ujoka
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 4,792
- 11,295
Doha kuna wese uchumi wa gaza unategemea mosaada ambayo vikundi vya kigaid vinaishi nayoYaani jiji k
kama majiji ya Doha na Dubai yametumia miaka 35 tu kujengwa gaza ndo ije ichukue miaka yote hiyo ?
Labda wakatae kutoa hela za ujenzi.
Unajua net worth ya mjane arafat aliorith kutoka kwa hayati mumewe ,au huyu gaid mwingine aliedunguliwa juzi amekutwa na vibunda ghetto