Israel wamepoteza vifaru 32 ndani ya siku 25

Israel wamepoteza vifaru 32 ndani ya siku 25

FaizaFoxy

Platinum Member
Joined
Apr 13, 2011
Posts
100,246
Reaction score
123,145
Huwezi kuona kwenye vyombo vya habari vya Magharibi kwa kweli

magaidi wa kizayuni wanaendelea kubamizwa kidogo kidogo huko Lebanon na kupewa hasara kubwa sana ya vifaa vya kijeshi na Maisha ya vijana wao wa Kizayuni.

Kwa mujibu wa makadirio, tangu Oktoba 7 mwaka jana, Hamas walipolianzisha kwa kuwachapa mazayuni, mpaka sasa askari wa nepi wa mazayuni zaidi ya 4,000 wamenyofolewa uhai kwa kupoteza Maisha na zaidi ya 20,000 waliojeruhuwa na kutoweza kabisa kurudi kwenye medani za mapigano. Wengi wao wakipata wazimu kabisa.

Leo tuna habari mpya, askari zaidi ya 200 wameuliwa au kujeruhiwa vibaya na na vifaru vya mazayuni zaidi ya 32 vimebamizwa kabisa na kutweza tena kufanya kazi ndani ya siku 25 za uvamizi wao wa Lebanon. Jionee na jisikilizie zaidi:



View: https://www.youtube.com/live/9KO2OCpL_2E?si=eAS1rsTgsw5AqC-Q
 
BREAKING: Israel has lost 32 tanks in 25 days - Surprise Grenade Attack, 'Kills' 5 Zionist Troops


Huwezi kuona kwenye vyombo vya habari vya Magharibi kwa kweli

magaidi wa kizayuni wanaendelea kubamizwa kidogo kidogo huko Lebanon na kupewa hasara kubwa sana ya vifaa vya kijeshi na Maisha ya vijana wao wa Kizayuni.

Kwa mujibu wa makadirio, tangu Oktoba 7 mwaka jana, Hamas walipolianzisha kwa kuwachapa mazayuni, mpaka sasa askari wa nepi wa mazayuni zaidi ya 4,000 wamenyofolewa uhai kwa kupoteza Maisha na zaidi ya 20,000 waliojeruhuwa na kutoweza kabisa kurudi kwenye medani za mapigano. Wengi wao wakipata wazimu kabisa.

Leo tuna habari mpya, askari zaidi ya 200 wameuliwa au kujeruhiwa vibaya na na vifaru vya mazayuni zaidi ya 32 vimebamizwa kabisa na kutweza tena kufanya kazi ndani ya siku 25 za uvamizi wao wa Lebanon. Jionee na jisikilizie zaidi:



View: https://www.youtube.com/live/9KO2OCpL_2E?si=eAS1rsTgsw5AqC-Q

NETANYAHU AKBAR

FB_IMG_1729599095307.jpg
 
BREAKING: Israel has lost 32 tanks in 25 days - Surprise Grenade Attack, 'Kills' 5 Zionist Troops


Huwezi kuona kwenye vyombo vya habari vya Magharibi kwa kweli

magaidi wa kizayuni wanaendelea kubamizwa kidogo kidogo huko Lebanon na kupewa hasara kubwa sana ya vifaa vya kijeshi na Maisha ya vijana wao wa Kizayuni.

Kwa mujibu wa makadirio, tangu Oktoba 7 mwaka jana, Hamas walipolianzisha kwa kuwachapa mazayuni, mpaka sasa askari wa nepi wa mazayuni zaidi ya 4,000 wamenyofolewa uhai kwa kupoteza Maisha na zaidi ya 20,000 waliojeruhuwa na kutoweza kabisa kurudi kwenye medani za mapigano. Wengi wao wakipata wazimu kabisa.

