Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Nimesahau kwa mujibu wa qur an ila nakumbuka ni viwili taurat na suhfi ambayo alipewa ibrahi a.s na Mussa a.sUnajua Musa anavitabu vingapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimesahau kwa mujibu wa qur an ila nakumbuka ni viwili taurat na suhfi ambayo alipewa ibrahi a.s na Mussa a.sUnajua Musa anavitabu vingapi?
Mussa kapewa kitabu ama vitabu na Allah nakuthibitisha hilo mwenyewe kamtaja katika Quran kama miongoni mwa manabii wakeKwa uelewa wako Torati ni nini kama muda hakupewa Amri na sheria na Mungu wake(Yàhweh)?
Nimesahau kwa mujibu wa qur an ila nakumbuka ni viwili taurat na suhfi ambayo alipewa ibrahi a.s na Mussa a.s
Mussa kapewa kitabu ama vitabu na Allah nakuthibitisha hilo mwenyewe kamtaja katika Quran kama miongoni mwa manabii wake
Nnayo yaongea hapa sio maneno yangu nakukumbusha tu ni maneno ya Allah nnayo nukuu katika Qur an yake takatifu
Nilijua utabisha kwamba Mussa hajatajwa kama nabii kwenye Quran tukufu
Qur an aya ya ngapi inasema haya?Sio kosa kusahau. Ni maumbile ya mwanadamu.
Unajua Musa alipewa mbao zenye Maria 10 za Mungu wake?
Hakuna sehemu qur an imeiba kitu kutoka popote kijanaQuran ni kitabu kidogo kilichoiba baadhi ya hadithi na matukio ya kwenye Biblia au Talmud.
Ndio maana Quran yenyewe inasema kama muislamu kuna sehemu utakwama kielimu basi ukaulize Waliowatangulia waliopewa vitabu hasa Wakristo.
SURA 10:94 _YUNUS. “NA IKIWA UNAYO SHAKA KATIKA TULIYO KUTEREMSHIA, BASI WAULIZE WASOMAO KITABU KABLA YAKO. KWA YAKINI IMEKWISHA KUJIA HAKI KUTOKA KWA MOLA WAKO MLEZI. BASI USIWE MIONGONI MWA WENYE SHAKA.”
Kama na wewe Mwamba umeona huruma basi kule Gaza pamechakazwa!!Kwa kweli kiaina hata mimi nimeanza kupata kaukakasi fulani, jameni mpaka sasa sidhani kama kuna yeyote hajapata adabu yake pale Gaza, hata hao HAMAS kama kuna siku nyingine wataichokoza Israel nitawakubali kweli ni ving'ang'anizi.
Watu wa Gaza wameteseka vya kutosha, wamepigika na kubamizwa mpaka basi tu. Itoshe sasa, Israel wakubali kuingia kwenye mazungumzo.
============
Israel’s military response in the Gaza Strip to the shock October 7 attack by Hamas has been “over the top,” US President Joe Biden says.
“I’m of the view, as you know, that the conduct of the response in Gaza, in the Gaza Strip, has been over the top,” he tells reporters at the White House during an evening address that was announced only about two hours earlier.
The president adds that he’s “pushing very hard now” to get a sustained pause in fighting that could also free the remaining hostages in Gaza abducted from Israel on October 7.
Source: Times of Israel
Yule si mwandishi, ni bikra wa Bongo tuMbona mwandishi wetu aliyeko Gaza Faizafoxy anasema tayari Hamas wameshinda vita.
Magaidi mwaka huu mpaka muiteme Palestine yaaniKama na wewe Mwamba umeona huruma basi kule Gaza pamechakazwa!!
Taarifa ambazo hazijathibitiswa ni kwamba magaidi na uzao wao wamekufa takribani 100,000.
Wamepigika kwelikweli, na mimi mpenzi wa IDF nasema Sasa inatosha!!
Ila hawa Hamas wa Buza kwa Mpalange kina Faizafox, Utam na Always wakiendelea kupigana wakiwa nyuma ya key boards basi IDF waendelee tu kutwanga
Kikobaaz Hamas wameshinda tena siku ya kwanza ila sasa nenda kwa ground salalaleeee migaidi ya kipalestina inauwawa hatareee.Mbona mwandishi wetu aliyeko Gaza Faizafoxy anasema tayari Hamas wameshinda vita.
Kwenye pepo ya juu kabisa ndo waliko mabikra 72!?Muislam akifa au akimua mkiristo au yahudi wakati anapigania ardhi au Mali yake huyo mtu wa peponi tena ktk pepo ya juu kabisa. Lkn mkiristo akifa na ukiristo wake huyo motoni kabisa
Hakuna sehemu qur an imeiba kitu kutoka popote kijana
Qur an imekusanya vitabu vyengine ikiwemo zaburi injil taurat nk ikavielezea humo
Na ndio maana kule awali nikakwambia kama Muhammad s.a.w alikua ama uislamu ulikuepo tokea zamani na kuuthibitisha hilo umeleta aya hapo ambayo imempa ruhsa Muhammad kuuliza kwa watu waliopita
Naam upo sahihi sababu qur an imewaelezea manabii na mitume mengine na matukio mengine ambayo Muhammad hakuwaona ama hakuyashuhudia
Umeamini kama uislamu ulikuepo zamani na hvyo vitabu ambavyo anaambiwa akaulize kwazo ni walivyo shushiwa manabii walomtangulia kina masih issa daud nk
Vitabu injiri torat nk
Taratibu za kiuandishi kwa mujibu wa nani kijanaImekusanya vitabu bila kufuata taratibu za kiuandishi. Yaani sheria za umiliki wa maandishi. Ndio maana tunaita Imeiba.
Kwa mfano kwenye injili kila andiko lililotoka kwenye Zaburi au Torati lazima muandishi aeleze bayana kuwa andiko hili linatoka kwa Nabii isaya au imeandikwa kwenye Torati.
Lakini Quran Imeiba maandishi ya vitabu vingine na inajifanya yenyewe ndio imeandika. Wizi mtupu
Aaaaaiiiseeee! Ngoja ninyamaze. Jioni njema sheikh
Mwamposa? 😏😏😏Poa poa mchungaji Mwa
Taratibu za kiuandishi kwa mujibu wa nani kijana
Kama aloandika ama anaemiliki Quran ndio alikua mmiliki wa vitabu hivyo vyengine ulitaka aombe ruhsa kutoka kwa nani
Kijana unapayuka payuka sana mbona
Wewe bikra 72 tu. Halafu wakiristo hamuoi hao bikra umewajuaje?Kwenye pepo ya juu kabisa ndo waliko mabikra 72!?
Hii dini ya Allah imeharibu kabisa vichwa vya waswahili
Mwamposa? 😏😏😏
😁😁😁😁😁Au Robert mwaikwila 😁
Shida inaanza pale waislam mnapothani nyie peke ndiyo mnahatimiliki ya kisasi.Watarudi ku avenge vifo vya watoto na Mama zao so mapigano yatarudi upya!! Violence doesn't end Violence