Israel wanapiga hadi Marekani wameanza kuwaomba waache sasa

Israel wanapiga hadi Marekani wameanza kuwaomba waache sasa

Wapi nimesema mimi ni muislam? Namjibu huyo anayesema IDF kuichakaza Gaza ndio mwisho wa vita. Its not, Palestine watarudi tena kupambania uhuru wao so kama ambavyo walianza pigana tokea 1890 basi ndio itarudi tena vita after 2 years.

Hao wayahudi hawana cha kisasi sababu wao ndio walivamia ardhi ya watu na kuwapora!! Sasa mtu uliyevamia unakuaje na kisasi? Wao wanataka ARDHI ya kujitanua tu na sio kwamba wana kisasi chochote.

Mbona Hitler aliwachinja wayahudi million 6 na hawakujibu mapigo? Unadhani siku Putin au Xi wakipigana na US hatowanyoosha wayahudi? kila mbabe ana mbabe wake its just a matter of time watapigwa kama wamepalalize hata Bible inasema hivyo.

Sio misikitini tu, dunia nzima huwezi maliza mauaji kwa kufanya mauaji. Itakua kama vita ya wakulima na wafugaji haziishi sababu visasi vinalipizwa kila kukicha!! Otherwise sio tu waislam hufundisha ila hata wakristo kupitia biblia inahalalisha wayahudi waue wale wote wanaompinga Mungu. In fact the first genocide duniani ilifanywa kwenye biblia na kina Joshua.

So ni dini zote tu zifundishwe violence doesn't end violence no wonder wayahudi walichinja kila mtu kuchukua Canaan ila mpaka leo vita haikuwahi kuisha.
1) Mimi najua wewe ni Muslim, si jambo la kuambiwa.
Saver za Jf zisikuaminishe kuwa watu humu hawajulikani. Just remove your musk and stand where you belong. This trying to be a neutral when you have a side is hypocrisy.


2) Habari za Uhuru wa Palestrina ni fabricated, Huwezi poteza ambacho hujawi kuwa nacho.

kulikiwa na Israel kabla ya US, Tanzania, Malawi were discovered.

They had a practice. Wamekuwa na Dini, wamekuwa na tamaduni zao, ancestors. They had Kings in time past. They had a kingdom. They lost it, lakini they never lost their values and identity. Ndiyo maana siku zote wana point homewards to Jerusalem, irrespective of being scattered abroad.

Nikuambie kitu hata ,bila America,Uingereza wayahahudi wangelikuja reclaim their landed heritage.

The State of Israel had always been a necessary reality that must materialize so long as the Jews existed with their consciousness and identity, America or not.
3). Sijasema Israel ina tendacy ya kulipa kila Baya walilotendewa, so usinilishe MANENO ambayo sijayaandika...
However, karibu kila aliyeshiriki kwenye holocaust alipatwa na Untimely death.
Wengine walienda chomolewa Argentina juzi kati.
Ama kwako ili kiwe kisasi hadi uone Mig ya Israel inashambulia ndani Cologne ama Freiburg?.

4)Dunia hakuanza Mwaka 1989, so nimakosa kutumia mwaka 1989 kama Rejea.
Wayahudi na waarabu Wote hapo si kwao, they originated in Iraq.
Sasa nini kina fanya waarabu waingie tamaa ya kuwafukuza wenzao ilhali hata wao hapo si kwao?.
In addition
The truth is the era of INFIDELS is gone,this is the 21st century.
People should learn to respect,tolerate and live with each other.
Isreal has come to stay just like any other Islamic state.
Egypt and Saudi Arabia knows the truth that isreal has been existing in the middle east from time.
It's not Qatar or Palestine that was created maybe 4000 year.

