Israel wametuma ujumbe EU kwa Hezbollah kuomba kusitishwa kwa mapigano' Hezbollah wamekataa

 
 

Attachments

  • 20240102_225214.jpg
    103 KB · Views: 5
Hamas wamemchosha vya kutosha ambao Hawana hata kifaru,,, Hezbollah ameingia kati,,,kesho sijui nani atafuata.ukumbuke kule waouth wanafunga njia.
 

Attachments

  • 20231214_160210.jpg
    403.3 KB · Views: 5
Israeli Newspaper Yedioth Ahronot:

Although the Israeli army spent $59.3 billion on attacks on the Gaza Strip, it still failed to achieve its goals.
 
🚨BREAKING: IRAN YAJIBU SIRI YA OFA YA AMANI YA Marekani

Iran imethibitisha kupokea pendekezo la siri la Marekani la amani ya kikanda, lililotolewa na Saudi Arabia, likilenga kutopanua vita, pamoja na amani katika eneo hilo.

Jibu la Iran: sio vita vyetu.

Iran ilisisitiza kwamba washirika katika kanda, kama vile Hamas, Hezbollah na Houthis, wana uhuru wa kujiamulia wenyewe.

Chanzo: Al Jazeera
 
Kwani ni Mara ya Kwanza 2006 Hao Lebanon mbona yaliwakuta kama ya Hamas, wanajua sana kitakacho wapata
 
Kwani ni Mara ya Kwanza 2006 Hao Lebanon mbona yaliwakuta kama ya Hamas, wanajua sana kitakacho wapata
Kwani hamas kimewakutana nini kijana mbona mnaimba imba sana ili kuficha madhaifu ya israhell
Tokea october mpaka sasa hamas wanakamatia zaidi ya mateka 100 wa magaidi na hawawaachi mpaka waondoke ghaza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…