Leo tuna habari mpya, askari zaidi ya 200 wameuliwa au kujeruhiwa vibaya na na vifaru vya mazayuni zaidi ya 32 vimebamizwa kabisa na kutweza tena kufanya kazi ndani ya siku 25 za uvamizi wao wa Lebanon. Jionee na jisikilizie zaidi:



View: https://www.youtube.com/live/9KO2OCpL_2E?si=eAS1rsTgsw5AqC-Q

Uwendawazimu wa uzeeni ni shida sana!! Eti vyombo vya Magharibi haviwezi kutangaza!! Kichaa huyu bibi!! Hivi hata Aljeezira ni chombo cha Magharibi. Yaani mtu uache kusikiliza vyombo vya habari rasmi vyenye wanahabari wa fani mbalimbali, waliotapakaa maeneo yote, uende ukakasikilize kamtu kamoja kalikojofungia chumbani na kujirekodi!! Una akili wewe?

Haya ifurahishe nafsi yako, chukua figures zote za Hamas na Hezbollah, pamoja na viongozi wao tulioambiwa wameuawa na wayahudi, sema vyombo vya magjaribi vilidanganya, wale walikuwa ni Wayahudi. Sema wayahudi zaidi ya 42,000 wameuawa, na kati ya hao, 20,000 ni IDF. Sema wale tulioambiwa ni viongozi waliouawa wa Hezbollah, walikuwa ni viongozi wa Wayahudi, na kwamba IDF wanaishi mashimoni maana wanashambuliwa vibaya na Hezbollah na hamas.

Endelea kuombea vita iendelee maana mnakaribia kukamilisha dhamira ya Iran na magaidi wake kuhakikisha wazayoni wanatoweka na kupotea Duniani.
 
Wenye akili na busara wanaomba vita iishe watu wanaangamia - watu 45,000 kufa Gaza tu siyo mchezo yaani bado 15,000 tu iwe kama ile nyomi na simbaday pale taifa afu wote waliwe vichwa.

IDF ishasema wazi kabisa Hamas na Hezibollah labda wakafanye re-grouping mbinguni ila kwa hapa Duniani mwisho wao ushafikia.

Juzi tu na yule Gaidi ambaye walitegemea wampe uongozi wa Hamas - tayari na yeye washamla kichwa dadeq.

Haya mambo si ya kishadaia kabisa, hivi vikundi vya kigaidi lazima vikomeshwe ili Lebanon na Parestina ziwe nchi huru.
 
BREAKING: Israel has lost 32 tanks in 25 days - Surprise Grenade Attack, 'Kills' 5 Zionist Troops


Huwezi kuona kwenye vyombo vya habari vya Magharibi kwa kweli

magaidi wa kizayuni wanaendelea kubamizwa kidogo kidogo huko Lebanon na kupewa hasara kubwa sana ya vifaa vya kijeshi na Maisha ya vijana wao wa Kizayuni.

Kwa mujibu wa makadirio, tangu Oktoba 7 mwaka jana, Hamas walipolianzisha kwa kuwachapa mazayuni, mpaka sasa askari wa nepi wa mazayuni zaidi ya 4,000 wamenyofolewa uhai kwa kupoteza Maisha na zaidi ya 20,000 waliojeruhuwa na kutoweza kabisa kurudi kwenye medani za mapigano. Wengi wao wakipata wazimu kabisa.

Leo tuna habari mpya, askari zaidi ya 200 wameuliwa au kujeruhiwa vibaya na na vifaru vya mazayuni zaidi ya 32 vimebamizwa kabisa na kutweza tena kufanya kazi ndani ya siku 25 za uvamizi wao wa Lebanon. Jionee na jisikilizie zaidi:



View: https://www.youtube.com/live/9KO2OCpL_2E?si=eAS1rsTgsw5AqC-Q

Huko masjidi mnadanganyana sana
 
BREAKING: Israel has lost 32 tanks in 25 days - Surprise Grenade Attack, 'Kills' 5 Zionist Troops


Huwezi kuona kwenye vyombo vya habari vya Magharibi kwa kweli

magaidi wa kizayuni wanaendelea kubamizwa kidogo kidogo huko Lebanon na kupewa hasara kubwa sana ya vifaa vya kijeshi na Maisha ya vijana wao wa Kizayuni.

Kwa mujibu wa makadirio, tangu Oktoba 7 mwaka jana, Hamas walipolianzisha kwa kuwachapa mazayuni, mpaka sasa askari wa nepi wa mazayuni zaidi ya 4,000 wamenyofolewa uhai kwa kupoteza Maisha na zaidi ya 20,000 waliojeruhuwa na kutoweza kabisa kurudi kwenye medani za mapigano. Wengi wao wakipata wazimu kabisa.

