Israel walipua chuo kikuu cha Al-Azhar University kule Gaza maana kilitumiwa na magaidi

Hamas wajisalimishe wakati idf na israhell wapo
Njia pekee ya hamas kujisalimisha ni kutokuepo israhell na idf la sivyo hamas itabidi wa israhell waishi nayo tu kama ugonjwa wa makoronya
Sasa ndio wapigane mkuu hakuna kulilia cease fire.
Wao si wanataka vita,,,bas wapigane na sio kuomba Qatar na PLO wawaombee cease fire
 
Kwani Ile iliyosemwa iliishia wapi? Au habari ya kuwa nayo ni yenyewe itaanza lini?
Mkuu ina maana hujui kua vitani kuna comand center,s zaidi ya moja kimbinu???
Au ndio zile story za mkuki kwa nguruwe?????
 
Mkuu ina maana hujui kua vitani kuna comand center,s zaidi ya moja kimbinu???
Au ndio zile story za mkuki kwa nguruwe?????

Inamaana kila anaposhambulia hata Kwa makosa ni command center? Na nyingine ilikuwa kwenye camera za hawa siyo?



Ya kwako itakuwa ni akili au matope ya Hanang kabisa?
 
Inamaana kila anaposhambulia hata Kwa makosa ni command center? Na nyingine ilikuwa kwenye camera za hawa siyo?

View attachment 2837158

Ya kwako itakuwa ni akili au matope ya Hanang kabisa?
Mkuu kwa hiyo hamas walipobaka na kuua wanawake na watoto kusini mwa Israel ulitaka wachekewe???
Adui ni adui hata ajifanye mwandishi wa habari,,,,au ripota.
Akifanya hamas sio makosa bali akifanya IDF ni makosa??
PICHA ZA KIMIKAKATI ZA KUTAKA DUNIA TUWAONEE HURUMA HAZINA FAIDA...
HAO SI NDIO WAANDISHI WA HABARI WALIKUA WANASHANGILIA OCT 07
 
Mmmh si mlisema oooh IDF hawawezi kupigana...
Sasa matusi ya nn wakuu wakati October 07 mlikua mnashangilia
Uhuaro ni matus😂

iDF wanaweza sana kupigana si tunaona wanavyopogina na watoto wachanga na wagonjwa wanashambulia shule, hospital kisha wanakamata raia na kuwatesha kama tunavyoona kwenye hizi picha.
 
Kufa wanajeshi vitani ni kawaida...
Ila mpaka leo hamas wanaficha wanajeshi wao wamekufa wangapi???
Hamas wanasema wameua IDF 6000 na wao wamekufa watatu tu toka October 07

Kufa ni kawaida? Ndivyo walivyokwambia waliokufa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…