Israel VS Gaza. Kosa dogo tu likifanyika kama halijapangwa nyumba ya pazia, tunaingia WWIII (Nuclear War)

Israel VS Gaza. Kosa dogo tu likifanyika kama halijapangwa nyumba ya pazia, tunaingia WWIII (Nuclear War)

Mkuu sidhani kama China na Iran kupeleka hizo silaha basi kutajumuisha mvutano mkubwa baina ya nchi hizo mbili.

CHINA
Miezi michache ya nyuma, China ilipiga mkwara mzito wa kuivamia kijeshi Taiwan endapo aliyekuwa Spika wa Bungu sijui ni makamu wa Rais, anaitwa Peros akiingia ndani ya Taiwan basi China haitasita kuchukua maamuzi magumu.

Mwisho tukaona US ikapeleka kiongozi wake hapo Taiwan na mpaka sasa China hakuna ilichokifanya.


Sio rahisi China kufanya muujiza wowote ktk huu mzozo na hata hizo meli sidhani kama zitakuwa na impact kubwa sababu China kuitetea tu Taiwan ameshindwa, ndo akawe mkombozi Palestina?


IRAN
Hakuna unyama ambao Israel hajaufanya mpaka sasa ndani ya Palestine, kama angekuwa na la kufanya basi angeshafanya muda mrefu.

Wazir wa mambo ya nje sijui wa ulinzi yule, alipotaka atue Syria dakika tu Israel akalipua ule uwanja na Iran akaufyata, akakaa kimya.

- Binafsi sioni nchi ya Kiislamu ambayo ina ubavu wa kuingia 100% ktk huu mgogoro kama tunavyoona mataifa ya magharibi yanavyoingia Israel.

Inawezekana Marekani amewachoka waislamu; anataka kupunguza kizazi chao
 
Inakadiriwa Israel kuwa tactila nuclear warhead 80, huku kwa Iran ikiwa ni 0.

Ni ngumu nchi za kiarabu kumgusa Israel, kitu kinaitwa Nuclear ni kipengele kingine unless uwe na guts kama za magharibi walivyomtuliza Putin na nuclear zake.
Hakika inahitajika kuwa na gats kwel kwel nakumbuka biden akiwa Poland alimwambia Putin Sisi tutapeleka silaha Ukraine kama kawa wewe kama unaweza tumia nuclear tuko tayari
 
Baada ya Marekani kupeleka meli zake za kivita zenye thamani ya matrillioni. China na yeye anapeleka karibu na Gaza meli zake za kisasa z kivita nne.

Baada ya israel kuharibu uwanja wa ndege wa Damascus na Allepo. Leo dege kubwa la Iran limetua Syria likiwa na shehena za silaha kutumia uwanja wa kambi ya jeshi la urusi. Ikitokea Israel ikashambulia huo uwanja vita haitakuwa ndogo.

Shehena za silaha zinazoshushwa israel, makumi ya madege ya kivita ya US hayakauki Tel aviv airport ni ushahidi kuwa mlengwa sio Hamas. Ni kitu kikubwa zaidi ya hicho.

Kuzidiwa mapema kwa Jeshi la israel siku ya kushambuliwa na Hamas maana baadhi ya vyanzo vinasema sio kweli jeshi lilichelewa lakini lilifika kwa wakati ila hamas waliwazidi nguvu hadi ilipofika mchana. Ukizingatia kauli ya Rais wa Israel leo kuwa Hamas wamejipanga kutumia silaha za kemikali, Ukilinganisha na biti alilotoa Netanyahu ikiwa Hesbullah wataingilia kati, kunauwezekano ili kufupisha vita israel kutumia silaha kubwa kubwa za hatari ikiwemo Nuclear kwa mahasimu wake Iran.

Mvuto mkubwa unaoongezeka kuihusisha Russia, China na US katika vita hivi kama busara isipotumika dunia iko kwenye hatari ya WW3.

Ni hayo tu.
Umenikumbusha Kiapo SAMSON Option cha Wayahudi 😭😭😭👏
 
Baada ya Marekani kupeleka meli zake za kivita zenye thamani ya matrillioni. China na yeye anapeleka karibu na Gaza meli zake za kisasa z kivita nne.

Baada ya israel kuharibu uwanja wa ndege wa Damascus na Allepo. Leo dege kubwa la Iran limetua Syria likiwa na shehena za silaha kutumia uwanja wa kambi ya jeshi la urusi. Ikitokea Israel ikashambulia huo uwanja vita haitakuwa ndogo.

