kbosho
JF-Expert Member
- Jun 4, 2012
- 13,034
- 6,571
HEZBOLLAH kawambia tuone majeshi yenu Gaza ndiyo mje kuongea na sisi zaidi ya hapo hii vita itakuwa ndefu mno.
Netanyahu na yule Waziri wake ana sura kana anakunya mikwala mingi kumbe wanapita kwa nyuma kuomba EU wambembeleza Hezbollah wakae meza moja waongee wanataka nini waache vita.