Kumbe najadiliana na mwehuWewe unahitilafu kichwani.
Hapo chini umesema nguzo ya kwanza ya uislamu ni kumkiri Mungu mmoja na muhamad mtume wake.
Kabla muhamad hajazaliwa hao waislamu wa kwanza walimkiri mtume yupi?
Nguzo nyingine kwenda kuhiji maka.
Hao waislamu wa kabla ya muhamad walitekeleza Hii?
Maana mara nyingi mmesikika mkisema quran haijawahi kubadilishwa, nategemea majibu yasiyobadilika.
Unanambia kwa maandiko yapi kijana
Mussa alikua Muislam na hata Quran inamtaja hivyo sio tu alikua Muislam bali alikua nabii nasio tu alikua nabii pia alipewa kitabu suhfi (kuna manabii walipewa kitabu zaidi ya kimoja wengine walishare kitabu kimoja kwa wakati mmoja walikutana) nabii Muhammad s.a.w pekee ndio alitofautishwa na baadhi ya manabii walomtangulia
Mussa ni miongoni mwa mitume ama manabii 25 waliotajwa kwenye Quran tukufu
Na ndio maana kusadiqisha kua Allah alikua ni wawote na Muhammad alikua nabii wa mitume wote ni pale wakat anaenda israa na miiraj alipofika maitul muqaddas aliwasalisha hao manabii wote pamoja na malaika
Kijana leta hoja na rejea kama unavyotaka wewe sio unaniletea matamno yako matupu
Naona unaleta hisia zako bila ushahidi wowote
17:1 Quran inaelekeza namna s.a.w alivyoenda huko na akakutana na mitume walomtangulia na akawasalisha pale maitul maqdas Palestine
19:57 qur an inaelezea namna s.a.w alipoenda kukutana na hao mitume akawasalisha halaf anakuja mtu hajasoma qur an anasema hao manabii hawakua waislam walikua sijui wa yakhe
Kijana kuna mengi sana inatakiwa uelekezwe
Kutoka kwa Yesu: “Basi, akaenda mbele kidogo, akaanguka kifudifudi, akasali:” (Biblia, Mathayo 26:39)Wewe unahitilafu kichwani.
Hapo chini umesema nguzo ya kwanza ya uislamu ni kumkiri Mungu mmoja na muhamad mtume wake.
Kabla muhamad hajazaliwa hao waislamu wa kwanza walimkiri mtume yupi?
Nguzo nyingine kwenda kuhiji maka.
Hao waislamu wa kabla ya muhamad walitekeleza Hii?
Maana mara nyingi mmesikika mkisema quran haijawahi kubadilishwa, nategemea majibu yasiyobadilika.
Ndio maana ni kakwambia kama wewe hujasoma uislamu yaani unakurupuka
5:3 Quran Allah anasemaje hem pitia huko usipende kubishana kwa mambo usio yajua
Au yeye ndie alikua gaidi akishirikiana na makafiri wenzie!Uliiona clip ya Joshua alivyouwawa kikatili na magaidi?
Kwa nn hamumuuwi Hakimi au Ziech wachezaji wa Morocco wanaocheza Ulaya kwa kushirikiana na makafiri? Mambo mengine niyakipumbavu beyond compare. Au Mo Salah nae makafiri ya Uingereza yamuuwe au mumuuwe nyie sababu anashirikiana na makafiri? Kuna wakati nafurahia sana anachofanya Israel ghaza Mungu wangu wa mbinguni anisamehe tu...! Majitu yalimuuwa Joshua huku yanaimba sijui Allahu nyo.ko nyo.ko sijui AkbarAu yeye ndie alikua gaidi akishirikiana na makafiri wenzie!
Ushuzi plus uharo mdini mkubwa weweee ushuzi mtupuuu.Muislam akifa au akimua mkiristo au yahudi wakati anapigania ardhi au Mali yake huyo mtu wa peponi tena ktk pepo ya juu kabisa. Lkn mkiristo akifa na ukiristo wake huyo motoni kabisa
Achana nae... kwani wewe una shida na wale bikira 72? Mwambie aende Gaza akafumuliwe utumbo aende huko peponi
Kwa nn hamumuuwi Hakimi au Ziech wachezaji wa Morocco wanaocheza Ulaya kwa kushirikiana na makafiri? Mambo mengine niyakipumbavu beyond compare. Au Mo Salah nae makafiri ya Uingereza yamuuwe au mumuuwe nyie sababu anashirikiana na makafiri? Kuna wakati nafurahia sana anachofanya Israel ghaza Mungu wangu wa mbinguni anisamehe tu...! Majitu yalimuuwa Joshua huku yanaimba sijui Allahu nyo.ko nyo.ko sijui Akbar
Kwa hiyo Joshua aliuwawa sababu ya ukafiri wake? Kama ni yes hii ADHABU ilitolewa kwa utashi wa MUUMBA WA JOSHUA?Hakimi na ziyech plus Salah hao ni ndugu zetu, ila sio hao makafiri wa kizayuni, biden na makafiri wenzie
Kwa kweli kiaina hata mimi nimeanza kupata kaukakasi fulani, jameni mpaka sasa sidhani kama kuna yeyote hajapata adabu yake pale Gaza, hata hao HAMAS kama kuna siku nyingine wataichokoza Israel nitawakubali kweli ni ving'ang'anizi.
