio ina wasustain mpaka sasa mfano ona UN kule palestina kuwa taifa imekuwa kikwazo kisa US, hata issue ya Israel kuadhibiwa kwa kuvamia makazi ya Palestina imekuwa shida sababu ya mgongo wa USA kwahiyo ni mfia dini tu ndio atakayesema Israel ina survive bila msaada wa US.

Sasa naomba unisaidie mkuu kama Israelites wana akili sana na nguvu ilikuwaje majeshi yao mfano ZZW kutandikwa vibaya sana kwenye World war 2 au 1st and 2nd crusades za millenium ya kwanza huko france na spain??

Pia kwanini hakuna vita wamewahi shida kabla ya 1948 ila wameanza kushinda baada ya kuwa rafiki wa US post-1948?? Kma wana akili iweje baada ya 1948 na sio kabla?? Kama ni taifa teule iweje baada ya 1948 na sio kabla??

Ukiweza nisaidia hapa ndio ntakuelewa maana utakuwa umenipa facts sio illusions za kidini
Takbirrrrrr
 
UZI mbaya na mbovu kulko yote, huu ni uzi uliowakutanisha vichwa panzi watu walioegemea ktk itikadi na mahaba ya dini, huwez kuwa mchambuzi wa mambo na historia ya dunia kma una base kwenye upande wa dini,,nawahitimishia wale vichwa panzi wote bila kuegemea upande wowote kuwa,,hakukuwa na taifa la muisrael apo middle east before 2000 b.c, wala hiyo ardhi inayokaliwa na mpalestina si yake, bali ukirud ktk historia za nyuma kabisa, iyo ardhi ilimilikiwa na muafrika tu kwa muda wote, sasa hao wavamiz waarabu na fake jews mnawezaje kuwaita wamiliki??, na kwa wale wenye mahaba ya dini nawaambia kuwa biblia yenu imewakataa maana mnaitafsir sivyo ndvyo, biblia ukiisoma bila ushabik wala ujinga itakulocate origin israel ilkuwa afrika na sio huko jangwan ambako hakuna hata sifa ya kuwa naaziwa na asari, wew unaejiita mkristo njoo hapa ubishane na mm unioneshe yale maziwa na asari yaliyopo pale jangwani palestina na middle east.,biblia imechezewa sana, na kwa ninyi mnaopima watu akil sjui huwaga mnatumia vgezo vipi?? dunian mjue kuwa kuna BINADAMU NA MTU, binadamu ni jumla ya races zoote zilizotoka ama zilizozaliwa kutoka ktk genes za MTU, na nnaposema Mtu namuongelea mtu mwenye Melanini za kutosha mwenye uwezo wa kuimili mionzi ya jua na huyu si mwingine ni Muafrika tu na hao wanadamu ni awo weupe ambao wana kias kidog cha melenin, nazan juz tu mmesikia uko canada jinsi joto lilivowafanya ao weupe,,Mwafrika si binadamu bali ni Mtu maana huyu ni original, na mnapotafuta watu wenye akili NI KUFURU NA AIBU AMA ZARAU kuchukuwa watu weye akil kwa kumfananisha Mweupe na mweusi, ni bora mkasema izo tuzo za wenye akili ni according to white media iliyo wainclude wanadamu tu yaan watu weupe, maana ukimuingiza mtu original apambanishwe na mtu mweupe kiakil mtu mweusi ana akili kubwa kulkio izo takataka zenu mnazoziabudu, ni vile tu muafrika amelala sabbu ya vitu fulani fulan baada ya kuhasi nature ya KIUNGU,..watu wengi sana nikiwemo mimi huku afrika tunafanya mambo makubwa ambayo hao weupe hawayawez na tulishafanya mengi zaid yao, ni vile.tu kizazi hiki kimekengeuka kinaaribiwa na sias za dunia, dini na mifumo ya elimu za kijinga ndyo inamuarbu muafrika, mpka sasa kuna mjuba huko anatumia umeme wa free energy yaan umeme wa sumaku, ambao kwa awa wanasayans wanapinga uwezekano huo, huku kun vipaji vikubwa na vyakutisha, ni vile tunatawaliwa bado that's why kuvitambua ni ngumu, wew muafrika unaejipima akil kwa kushindana na ngoz nyeupe unajiaibisha, ni sawa na kusema mtoto wa miaka3 ashindane kukimbia na mtu mzima wa miaka30 hizi ni zarau kubwa, ninyi mnaoleta mahaba ya dini mlioharbu huu uzi nmekuja ku conclude kuwa ISRAEL YA KWEL ILKUWEPO NA ITAZID KUWEPO AFRIKA TU., NA MTU MWENYE AKIL NI MUAFRIKA TU, MAANA HAKUNA MTU MWENGNE ZAID YA MUAFRIKA,.MKIONGELEA WANADAMU LABDA NDYO HAO WEUPE,,nyie mliohuarbu huu uzi kwa kuleta dini zenu na kutetea maarifa yenu yakipumbavu njoen wote mpingane na mimi hapa,.....WAKE UP AFRICAN
FB_IMG_16250710231313021.jpg
 
2 Kings 6:22,23 na 2Timothy 2:23-25 hapa tunapata kujua habri za wema.
Hakika mungu ni mwema. Watapigana lakini hawatashinda

 
Kwa Sasa Israel ni exceptional mkuu, achana na Mambo ya kabla ya mwaka 48 hayo ni zilipendwa, kuhusu marekani jua kwamba hao ni marafiki so kusaidiana ni lazima, marekani anajua ni jinsi gani wayahudi wamesaidia kufanikisha ilipo leo
Waisrael waliopo sasaiv hivi Israel ni wazungu, sio wayahudi watoto wa Ibrahim. Ibrahim alikuwa ni mwarabu wa Iraqi, sasa hao wazungu waliojazana Israel wanatoka wapi? Huwezi wewe kuwa mwafrika ukazaa watoto wakatoka wachina watupu!
 
