Israel waingia ndani zaidi, wateka makao makuu ya ujasusi ya HAMAS

Israel waingia ndani zaidi, wateka makao makuu ya ujasusi ya HAMAS

Acha habari za uzushi kwa akili ya kawaida ya kuzaliwa uweze kuwapata hamas ushindwe kuonyesha hata mwili mmoja wa mateka wa kiisrael ambao ndugu zao kila siku wanaandamana nyumbani kwa netanyahu?
Acha waandame ni haki yao ya kikatiba.....ila IDF haina shida na maiti za mateka ambao Hamas wanadai wengi walikufa kwa mashambulizi ya mabomu ya IDF...kwa mujibu wa msemaji wa Hamas!!!
IDF wao kazi yao kutoa kichapo huko gaza mpaka mda huu..
Mateka au maiti wakae nazo Hamas ila kichapo kinaendelea....
NB : WEWE KAMA UNATAKA WAKUONYESHE NENDA KAMUOMBE AU MSHAURI BENJA AFANYE UNAVYOTAKA WEWE
 
IDF wanaendelea kutembeza kichapo ndani kwa ndani....

The IDF said troops of the 7th Armored Brigade had advanced further in southern Gaza, while raiding Hamas sites in Khan Younis, including the headquarters of the terror group’s intelligence division in the city.

The intelligence headquarters was responsible for all of Hamas’s intelligence activity in the Khan Younis area, the IDF said, adding that it also located a command center belonging to the Palestinian Islamic Jihad terror group in the same complex.

According to the IDF, the troops recovered “very valuable” intelligence materials from the sites.

In central Gaza’s al-Bureij camp, the IDF detailed the operations of the 188th Armored Brigade, including an incident in which troops battled Hamas gunmen hiding in a school that was being used as a shelter for Palestinian civilians.

On Thursday, the 188th Brigade received intelligence of dozens of Hamas operatives hiding in a school where civilians were sheltering.
Nikikuambiacwe ushoga unakusumbua unapenda vimaneno neno vya uwongo uwongo, tena siku zote source zako ni magazeti ya mashoga wenzako.
 
Acha waandame ni haki yao ya kikatiba.....ila IDF haina shida na maiti za mateka ambao Hamas wanadai wengi walikufa kwa mashambulizi ya mabomu ya IDF...kwa mujibu wa msemaji wa Hamas!!!
IDF wao kazi yao kutoa kichapo huko gaza mpaka mda huu..
Mateka au maiti wakae nazo Hamas ila kichapo kinaendelea....
NB : WEWE KAMA UNATAKA WAKUONYESHE NENDA KAMUOMBE AU MSHAURI BENJA AFANYE UNAVYOTAKA WEWE
Kashashindwa vita maisha ya raia wako na usalama wake ndio kipa umbele cha taifa lolote lile duniani , mmarekani popote pale alipo duniani nchi yake at any cost itamuhakikishia usalama na itatumia gharama yoyote arudi nyumbani salama, anachofanya netanyahu amegundua kashindwa kuwakomboa watu wake na kapoteza umaarufu kisiasa anatapatapa tu, biden na former israel pm wamesema wazi kwamba netanyahu na serikali yake imeahapoteza malengo na kimsingi imeshindwa vita
 
Nikikuambiacwe ushoga unakusumbua unapenda vimaneno neno vya uwongo uwongo, tena siku zote source zako ni magazeti ya mashoga wenzako.
Sawa mkuu ila ushoga usisahau ulianzia hapa kwa matendo ya mtume..na wanaume wenzie usijisahuulishe mkuu
Adith idadi 16:245
 
Kashashindwa vita maisha ya raia wako na usalama wake ndio kipa umbele cha taifa lolote lile duniani , mmarekani popote pale alipo duniani nchi yake at any cost itamuhakikishia usalama na itatumia gharama yoyote arudi nyumbani salama, anachofanya netanyahu amegundua kashindwa kuwakomboa watu wake na kapoteza umaarufu kisiasa anatapatapa tu, biden na former israel pm wamesema wazi kwamba netanyahu na serikali yake imeahapoteza malengo na kimsingi imeshindwa vita
NANI KASHINDWA VITA...
WAARABU HAWAWEZI KUWASHINDA WAYAHUDI HATA SIKU MOJA..SINCE 1920
NO CEASE FIRE MPAKA MDA HUU NA AL JAZEERA INAONYESHA NANI ANAPIGIKA
 
