Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jana tu Israel wenyewe wametangaza askari wao watano wamelamba mchanga, Sasa Israel akikutangazia maafa zidisha Mara nneHahaha umeandika uharo mtupu.. Israel hafichi vifo sababu lazima wazike..
Peleka Taqiyya msikiti Tv
bibi ingia Al Jazeera dakika moja au nao ni chombo cha mabeberu?Endelea kujiliwaza tu.
na hiyo ndio taarifa ipo official askari wa IDF wa 5 wamepoteza maisha cha Kushangaza bibi faiza anasema ni company nzima ya askari 200 hivi anajua pigo la kupoteza askari 200 hahahahahaJana tu Israel wenyewe wametangaza askari wao watano wamelamba mchanga, Sasa Israel akikutangazia maafa zidisha Mara nne
Israel wakitoa taarifa,zidisha Mara nne,wiki yote hii vifaru vyao vinapigwa na kuungua,wanapigana point blank na hizbullah, hizbullah hutoa taarifa askari walioua, Israel wanatoa baada ya wiki na taarifa ya tukio moja,kifaru chao kimoja Huwa na askari watano,Sasa kwa juzi tu vifaru sita viligongwa,kuja kusema Leo wamepoteza watano tu si kwelina hiyo ndio taarifa ipo official askari wa IDF wa 5 wamepoteza maisha cha Kushangaza bibi faiza anasema ni company nzima ya askari 200 hivi anajua pigo la kupoteza askari 200 hahahahaha
Samalekoo bibi wa kidigo Yahudi hateki anafumua tu kama Sina waliKisa cha sungura na zabibu.
Hezbollah washateka wenngine huko, unalijuwa hilo?
Unaonesha hata unachokisoma kwangu na unachokisikiliza aljazeera hukielewi.na hiyo ndio taarifa ipo official askari wa IDF wa 5 wamepoteza maisha cha Kushangaza bibi faiza anasema ni company nzima ya askari 200 hivi anajua pigo la kupoteza askari 200 hahahahaha
hahahahaha OK baki na hizo source zako kinaHuwezi nitafutia cha kutazama.
Upo coco beach unauliza baharini wapi?
Huwezi kuona kwenye vyombo vya habari vya Magharibi kwa kweli
magaidi wa kizayuni wanaendelea kubamizwa kidogo kidogo huko Lebanon na kupewa hasara kubwa sana ya vifaa vya kijeshi na Maisha ya vijana wao wa Kizayuni.
Kwa mujibu wa makadirio, tangu Oktoba 7 mwaka jana, Hamas walipolianzisha kwa kuwachapa mazayuni, mpaka sasa askari wa nepi wa mazayuni zaidi ya 4,000 wamenyofolewa uhai kwa kupoteza Maisha na zaidi ya 20,000 waliojeruhuwa na kutoweza kabisa kurudi kwenye medani za mapigano. Wengi wao wakipata wazimu kabisa.
Leo tuna habari mpya, askari zaidi ya 200 wameuliwa au kujeruhiwa vibaya na na vifaru vya mazayuni zaidi ya 32 vimebamizwa kabisa na kutweza tena kufanya kazi ndani ya siku 25 za uvamizi wao wa Lebanon. Jionee na jisikilizie zaidi:
View: https://www.youtube.com/live/9KO2OCpL_2E?si=eAS1rsTgsw5AqC-Q
Huwezi kuona kwenye vyombo vya habari vya Magharibi kwa kweli
magaidi wa kizayuni wanaendelea kubamizwa kidogo kidogo huko Lebanon na kupewa hasara kubwa sana ya vifaa vya kijeshi na Maisha ya vijana wao wa Kizayuni.
Kwa mujibu wa makadirio, tangu Oktoba 7 mwaka jana, Hamas walipolianzisha kwa kuwachapa mazayuni, mpaka sasa askari wa nepi wa mazayuni zaidi ya 4,000 wamenyofolewa uhai kwa kupoteza Maisha na zaidi ya 20,000 waliojeruhuwa na kutoweza kabisa kurudi kwenye medani za mapigano. Wengi wao wakipata wazimu kabisa.
Leo tuna habari mpya, askari zaidi ya 200 wameuliwa au kujeruhiwa vibaya na na vifaru vya mazayuni zaidi ya 32 vimebamizwa kabisa na kutweza tena kufanya kazi ndani ya siku 25 za uvamizi wao wa Lebanon. Jionee na jisikilizie zaidi:
View: https://www.youtube.com/live/9KO2OCpL_2E?si=eAS1rsTgsw5AqC-Q
Bora kondoo kuliko zuzuYa wanaojiita kondoo eeh?