UZI mbaya na mbovu kulko yote, huu ni uzi uliowakutanisha vichwa panzi watu walioegemea ktk itikadi na mahaba ya dini, huwez kuwa mchambuzi wa mambo na historia ya dunia kma una base kwenye upande wa dini,,nawahitimishia wale vichwa panzi wote bila kuegemea upande wowote kuwa,,hakukuwa na taifa la muisrael apo middle east before 2000 b.c, wala hiyo ardhi inayokaliwa na mpalestina si yake, bali ukirud ktk historia za nyuma kabisa, iyo ardhi ilimilikiwa na muafrika tu kwa muda wote, sasa hao wavamiz waarabu na fake jews mnawezaje kuwaita wamiliki??, na kwa wale wenye mahaba ya dini nawaambia kuwa biblia yenu imewakataa maana mnaitafsir sivyo ndvyo, biblia ukiisoma bila ushabik wala ujinga itakulocate origin israel ilkuwa afrika na sio huko jangwan ambako hakuna hata sifa ya kuwa naaziwa na asari, wew unaejiita mkristo njoo hapa ubishane na mm unioneshe yale maziwa na asari yaliyopo pale jangwani palestina na middle east.,biblia imechezewa sana, na kwa ninyi mnaopima watu akil sjui huwaga mnatumia vgezo vipi?? dunian mjue kuwa kuna BINADAMU NA MTU, binadamu ni jumla ya races zoote zilizotoka ama zilizozaliwa kutoka ktk genes za MTU, na nnaposema Mtu namuongelea mtu mwenye Melanini za kutosha mwenye uwezo wa kuimili mionzi ya jua na huyu si mwingine ni Muafrika tu na hao wanadamu ni awo weupe ambao wana kias kidog cha melenin, nazan juz tu mmesikia uko canada jinsi joto lilivowafanya ao weupe,,Mwafrika si binadamu bali ni Mtu maana huyu ni original, na mnapotafuta watu wenye akili NI KUFURU NA AIBU AMA ZARAU kuchukuwa watu weye akil kwa kumfananisha Mweupe na mweusi, ni bora mkasema izo tuzo za wenye akili ni according to white media iliyo wainclude wanadamu tu yaan watu weupe, maana ukimuingiza mtu original apambanishwe na mtu mweupe kiakil mtu mweusi ana akili kubwa kulkio izo takataka zenu mnazoziabudu, ni vile tu muafrika amelala sabbu ya vitu fulani fulan baada ya kuhasi nature ya KIUNGU,..watu wengi sana nikiwemo mimi huku afrika tunafanya mambo makubwa ambayo hao weupe hawayawez na tulishafanya mengi zaid yao, ni vile.tu kizazi hiki kimekengeuka kinaaribiwa na sias za dunia, dini na mifumo ya elimu za kijinga ndyo inamuarbu muafrika, mpka sasa kuna mjuba huko anatumia umeme wa free energy yaan umeme wa sumaku, ambao kwa awa wanasayans wanapinga uwezekano huo, huku kun vipaji vikubwa na vyakutisha, ni vile tunatawaliwa bado that's why kuvitambua ni ngumu, wew muafrika unaejipima akil kwa kushindana na ngoz nyeupe unajiaibisha, ni sawa na kusema mtoto wa miaka3 ashindane kukimbia na mtu mzima wa miaka30 hizi ni zarau kubwa, ninyi mnaoleta mahaba ya dini mlioharbu huu uzi nmekuja ku conclude kuwa ISRAEL YA KWEL ILKUWEPO NA ITAZID KUWEPO AFRIKA TU., NA MTU MWENYE AKIL NI MUAFRIKA TU, MAANA HAKUNA MTU MWENGNE ZAID YA MUAFRIKA,.MKIONGELEA WANADAMU LABDA NDYO HAO WEUPE,,nyie mliohuarbu huu uzi kwa kuleta dini zenu na kutetea maarifa yenu yakipumbavu njoen wote mpingane na mimi hapa,.....WAKE UP AFRICAN View attachment 1837529
Uzi wako umekaa kibaguzi, wewe unatawaliwa na kitu kinaitwa inferiority complex waafrika tuna imani kubwa khs miungu imani ndo huumba lakini hatuna ubunifu, wewe unachopambana nacho ni ubaguzi wa rangi lakini hauko katika mantikia ya kulinganisha IQs! Kuna bro mmoja yupo huko kijijini kamachumu juzi walimurusha kwenye documentary BBC swahili jamaa huyu anaunga mifupa ya watu waliovunjuka kiasi cha kushindikana katika hospitali kubwa, yeye anakufungia dawa tu halafu anakwambia ubaki pale ama uondoke kwenu halafu anabaki na ka mti ambako kanakuwa kanuwakilisha wewe, yy anaanza kutibu hako ka mti ww huku unapona lakini ukimuuliza aelezee the logic behind kwann anatreat ka mti mtu anapona hawezi eleza anabaki kueleza tu sjui nlirithi kwa bibi!
Hawa jamaa wametuacha mbali sababu kubwa iliyotufanya afrika tubaki nyuma ni KUCHUKULIA SHIDA NA CHANGAMOTO km sehemu ya maisha yetu!
 
Back
Top Bottom