Leo tuna habari mpya, askari zaidi ya 200 wameuliwa au kujeruhiwa vibaya na na vifaru vya mazayuni zaidi ya 32 vimebamizwa kabisa na kutweza tena kufanya kazi ndani ya siku 25 za uvamizi wao wa Lebanon. Jionee na jisikilizie zaidi:



View: https://www.youtube.com/live/9KO2OCpL_2E?si=eAS1rsTgsw5AqC-Q

Screenshot_20241025_040053_Quora.jpg
 
BREAKING: Israel has lost 32 tanks in 25 days - Surprise Grenade Attack, 'Kills' 5 Zionist Troops


Huwezi kuona kwenye vyombo vya habari vya Magharibi kwa kweli

magaidi wa kizayuni wanaendelea kubamizwa kidogo kidogo huko Lebanon na kupewa hasara kubwa sana ya vifaa vya kijeshi na Maisha ya vijana wao wa Kizayuni.

Kwa mujibu wa makadirio, tangu Oktoba 7 mwaka jana, Hamas walipolianzisha kwa kuwachapa mazayuni, mpaka sasa askari wa nepi wa mazayuni zaidi ya 4,000 wamenyofolewa uhai kwa kupoteza Maisha na zaidi ya 20,000 waliojeruhuwa na kutoweza kabisa kurudi kwenye medani za mapigano. Wengi wao wakipata wazimu kabisa.

Leo tuna habari mpya, askari zaidi ya 200 wameuliwa au kujeruhiwa vibaya na na vifaru vya mazayuni zaidi ya 32 vimebamizwa kabisa na kutweza tena kufanya kazi ndani ya siku 25 za uvamizi wao wa Lebanon. Jionee na jisikilizie zaidi:



View: https://www.youtube.com/live/9KO2OCpL_2E?si=eAS1rsTgsw5AqC-Q
Afu yalivyo majinga yameona kuficha siri zao zisijulikane wamepiga vituo vya TV channels ziliopo kule Lebanon sababu zinatoa aibu zao wanavyo tandikwa


View: https://youtu.be/8GckNMlg5Fo?si=3yJMYiSGwclH8yy9
 
Unashangaa vifaru 32? Mbona hujaandika jinsi Gaza na Lebanon zinavyoendelea kugeuka majivu?

Watu mnaoabudu na majini mnashida sana up stairs!!
Vifaru 32 ndani ya siku 25 unaviona vidogo? Kwa kutandikwa na vijana ambao hawana hata toy ya kifaru.

Kumbuka kuwa Ghaza siyo nchi wala haina jeshi. Wanaua wanawake na wstoto na kubomoa mahosputali ns nyumba za kuishi raia wapendavyo lakini vijana wadogo wa Hamas wanadonyoa mdogo mdogo, zaidi ya mwaka sasa mazayuni wameshindwa kuokowa hata raia zao na ubabe wa mabwana zao wote haujasaidia kitu.
 
BREAKING: Israel has lost 32 tanks in 25 days - Surprise Grenade Attack, 'Kills' 5 Zionist Troops


Huwezi kuona kwenye vyombo vya habari vya Magharibi kwa kweli

magaidi wa kizayuni wanaendelea kubamizwa kidogo kidogo huko Lebanon na kupewa hasara kubwa sana ya vifaa vya kijeshi na Maisha ya vijana wao wa Kizayuni.

Kwa mujibu wa makadirio, tangu Oktoba 7 mwaka jana, Hamas walipolianzisha kwa kuwachapa mazayuni, mpaka sasa askari wa nepi wa mazayuni zaidi ya 4,000 wamenyofolewa uhai kwa kupoteza Maisha na zaidi ya 20,000 waliojeruhuwa na kutoweza kabisa kurudi kwenye medani za mapigano. Wengi wao wakipata wazimu kabisa.

