Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unachofanya ni sawa na kupiga punyeto, waajemi wamegongeka sana na hasara waliyopata ni siri yao wanaugulia maumivu kimya kimya.FAILED OPERATION katika UBORA WAO
View attachment 3135738
Yaani hata nzi hajafa, hakuna majeruhi wala uharibifu wowote hakuna raia alokwenda kwenda mahandaki
Hawajaanza kuugua mental case leo hao wasamehe bureMental case. Mmeanza kufanya ushabiki kwenye roho za watu.
Wangekuwa karibu kwa maumivu waliyopata wangemzaba kibao mleta madaUnachofanya ni sawa na kupiga punyeto, waajemi wamegongeka sana na hasara waliyopata ni siri yao wanaugulia maumivu kimya kimya.
Kwani ikitokea wahuni wamekulia timing wakakulawiti utasema ukweli hadharani kuwa umelawitiwa? Utasema tu wamenipora hela kisha wakasepa.Kumbe ndege za Israel hazikuingia Iran zilitumia anga la Iraq kurusha makombora
Kumbe shambulizi la Israel dhidi ya Iran ndege za Israel hazikuingia Iran kupiga!! Badala yake zilienda hadi anga la Iraq na Syria kisha kurusha makombora kuelekea Iran
[emoji298]️ATTENTION:
[emoji1130][emoji1134] According to our estimates, Israeli warplanes did not enter Iranian airspace. Instead, they launched missiles from outside Iran’s borders, possibly from Iraq, Syria, or Saudi Arabia.
This approach may have been chosen to avoid risking their aircraft.
B52 stealth bomber iliingia ndani ya Iran, Jana mapema sana ikapiga vizuri tu.Kumbe ndege za Israel hazikuingia Iran zilitumia anga la Iraq kurusha makombora
Kumbe shambulizi la Israel dhidi ya Iran ndege za Israel hazikuingia Iran kupiga!! Badala yake zilienda hadi anga la Iraq na Syria kisha kurusha makombora kuelekea Iran
[emoji298]️ATTENTION:
[emoji1130][emoji1134] According to our estimates, Israeli warplanes did not enter Iranian airspace. Instead, they launched missiles from outside Iran’s borders, possibly from Iraq, Syria, or Saudi Arabia.
This approach may have been chosen to avoid risking their aircraft.
Tafsiri ya hicho ulichoweka hapo ni hii.According to our estimates, Israeli warplanes did not enter Iranian airspace. Instead, they launched missiles from outside Iran’s borders, possibly from Iraq, Syria, or Saudi Arabia.
This approach may have been chosen to avoid risking their aircraft.
Nipige nyeto wakati mama yako yupo haupo serious mjomba Jiliwaze Iran kapigika while anga kalifungua kitambo flights as usuallyUnachofanya ni sawa na kupiga punyeto, waajemi wamegongeka sana na hasara waliyopata ni siri yao wanaugulia maumivu kimya kimya.
The end justfies the means, muhimu wamepiga walipolenga kupiga.Tafsiri ya hicho ulichoweka hapo ni hii.
kwa mujibu wa makadirio yetu, ndege za kivita za Israel hazikuingia kwenye anga la Irani. Badala yake walirusha makombora kutokea nje ya mipaka ya Irani, inawezekana kutokea Iraq,Siria au Saudia Arabia.
njia hii inawezekana ilichaguliwa kuepusha hatari kwa ndege zao.
Sasa ukisiaji wa mambo wa watu ndiyo unaleta kama habari halisi??
Kumhusisha mama yangu hapa ni upumbavu, ila ukweli ni kuwa installations za kijeshi za Iran zimepigwa tena sana tu.Nipige nyeto wakati mama yako yupo haupo serious mjomba Jiliwaze Iran kapigika while anga kalifungua kitambo flights as usuallyView attachment 3135759
Habari ikipotoshwa hubadili maana.The end justfies the means, muhimu wamepiga walipolenga kupiga.
Hata kavideo ka kutengeneza kameshindikana mkuu wangu?😂😂The end justfies the means, muhimu wamepiga walipolenga kupiga.
Tena ni Mtamu kwelikweli. Mshangazi ule MashallahKumhusisha mama yangu hapa ni upumbavu, ila ukweli ni kuwa installations za kijeshi za Iran zipepigwa tena sana tu.
Zimo mitandaoni zitafute au hako ka smartphone kako ni ka kuingilia JF na FB tu?Hata kavideo ka kutengeneza kameshindikana mkuu wangu?😂😂
Tatizo sisi Wayahudi wa Kazuramimba hatutaelewa kama kweli Iran amepigwa na kupata madhara yoyote bila kushuhudia video kama tulivyoshuhudia Ayatollah akishusha vyuma Tel Aviv, Jerusalem na miji mingine ya Israel.
Sawa.Tena ni Mtamu kwelikweli. Mshangazi ule Mashallah
Msalimie SanaSawa.
Mkuu nisaidie kuniwekea humu kwa faida ya wengi maana wengi tunatafuta kwa tochi video hatuzioni.Zimo mitandaoni zitafute au hako ka smartphone kako ni ka kuingilia JF na FB tu?