5) "Violence doesn't end Violence" on set ili somo ulilielekeza kwa Israel, sio kwa Palestinians ama Budha etc ,sasa ilikuficha ukinyonga wako sasa umelifanya liwe somo la Dunia nzima kuwa Huwezi maliza mauaji kwa mauaji.
6) wayahudi walichinja kila mtu ili kuchukua Ardhi ya Kanani,kweli Kabisa. Sasa dai la kusema hapo si Kwao unalitoa wapi?.
Hilo ardhi waliyoichukua kwa kuchinja wacanan kwasasa iko wapi na how waliopoteza?.
 
Kama kutoka spain na na moroko sijui km 30 ndio nini
Acha kupotosha watu hispania ishawahi kua chini ya utawala wa khalifa ya uislam zaidi ya karne tisa huko nyuma halaf leo unakuja kudanganya watu hapa
Hem nenda ukaisome khalifa ya kordoba kabla kuona wote waliokuepo huku wajinga hawajui mambo
Hispania ilikua sehemu ya dola la kiislam na ilijengwa na waislamu na maendeleo ilionayo leo hispania na sehemu kubwa za ulaya yalipelekewa na waislam
Muache kudanganya watu nyie vijana
Sawa Sheikh ila naomba uniambie kwanini sehemu yenye population ya waislamu wengi nchini Spain ni maeneo ya boarders kati ya Morroco na Spain?
 
Watarudi ku avenge vifo vya watoto na Mama zao so mapigano yatarudi upya!! Violence doesn't end Violence

Ustadhi umefufuka, nilidhani umejitolea kwenda kufia kule Gaza ukapewe mabikira....hakuna mwenye ubavu tena wa kuichokoza Israel siku nyingine, mumetia adabu.
 
Tatizo liliopo Israel wanapiga nini? Wanapigiwa kelele kwasababu wanachokipiga kipo nje kibisa ktk sheria za kivita

Tatizo magaidi ya dini yanajificha nyuma ya watoto na wanawake, hawapambani kama magaidi wenigne wa dini hiyo.
 
Kumbe umeuchukia uislam. Nilikua sijajua

uislamu wenyewe unalazimisha chuki, muarabu aliandika kwenye kitabu chako mchinje kila asiyekubaliana na hicho kitabu.... ilhali kitabu chenyewe na huo uislamu ni dini iliyokuta zingine.
 

The Strange Cases of Anti-Islam Politicians Turned Muslims​


Wapo wengi wanajiunga freemason, uislamu na mavitu mengine ya jehanum, hii ilishatabiriwa na bado watajiunga sana tu.
 
Dini zote zimefanya violence Afrika.... hao wakatoliki tu walifund mauaji ya kimbari na walikiri hilo. Same to Wakristo kama King Leopold aliyepewa kibali na kanisa kufanya ethnic cleansing ya Wacongo 16 Millioni. In fact bible pia inakubaliana na ukoloni na biashara ya utumwa!!

Tuache kuingiza mada za udini kwenye mgogoro wa ardhi maana tukienda kihistoria wazungu wameleta damage kubwa sana Afrika kwa mgongo wa dini.

Muarabu wenu alipokuja Pwani na kuchukua wazee wetu kupitia Bwagamoyo aliacha laana ya hiyo dini yake na kusababisha wanaume mvae madera mpaka leo mkitulipukia mabomu.
 
Historia ya Uislamu haikuanza na Mtume Muhammad kama wanavyofikiria watu wengi bali imeanza tangu alipoletwa nabii wa kwanza ulimwenguni, ambaye kwa mujibu wa Waislamu ni Nabii Adamu alipoteremshwa ulimwenguni na kupewa mwongozo na Mwenyezi Mungu wa namna gani kuishi hapa duniani kwa njia nzuri ya wema na hisani kwa kushikamana na mafunzo yake Mwenyezi Mungu na kujiepusha na makatazo yake
Sema (Ewe Muhammad): Hakika Mimi nimeamrishwa nimuabudu Mwenyezi Mungu, kwa kumsafishia Dini Yeye ( tu ). Na nimeamrishwa niwe wa kwanza wa wale ambao ni Waislamu ( kujisalimisha kwake ). S. 39:11-12 Pickthall
 
.hakuna mwenye ubavu tena wa kuichokoza Israel siku nyingine
Tatizo umezaliwa juzi, wameanza pigana tokea 1890s ndio waje kuacha leo? Watu 30k kufa out of over 15 million Palestine population globally sidhani kama imewarudisha nyuma kwa lolote.

