Hamas wana pambana kupata taifa lao Israel kila Muisrael ambaye yupo nje ya Israel anaruhusiwa kurudi Israel na kuishi lakini hawataki Wapestina walikuwa nje ya Palestina warudi kwao huu si upuuz. Hamas leo kafanya watu duniani wameajua vizuri Mazayuni na kesi imeanza huko wameitwa kutoa ushahidi wao.Wakikubali kwenda uhamishoni hawataruhusiwa tena kurejea Gaza miaka ijayo.
Hapo kakaza makalio anatetea Taifa Teule la Mungu
Habari zako unatoa wapi ww ACHA ushushu fanya citation hapaBungo linatemwa kitaalamu sana awamu hii wenzao Hamas washapata moto wao ndiyo kwanza wameanza kurudi nyuma.
Unafanya mchezo na Gaza Netanyahu alisema hawezi kuondoka Gaza mpaka waifute Hamas Baba yao Marekani kawambia Hamas hamuwezi kuifuta dawa ni kuondoka Gaza.