Shehena za silaha zinazoshushwa israel, makumi ya madege ya kivita ya US hayakauki Tel aviv airport ni ushahidi kuwa mlengwa sio Hamas. Ni kitu kikubwa zaidi ya hicho.

Kuzidiwa mapema kwa Jeshi la israel siku ya kushambuliwa na Hamas maana baadhi ya vyanzo vinasema sio kweli jeshi lilichelewa lakini lilifika kwa wakati ila hamas waliwazidi nguvu hadi ilipofika mchana. Ukizingatia kauli ya Rais wa Israel leo kuwa Hamas wamejipanga kutumia silaha za kemikali, Ukilinganisha na biti alilotoa Netanyahu ikiwa Hesbullah wataingilia kati, kunauwezekano ili kufupisha vita israel kutumia silaha kubwa kubwa za hatari ikiwemo Nuclear kwa mahasimu wake Iran.

Mvuto mkubwa unaoongezeka kuihusisha Russia, China na US katika vita hivi kama busara isipotumika dunia iko kwenye hatari ya WW3.

Ni hayo tu.
Acha inyeshe tujue wapi panavuja sana
Wakati mwingine maisha hayahitaji hofu wala uoga
Kila kitu kinacho waziwa na kutendeka duniani na wanadamu MUNGU anajua.

Yeye anajua mwisho wetu akiwa mwanzoni kabisa mwa safari.
Dunia haitaangamia ila watu waoga na wazembe woote kama waarabu wataangamizwa
 
Wa
Mkuu sidhani kama China na Iran kupeleka hizo silaha basi kutajumuisha mvutano mkubwa baina ya nchi hizo mbili.

CHINA
Miezi michache ya nyuma, China ilipiga mkwara mzito wa kuivamia kijeshi Taiwan endapo aliyekuwa Spika wa Bungu sijui ni makamu wa Rais, anaitwa Peros akiingia ndani ya Taiwan basi China haitasita kuchukua maamuzi magumu.

Mwisho tukaona US ikapeleka kiongozi wake hapo Taiwan na mpaka sasa China hakuna ilichokifanya.


Sio rahisi China kufanya muujiza wowote ktk huu mzozo na hata hizo meli sidhani kama zitakuwa na impact kubwa sababu China kuitetea tu Taiwan ameshindwa, ndo akawe mkombozi Palestina?


IRAN
Hakuna unyama ambao Israel hajaufanya mpaka sasa ndani ya Palestine, kama angekuwa na la kufanya basi angeshafanya muda mrefu.

Wazir wa mambo ya nje sijui wa ulinzi yule, alipotaka atue Syria dakika tu Israel akalipua ule uwanja na Iran akaufyata, akakaa kimya.

- Binafsi sioni nchi ya Kiislamu ambayo ina ubavu wa kuingia 100% ktk huu mgogoro kama tunavyoona mataifa ya magharibi yanavyoingia Israel.
Walau umechambua ukweli sio kama .mleta mada anavyotaka kutisha.

Hakuna wa kumzuia Israel hamas na wapalestina wa Gaza wataendekea kufa kwa mamia kila siku na hakuna concrete step itakayochukuliwa dhidi ya Israel. Juzi mataifa ya kiarabu na ya kiislam zaidi ya hamsini yamekutana Riyadh yameishia kutoa maneno tu
Hizbollar kabla Hamas hajaihambulia Israel walikubaliana kuwa hamas akianzisha naye hizbolla ataingia lakini hadi sasa anarusha rusha rocket tu lakini hajaingia kikamilifu na Israel ameweka wazi kuwa Lebanon itHaribiwa vibaya kama Gaza akithubutu kuingia.

Mwanzoni wapalestina waishio Gaza kaskazini walia.mbiwa waende kusini lakini hamas wakawachochea wasihame lakini sasa kipigo kilovyokolea unaona wanavyotembea kwa miguu kuhama huku hospitali nazo zikipigwa kiasi cha buduma kusitishwa na wagonjwa na majeruhi wanakufa kwa maumivu makubwa na wengine wanazikwa hapohapo katika compound ya hospitali. Mateso hayo yote yameletwa na Hamas kwa ndugu zao na nakuambia kama kuingilia wangeingilia sasa. Wanachofanya ni kuililia US ili amwombe Israel asimamishe vita. Na nakuambia itafika hatua hamas ili kuwaokoa nduguze atawaachilia mateka bila masharti.

Mungu ibariki Israel
 
Back
Top Bottom