WAzungu wamejaribu sana hata kuedit msahafu wakashindwa hadi vitoto vidogo vimeukariri hizo propaganda zenu za magharibi mmebaki nazo wenyewe huko makanisani naa papa wenu sisi hatujawahi kutetereka kwwnye maamrisho ya mungu msituingize kwenye ushetani wenu
Najua kwanini waislamu mnaikataa adithi hii..🤣🤣🤣🤣
Sababu msimuliaji aliona ukweli na aliweka wazi.....
NB: UNADHANI SABABU YA KUITA BAADHI YA ADITHI ZENU DHAIFU...SISI WADOMO HATUJUI?