Violence haijawahi maliza Violence zaidi tu inachochea chuki na visasi zaidi.
 
Muarabu wenu alipokuja Pwani na kuchukua wazee wetu kupitia Bwagamoyo aliacha laana ya hiyo dini yake na kusababisha wanaume mvae madera mpaka leo mkitulipukia mabomu.
WaTanzania hatuna laana wala hatujawahi pigwa mabomu licha ya kuwa na large Muslim population. Hizo laana mnazo wakenya huko kuuana kisa maukabila na mna njaa kila kona. Uchumi mbovu na Rais wenu tapeli.

Laana ni zenu huko tena ukome kusema Tanzania ina laana we mungiki.
 
Tatizo umezaliwa juzi, wameanza pigana tokea 1890s ndio waje kuacha leo? Watu 30k kufa out of over 15 million Palestine population globally sidhani kama imewarudisha nyuma kwa lolote.

Violence haijawahi maliza Violence zaidi tu inachochea chuki na visasi zaidi.

Wewe uliyezaliwa karne 500 wakati muarabu anaanzisha hiyo dini yenu ulipaswa ufahamu Wayahudi walianza kupigana kabla ya huyo muarabu, na bado wapo hadi leo.
 
WaTanzania hatuna laana wala hatujawahi pigwa mabomu licha ya kuwa na large Muslim population. Hizo laana mnazo wakenya huko kuuana kisa maukabila na mna njaa kila kona. Uchumi mbovu na Rais wenu tapeli.

Laana ni zenu huko tena ukome kusema Tanzania ina laana we mungiki.

Mazombi wa hiyo dini yenu hamjui Utanzania wala uzalendo, wengi mumevuka kwenda Msumbiji baada ya kusumbua hapo Kibiti, ona mnachofanya kule Msumbiji: Inasemekana Magaidi wamevamia Msafara wa Wanajeshi wa Tanzania na Lesotho
 
Wewe uliyezaliwa karne 500 wakati muarabu anaanzisha hiyo dini yenu ulipaswa ufahamu Wayahudi walianza kupigana kabla ya huyo muarabu, na bado wapo hadi leo.
Wayahudi walipigana lini? Wanabebwa na wamarekani tu kama wangekua wanajua kupigana niambie tokea karne ya kwanza ni vita gani wamewahi shinda? Walitandikwa na Romans, Ottomans let alone wakiwa uhamishoni wametandikwa France, Russia, Poland, Austria, Germany etc.

Sasa kama Hamas yenye wanajeshi elfu 15 pekee wamechukua almost miezi 5 kupigana nao na vita haijaisha ndio sembuse wakitwangana na Iran au Russia? Hao ni overrated pricks kama wanajiamini waivamie Iran au Syria tuone kama Watamtandika Putin!!
 
Sawa Sheikh ila naomba uniambie kwanini sehemu yenye population ya waislamu wengi nchini Spain ni maeneo ya boarders kati ya Morroco na Spain?
Hilo sasa suala lao binafsi au mimi silifahamu na sijalifatilia kama usemalo lina ukweli ama laa ila nimekupa tu ukweli kuhusiana na uislamu ulivyoingia Spain tofauti na ulivyotaka kudanganya watu hapa jf
Na chukua hii uislamu ndio dini inayokua kwakasi zaidi duniani ikiwemo ulaya na kule Americant
 
Muarabu wenu alipokuja Pwani na kuchukua wazee wetu kupitia Bwagamoyo aliacha laana ya hiyo dini yake na kusababisha wanaume mvae madera mpaka leo mkitulipukia mabomu.
Nyie mkipishana na watu wanaziba pua tokea muanze kupata baraka
 
Back
Top Bottom