let the caged bird sings
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 3,699
- 8,857
1) Mimi najua wewe ni Muslim, si jambo la kuambiwa.Wapi nimesema mimi ni muislam? Namjibu huyo anayesema IDF kuichakaza Gaza ndio mwisho wa vita. Its not, Palestine watarudi tena kupambania uhuru wao so kama ambavyo walianza pigana tokea 1890 basi ndio itarudi tena vita after 2 years.
Hao wayahudi hawana cha kisasi sababu wao ndio walivamia ardhi ya watu na kuwapora!! Sasa mtu uliyevamia unakuaje na kisasi? Wao wanataka ARDHI ya kujitanua tu na sio kwamba wana kisasi chochote.
Mbona Hitler aliwachinja wayahudi million 6 na hawakujibu mapigo? Unadhani siku Putin au Xi wakipigana na US hatowanyoosha wayahudi? kila mbabe ana mbabe wake its just a matter of time watapigwa kama wamepalalize hata Bible inasema hivyo.
Sio misikitini tu, dunia nzima huwezi maliza mauaji kwa kufanya mauaji. Itakua kama vita ya wakulima na wafugaji haziishi sababu visasi vinalipizwa kila kukicha!! Otherwise sio tu waislam hufundisha ila hata wakristo kupitia biblia inahalalisha wayahudi waue wale wote wanaompinga Mungu. In fact the first genocide duniani ilifanywa kwenye biblia na kina Joshua.
So ni dini zote tu zifundishwe violence doesn't end violence no wonder wayahudi walichinja kila mtu kuchukua Canaan ila mpaka leo vita haikuwahi kuisha.
Saver za Jf zisikuaminishe kuwa watu humu hawajulikani. Just remove your musk and stand where you belong. This trying to be a neutral when you have a side is hypocrisy.
2) Habari za Uhuru wa Palestrina ni fabricated, Huwezi poteza ambacho hujawi kuwa nacho.
kulikiwa na Israel kabla ya US, Tanzania, Malawi were discovered.
They had a practice. Wamekuwa na Dini, wamekuwa na tamaduni zao, ancestors. They had Kings in time past. They had a kingdom. They lost it, lakini they never lost their values and identity. Ndiyo maana siku zote wana point homewards to Jerusalem, irrespective of being scattered abroad.
Nikuambie kitu hata ,bila America,Uingereza wayahahudi wangelikuja reclaim their landed heritage.
The State of Israel had always been a necessary reality that must materialize so long as the Jews existed with their consciousness and identity, America or not.
3). Sijasema Israel ina tendacy ya kulipa kila Baya walilotendewa, so usinilishe MANENO ambayo sijayaandika...
However, karibu kila aliyeshiriki kwenye holocaust alipatwa na Untimely death.
Wengine walienda chomolewa Argentina juzi kati.
Ama kwako ili kiwe kisasi hadi uone Mig ya Israel inashambulia ndani Cologne ama Freiburg?.
4)Dunia hakuanza Mwaka 1989, so nimakosa kutumia mwaka 1989 kama Rejea.
Wayahudi na waarabu Wote hapo si kwao, they originated in Iraq.
Sasa nini kina fanya waarabu waingie tamaa ya kuwafukuza wenzao ilhali hata wao hapo si kwao?.
In addition
The truth is the era of INFIDELS is gone,this is the 21st century.
People should learn to respect,tolerate and live with each other.
Isreal has come to stay just like any other Islamic state.
Egypt and Saudi Arabia knows the truth that isreal has been existing in the middle east from time.
It's not Qatar or Palestine that was created maybe 4000 year.
5) "Violence doesn't end Violence" on set ili somo ulilielekeza kwa Israel, sio kwa Palestinians ama Budha etc ,sasa ilikuficha ukinyonga wako sasa umelifanya liwe somo la Dunia nzima kuwa Huwezi maliza mauaji kwa mauaji.
6) wayahudi walichinja kila mtu ili kuchukua Ardhi ya Kanani,kweli Kabisa. Sasa dai la kusema hapo si Kwao unalitoa wapi?.
Hilo ardhi waliyoichukua kwa kuchinja wacanan kwasasa iko wapi na how waliopoteza?.