Kusema ni rahisi ila kufanya kwa kitendo ndio mtihani ulipo nakuomba fanya juu chini fuatilia bila bias Kati ya IDF na Hizbollah hio ground oparation utajifunza kitu kwamba anachoongea IDF ni pumba tupu. Akiweza kuindoa uongozi wa Iran hayo makundi anaweza kufanikiwa tena kwa msaada FULL wa Marekani,narudia tena neno FULL ya kila kitu asimamie marekaniWenye akili ma busara wanaomba vita iisje watu wanaangamia - watu 45,000 kufa Gaza tu siyo mchezo yaani bado 15,000 tu iwe kama ile nyomi na simbaday oale taifa wote waliwe vichwa.
IDF ishasema wazi kabisa Hamas na Hezibollah labda wakafanye re-grouping mbinguni ila kwa hapa Duniani mwisho wao ushafikia.
Juzi tu na yule Gaid ambaye walitegemea wampe uongozi wa Hamas - tayari washamla kichwa dadeq.
Haya mambo si ya kishadaia kabisa, hivi vikundi vya kigaidi lazima vikomeshwe ili Lebanon na Parestina ziwe nchi huru.
Hezbollah wanatoa taarifa gani zaIsrael wakitoa taarifa,zidisha Mara nne,wiki yote hii vifaru vyao vinapigwa na kuungua,wanapigana point blank na hizbullah, hizbullah hutoa taarifa askari walioua, Israel wanatoa baada ya wiki na taarifa ya tukio moja,kifaru chao kimoja Huwa na askari watano,Sasa kwa juzi tu vifaru sita viligongwa,kuja kusema Leo wamepoteza watano tu si kweli
kila siku unayoihesabu Hizbollah anafanya oparation Zaid ya 38 katika kambi za kijeshi na mpakani kuchoma vifaru na trucks hizo zote hazipigi wanawake na watoto ni direct kwa majeshi that is very possiblena hiyo ndio taarifa ipo official askari wa IDF wa 5 wamepoteza maisha cha Kushangaza bibi faiza anasema ni company nzima ya askari 200 hivi anajua pigo la kupoteza askari 200 hahahahaha
naomba unipe elimu bibi kuhusu ivo vifo vya askari wa IDF 200 inawezekana mm ndio sijaelewaUnaonesha hata unachokisoma kwangu na unachokisikiliza aljazeera hukielewi.
Kasikilize tena hao 5 wameuliwa lini na mimi nisome tena. Utaelewa tu ingawa ni kondoo.
Afu yalivyo majinga yameona kuficha siri zao zisijulikane wamepiga vituo vya TV channels ziliopo kule Lebanon sababu zinatoa aibu zao wanavyo tandikwa
View: https://youtu.be/8GckNMlg5Fo?si=3yJMYiSGwclH8yy9
Huwezi kuona kwenye vyombo vya habari vya Magharibi kwa kweli
magaidi wa kizayuni wanaendelea kubamizwa kidogo kidogo huko Lebanon na kupewa hasara kubwa sana ya vifaa vya kijeshi na Maisha ya vijana wao wa Kizayuni.
Kwa mujibu wa makadirio, tangu Oktoba 7 mwaka jana, Hamas walipolianzisha kwa kuwachapa mazayuni, mpaka sasa askari wa nepi wa mazayuni zaidi ya 4,000 wamenyofolewa uhai kwa kupoteza Maisha na zaidi ya 20,000 waliojeruhuwa na kutoweza kabisa kurudi kwenye medani za mapigano. Wengi wao wakipata wazimu kabisa.
Leo tuna habari mpya, askari zaidi ya 200 wameuliwa au kujeruhiwa vibaya na na vifaru vya mazayuni zaidi ya 32 vimebamizwa kabisa na kutweza tena kufanya kazi ndani ya siku 25 za uvamizi wao wa Lebanon. Jionee na jisikilizie zaidi:
View: https://www.youtube.com/live/9KO2OCpL_2E?si=eAS1rsTgsw5AqC-Q
katika uwanja wa vita hayo yote ya nawezekana but we don't deal with speculation we deals with numbers mfano ni vifo Gaza 42k lakn kwa idadi Ya watu walio kwenye vifusi number inazidi 50kkila siku unayoihesabu Hizbollah anafanya oparation Zaid ya 38 katika kambi za kijeshi na mpakani kuchoma vifaru na trucks hizo zote hazipigi wanawake na watoto ni direct kwa majeshi that is very possible