Kipondo Cha ugoko
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 878
- 1,511
Huwezi kuona kwenye vyombo vya habari vya Magharibi kwa kweli
magaidi wa kizayuni wanaendelea kubamizwa kidogo kidogo huko Lebanon na kupewa hasara kubwa sana ya vifaa vya kijeshi na Maisha ya vijana wao wa Kizayuni.
Kwa mujibu wa makadirio, tangu Oktoba 7 mwaka jana, Hamas walipolianzisha kwa kuwachapa mazayuni, mpaka sasa askari wa nepi wa mazayuni zaidi ya 4,000 wamenyofolewa uhai kwa kupoteza Maisha na zaidi ya 20,000 waliojeruhuwa na kutoweza kabisa kurudi kwenye medani za mapigano. Wengi wao wakipata wazimu kabisa.
Leo tuna habari mpya, askari zaidi ya 200 wameuliwa au kujeruhiwa vibaya na na vifaru vya mazayuni zaidi ya 32 vimebamizwa kabisa na kutweza tena kufanya kazi ndani ya siku 25 za uvamizi wao wa Lebanon. Jionee na jisikilizie zaidi:
View: https://www.youtube.com/live/9KO2OCpL_2E?si=eAS1rsTgsw5AqC-Q
Wewe mama dini imekufanya uwe na akili kisoda sana, kwahiyo wewe hasara ya Mali na uhai unaiona kwa upande wa Izrael tu ila kwa magaidi wenzio hakuna hasara Wala hakuna waliokufa??
Mpaka tunavyoongea ushaambiwa kuijenga Gaza iludi kama ilivyokua inahitaji miaka350 (yesu ataludi atakuta Gaza bado haijajengwa😅)
Kwahiyo unapokaa kusherehekea vitu visivyokuepo usisahau hoja ndogo kama hiyo