Watu wa Gaza wameteseka vya kutosha, wamepigika na kubamizwa mpaka basi tu. Itoshe sasa, Israel wakubali kuingia kwenye mazungumzo.
============
Israel’s military response in the Gaza Strip to the shock October 7 attack by Hamas has been “over the top,” US President Joe Biden says.
“I’m of the view, as you know, that the conduct of the response in Gaza, in the Gaza Strip, has been over the top,” he tells reporters at the White House during an evening address that was announced only about two hours earlier.
The president adds that he’s “pushing very hard now” to get a sustained pause in fighting that could also free the remaining hostages in Gaza abducted from Israel on October 7.
Source: Times of Israel
Unaamini hadith za kitoto kama hizo kamanda daaaHistoria ya Uislamu haikuanza na Mtume Muhammad kama wanavyofikiria watu wengi bali imeanza tangu alipoletwa nabii wa kwanza ulimwenguni, ambaye kwa mujibu wa Waislamu ni Nabii Adamu alipoteremshwa ulimwenguni na kupewa mwongozo na Mwenyezi Mungu wa namna gani kuishi hapa duniani kwa njia nzuri ya wema na hisani kwa kushikamana na mafunzo yake Mwenyezi Mungu na kujiepusha na makatazo yake
Kwa hiyo Joshua aliuwawa sababu ya ukafiri wake? Kama ni yes hii ADHABU ilitolewa kwa utashi wa MUUMBA WA JOSHUA?
Aaaaaiiiseeee! Ngoja ninyamaze. Jioni njema sheikhUna uhakika gani ameuawa na Hamas? Naomba ushahidi!
Pili, kama nikweli ameuawa na hamas, basi hamas sio wajinga wauwe mtu asieshirikiana na mazayuni! So wapo sahihi kabisaa, hata wewe ukijipeleka kwenda kuwasaidia hao ndugu zako basi hamas yupo sahihi kukumaliza, tena bila huruma.
UdiniHistoria ya Uislamu haikuanza na Mtume Muhammad kama wanavyofikiria watu wengi bali imeanza tangu alipoletwa nabii wa kwanza ulimwenguni, ambaye kwa mujibu wa Waislamu ni Nabii Adamu alipoteremshwa ulimwenguni na kupewa mwongozo na Mwenyezi Mungu wa namna gani kuishi hapa duniani kwa njia nzuri ya wema na hisani kwa kushikamana na mafunzo yake Mwenyezi Mungu na kujiepusha na makatazo yake
Ndio maana nakwambia hujui mambo halaf unasema sisi hatujui wakat wewe ndio hujuiNaomba uweke hapa amri za Mungu alizopewa Musa Kwa Mujibu wa Quran tumalize mjadala
Ndio maana nakwambia hujui mambo halaf unasema sisi hatujui wakat wewe ndio hujui
Mussa hakupewa amri kwa mujibu wa Quran Mussa alipewa amri kwa mujibu wa vitabu alivyopewa
Ila Allah kawataja kwenye Quran kua ni manabii walomtangulia mtume Muhammad s.a.w
Ukitaka amri za Nabii mussa unazipata kwenye vitabu alivyoshushiwa yeye
Kama unavyopata amri alizopewa Muhammad s.a.w kwenye Quran kama hutaelewa na hapa sidhanii kama utaelewa tena
Yaani nikama unataka mtoto wa chekechea akupe formula fulani wakati kwenye kitabu ama vitabu vyao havimo
Umetaka reference nimekupa kuipitia uisome sasa hio ni kazi yakoWeka hiyo reference hapa ili kila mtu asome. Usiwape kazi Watu ambao umeianzisha mwenyewe.
Umetaka reference nimekupa kuipitia uisome sasa hio ni kazi yako
Ningekua sijakupa ungesema kama sijakupa reference 😀
Ila kama ntatulia ntaileta kwa faida yako unaesema sisi hatuujui uislam ila wewe unaujua eti