Haya tuwekee na vifo vya wanamgambo wa Hamas na mamuluki wao wa kiarabu wamekufa wangapi?????
Sawa mkuu........sisi hatuna propaganda tunafuatilia vita.
NB: NIKISEMA WAARABU NA WAISLAMU WANA MTINDIO WA FIKRA NITAKUA NAKOSEA????
MAANA WEWE NDIO MFANO HALISI HAPA
Weka wewe idadi ya vifo vya Hamas ukiweka najitoa JF.
Watoto na wanawake na raia wasiokuwa na hatia idadi yao zinafahamika.

Niwekee tu Maiti 5 za wanamgambo wa Hamas walioliwa kwenye vita.

Ukiweka najitoa JF.
 
Sawa mkuu ila ushoga usisahau ulianzia hapa kwa matendo ya mtume..na wanaume wenzie usijisahuulishe mkuu
Adith idadi 16:245
Waswahili ndio mana huwa wanasema hadithi njoo na uwongo kolea.

Hizo hadithi ni kama maneno ya kanga tu.

Wakristo karibu 75% wote ni mashoga tu
 
Mmejaribu kuedit quran mmeshindwa maana quran zipo kwenye vifua vya waislamu huwezi kubadiliaha hata nukta tusijue, leo mnakuja na vihadithi vya kutengeneza ambayo kwa uhalisia nadhani unajua ukijaribu kuleta huo upuuzi wenu kwenye nchi ya kiislamu nini kitakukuta na hayo ndio mafundisho yetu , haya wenzetu huko kwenu vipi tumuulize papa atupe ushauri , hiyo inaonyesha kabisa shetani ni dini gani
Sawa mkuu ila ushoga usisahau ulianzia hapa kwa matendo ya mtume..na wanaume wenzie usijisahuulishe mkuu
Adith idadi 16:245
 
NANI KASHINDWA VITA...
WAARABU HAWAWEZI KUWASHINDA WAYAHUDI HATA SIKU MOJA..SINCE 1920
NO CEASE FIRE MPAKA MDA HUU NA AL JAZEERA INAONYESHA NANI ANAPIGIKA
Ila 2006 kuna mtu alipigwa hadi akaenda kuomba ceasefire au umesahau?
 
Mmejaribu kuedit quran mmeshindwa maana quran zipo kwenye vifua vya waislamu huwezi kubadiliaha hata nukta tusijue, leo mnakuja na vihadithi vya kutengeneza ambayo kwa uhalisia nadhani unajua ukijaribu kuleta huo upuuzi wenu kwenye nchi ya kiislamu nini kitakukuta na hayo ndio mafundisho yetu , haya wenzetu huko kwenu vipi tumuulize papa atupe ushauri , hiyo inaonyesha kabisa shetani ni dini gani
Najua kwanini waislamu mnaikataa adithi hii..🤣🤣🤣🤣
Sababu msimuliaji aliona ukweli na aliweka wazi.....
NB: UNADHANI SABABU YA KUITA BAADHI YA ADITHI ZENU DHAIFU...SISI WADOMO HATUJUI??
 
Tuletee sasa na namba za vifo vya wanamgambo wa Hamas...
Nasikia wamekufa wawili tu 🤣🤣
Hamasi mpaa makamanda wake wakifa anawatangazia wananchi wake haoni aibu, kufa ni sifa kwenye uislam ukiwa kwenye vita.

We unadhani ukristo huo kuogopa kufa na kuficha kufa, Hamasi kufa mbona ni zawadi kubwa sana.

Fatilia vizuri Waisla. Wakifa vitani wanatangaza mpaa number za walio kufa, so nyie na wayahudi mnaficha.

Mtaficha mpaa lini, ukweli utajulikana tu 😄
 
Ila 2006 kuna mtu alipigwa hadi akaenda kuomba ceasefire au umesahau?
Leta ushahidi tuzungumzie vita vya Hezbollah na IDF...
Je nani aliua adui wengi kuliko mwenzake??
Je nani aliharibu miundo mbinu ya adui kwa wingi???
Na je nani aliteka mateka wengi???
Je nani alifanikiwa kuingia kwenye aridhi ya mwenzake na kuikalia kwa mda mrefu!!
 
Back
Top Bottom