Israel wameaibika, Iran wamezima shambulizi zima kama nchi tujifunze

Israel wameaibika, Iran wamezima shambulizi zima kama nchi tujifunze

Ndege zipi zimeingia kwenye anga la iran?,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa huoni aibu kama ndege zote za Israel zinaingia kwenye anga la Iran na kutoka salama huoni ni aibu hiyo
 
Kumbe ndege za Israel hazikuingia Iran zilitumia anga la Iraq kurusha makombora

Kumbe shambulizi la Israel dhidi ya Iran ndege za Israel hazikuingia Iran kupiga!! Badala yake zilienda hadi anga la Iraq na Syria kisha kurusha makombora kuelekea Iran

[emoji298]️ATTENTION:

[emoji1130][emoji1134] According to our estimates, Israeli warplanes did not enter Iranian airspace. Instead, they launched missiles from outside Iran’s borders, possibly from Iraq, Syria, or Saudi Arabia.

This approach may have been chosen to avoid risking their aircraft.
Kwani ikitokea wahuni wamekulia timing wakakulawiti utasema ukweli hadharani kuwa umelawitiwa? Utasema tu wamenipora hela kisha wakasepa.
 
Kumbe ndege za Israel hazikuingia Iran zilitumia anga la Iraq kurusha makombora

Kumbe shambulizi la Israel dhidi ya Iran ndege za Israel hazikuingia Iran kupiga!! Badala yake zilienda hadi anga la Iraq na Syria kisha kurusha makombora kuelekea Iran

[emoji298]️ATTENTION:

[emoji1130][emoji1134] According to our estimates, Israeli warplanes did not enter Iranian airspace. Instead, they launched missiles from outside Iran’s borders, possibly from Iraq, Syria, or Saudi Arabia.

This approach may have been chosen to avoid risking their aircraft.
B52 stealth bomber iliingia ndani ya Iran, Jana mapema sana ikapiga vizuri tu.
 
According to our estimates, Israeli warplanes did not enter Iranian airspace. Instead, they launched missiles from outside Iran’s borders, possibly from Iraq, Syria, or Saudi Arabia.

This approach may have been chosen to avoid risking their aircraft.
Tafsiri ya hicho ulichoweka hapo ni hii.

kwa mujibu wa makadirio yetu, ndege za kivita za Israel hazikuingia kwenye anga la Irani. Badala yake walirusha makombora kutokea nje ya mipaka ya Irani, inawezekana kutokea Iraq,Siria au Saudia Arabia.

njia hii inawezekana ilichaguliwa kuepusha hatari kwa ndege zao.

Sasa ukisiaji wa mambo wa watu ndiyo unaleta kama habari halisi??
 
Unachofanya ni sawa na kupiga punyeto, waajemi wamegongeka sana na hasara waliyopata ni siri yao wanaugulia maumivu kimya kimya.
Nipige nyeto wakati mama yako yupo haupo serious mjomba Jiliwaze Iran kapigika while anga kalifungua kitambo flights as usually
FB_IMG_17299218421769528.jpg
 
Tafsiri ya hicho ulichoweka hapo ni hii.

kwa mujibu wa makadirio yetu, ndege za kivita za Israel hazikuingia kwenye anga la Irani. Badala yake walirusha makombora kutokea nje ya mipaka ya Irani, inawezekana kutokea Iraq,Siria au Saudia Arabia.

njia hii inawezekana ilichaguliwa kuepusha hatari kwa ndege zao.

Sasa ukisiaji wa mambo wa watu ndiyo unaleta kama habari halisi??
The end justfies the means, muhimu wamepiga walipolenga kupiga.
 
Wayahudi weusi wa Kibongoto tunaomba basi hata kavideo ka maangamizi iliyofanya Israel.

Maneno matupu tunashindwa kuwaelewa wakuu.😅😅

Iran alipoishambulia Israel mara mbili mara zote tuliona video live vitu vilivyokuwa vinashuka na kupiga target bila kupingwa na mfumo feki wa Iron Domo.😂

Tuliona live vitu vikilipuka kwenye kambi za kijeshi za Israel sasa ndugu zetu Wayahudi wa Kibongoto leteni basi video tuone vyuma vilivyokuwa vinashuka Tehran.

Iran wametoa video jinsi vimondo vya Mazayuni vilivyokuwa vikimezwa na mfumo thabiti wa ulinzi huku watu wakiwa wamejilalia zao usingizi hawana hata muda na vimondo.
 
1729932938832.jpeg

Picha ya Radar kuonesha ndege za kibiashara (Commercial flight) zilizokuwa kwenye anga la Mashariki ya kati wakati Israel inashambulia Iran.
 
The end justfies the means, muhimu wamepiga walipolenga kupiga.
Hata kavideo ka kutengeneza kameshindikana mkuu wangu?😂😂

Tatizo sisi Wayahudi wa Kazuramimba hatutaelewa kama kweli Iran amepigwa na kupata madhara yoyote bila kushuhudia video kama tulivyoshuhudia Ayatollah akishusha vyuma Tel Aviv, Jerusalem na miji mingine ya Israel.
 
Hata kavideo ka kutengeneza kameshindikana mkuu wangu?😂😂

Tatizo sisi Wayahudi wa Kazuramimba hatutaelewa kama kweli Iran amepigwa na kupata madhara yoyote bila kushuhudia video kama tulivyoshuhudia Ayatollah akishusha vyuma Tel Aviv, Jerusalem na miji mingine ya Israel.
Zimo mitandaoni zitafute au hako ka smartphone kako ni ka kuingilia JF na FB tu?
 
Zimo mitandaoni zitafute au hako ka smartphone kako ni ka kuingilia JF na FB tu?
Mkuu nisaidie kuniwekea humu kwa faida ya wengi maana wengi tunatafuta kwa tochi video hatuzioni.

Lakini kipindi Israel anashushiwa mvua ya vipigo video za live zilikuwa za kumwaga humu jukwaani na mpaka fb ulikuwa hutafuti unaziona.

Sasa Israel wamejichanganya hadi wakaleta video ya mlipuko wa kiwanda cha kusafishia mafuta ambacho kililipuka chenyewe mwaka 2021.😂😂
 
Back
Top Bottom