Leo tuna habari mpya, askari zaidi ya 200 wameuliwa au kujeruhiwa vibaya na na vifaru vya mazayuni zaidi ya 32 vimebamizwa kabisa na kutweza tena kufanya kazi ndani ya siku 25 za uvamizi wao wa Lebanon. Jionee na jisikilizie zaidi:



View: https://www.youtube.com/live/9KO2OCpL_2E?si=eAS1rsTgsw5AqC-Q

ukiingia JF unaweza kuwaonea huruma Israel anavyo chakazwa ila ukiingia Al Jazeera unaweza kutoka machozi kwa kinacho wakuta Lebanese na Palestinians

Hata kama ni uongo basi balance na ukweli kidogo et leo company ya askari 200 imepigwa hahahahaha bibi acha kujitekenya afu unacheka mwenyewe
 
BREAKING: Israel has lost 32 tanks in 25 days - Surprise Grenade Attack, 'Kills' 5 Zionist Troops


Huwezi kuona kwenye vyombo vya habari vya Magharibi kwa kweli

magaidi wa kizayuni wanaendelea kubamizwa kidogo kidogo huko Lebanon na kupewa hasara kubwa sana ya vifaa vya kijeshi na Maisha ya vijana wao wa Kizayuni.

Kwa mujibu wa makadirio, tangu Oktoba 7 mwaka jana, Hamas walipolianzisha kwa kuwachapa mazayuni, mpaka sasa askari wa nepi wa mazayuni zaidi ya 4,000 wamenyofolewa uhai kwa kupoteza Maisha na zaidi ya 20,000 waliojeruhuwa na kutoweza kabisa kurudi kwenye medani za mapigano. Wengi wao wakipata wazimu kabisa.

Leo tuna habari mpya, askari zaidi ya 200 wameuliwa au kujeruhiwa vibaya na na vifaru vya mazayuni zaidi ya 32 vimebamizwa kabisa na kutweza tena kufanya kazi ndani ya siku 25 za uvamizi wao wa Lebanon. Jionee na jisikilizie zaidi:



View: https://www.youtube.com/live/9KO2OCpL_2E?si=eAS1rsTgsw5AqC-Q

Laana matulilah ikiwezekana waangamie wasibaki kweye uso wa dunia!
 
Kumbuka kuwa Ghaza siyo nchi wala haina jeshi. Wanaua na kubomia wapendavyo lakini vijana wadogo wa Hamas wanadonyoa mdogi mdogo, zaifi ya mwaka sasa wamsshindwa kuokowa hata raia zao na ubabe wa mabwana zao wote haujasaidia kitu.
Israel ingetaka hao mateka ingesha wapata siku nyingi iwe kwa operation ya kijeshi au kwa mabadilishano but this time ni sacrifice for the great couse
 
ukiingia JF unaweza kuwaonea huruma Israel unavyo chakazwa ila ukiingia Al Jazeera unaweza kutoka machozi kwa kinacho wakuta Lebanese na Palestinians

Hata kama ni uongo bac balance na ukweli kidogo et leo battalion ya askari 200 imepigwa hahahahaha bibi acha kujitekenya afu unacheka mwenyewe
Akili za kikondoo zinaeleweka. Hamas au Hezbollah wakiuwa hata zayuni mmoja kwa wao kuuliwa elfu moja bado ni ushindi Kwao.

Usisahau hilo.

Kondoo uwaonee huruma wapalestina utaingiaje mbinguni?
 
Kisa cha sungura na zabibu.

Hezbollah washateka wenngine huko, unalijuwa hilo?
hahahahaha kwa kutumia ile AI picha ndio unasema wameteka au una source nyingine au hizbollah wamechapisha kushikilia mateka wa kizayuni?
 
Unashangaa vifaru 32? Mbona hujaandika jinsi Gaza na Lebanon zinavyoendelea kugeuka majivu?

Watu mnaoabudu na majini mnashida sana up stairs!!
Tatizo we una hesabu majumba huhesabu vifaru vilivyo potezwa vya Israel kule Gaza vinaweza kuijenga Dar Es Salam nzima na barabara na mitaa yake wacha vilivyo vunjwa huko Lebanon..

We unajua Merkava tank in cost ngapi? Merkava ni $3.5 million wacha Namer vehcle vilivyo bomolewa na zile drones na vifaa viliopo kwenye camp za jeshi zilizo pigwa.

Ukihesabu tu Merkava zilizo vunjwa unajenga majumba yote hayo ya Dar na mitaa yote unapiga taa na main road zitakuwa 4 lines za upande wa kulia na kushota 😄
 
Back
Top Bottom