Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Kaa hapo hapo Kwa kutulia kama hujuiNdio maana nikakuuliza wewe sababu mie sijui
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaa hapo hapo Kwa kutulia kama hujuiNdio maana nikakuuliza wewe sababu mie sijui
NATO na USA ni wakiristo lakini walilipua wakiristo wenzao Serbia wakati wa slobodan,juzi tu hapa,walikua wanapigania dini!?..Taliban ni political organization na Afghanistan ni kwao, ISIS siyo kwao Afghanistan,wanafanya kazi ya nani!?Shangaa wewe mwenye dini ya haki. Isis ni waislam halafu wanalipua waislam wenzao tena msikitini.
Wanaouziwa mafuta na kikombe Cha babu ndiyo wajinga wapigwaoKwa ujinga uliowajaa watu hawa acha wapigwe vizuri
NATO hawajawahi kutuma watu kulipua makanisa wala misikiti.NATO na USA ni wakiristo lakini walilipua wakiristo wenzao Serbia wakati wa slobodan,juzi tu hapa,walikua wanapigania dini!?..Taliban ni political organization na Afghanistan ni kwao, ISIS siyo kwao Afghanistan,wanafanya kazi ya nani!?
You can't read between the lines,can you!?..so hivyo ndiyo ulivyoelewa mfano wa NATO na slobodan!?..na maelezo yangu juu ya Taliban, Afghanistan na ISIS!?..Kama ndiyo basi upeo wako mdogo,NATO hawajawahi kutuma watu kulipua makanisa wala misikiti.
Tofautisha kati ya vita ya kidini na vita ya sababu za kisiasa
USSR ni irrelevant na ndio maana sikutaka kabisa kujikita huko kwasababu ni out of topicNilikupa jibu la ussr kwa kudhani labda utajiongeza ila umeshindwa kujiongeza
Nikwamba baada ya kuanguka kwa iliokoa khalifa ya waislam pale cordoba (uhispania yasasa) utawala ulokuja ulitumia nguvu sana kupambana na waislamu ikiwemo kuwaua nakupoteza ama kuharibu utambuzi wao (hata wewe sita shangaa kua toka uumbwe ndio kwanza leo kupitia mie umejua kua uhispania kuna wakati ilikua sehemu ya khalifa ya uislamu sababu haya mambi shuleni hamfundishwi yaani)
Idadi ndogo kua ni waislam sababu uislamu unapigwa vita uhispania tokea baada ya kuanguka khalifa ya uislamu pale uhispania inaongoza pakubwa kwa Islamophobia yaani hata wakitaka kujenga misikiti kwao kikwazo kikubwa shule kikwazo madrasa nk nk
Valencia katalunya Madrid na Andalusia katika hii mji upi upo karibu na moroko maana hio ndio miji inayo host waislam wengi kwa pale uhispania nyie vijana mna shida gani aseee?
Nadhani hapa ntakua nimejibu maswali yako kama ulivyo uliza
USSR ni irrelevant na ndio maana sikutaka kabisa kujikita huko kwasababu ni out of topic
Unapotaja mifano ya utawala wa kiisilamu kama ndio hoja ya kuonesha Uislamu ulikuwepo hapo Spain unakuwa unakosea.
Kwasababu Spain haikuanzishwa baada ya dola ya kiislamu
Uislamu sio asili ya Spain hiyo dola unayoitaja ilikuja kufanya uvamizi miaka ya 711 na baadaye kuondolewa.
Katika hiyo miaka ya 711 kurudi chini dini iliyokuwa dominated hapo Spain ni Christian hakukuwa na kitu kinachoitwa Uislamu.
Na baada ya makoloni ya kiislamu kufurumushwa ndio ikawa ukomo wa Uislamu.
Hakuna muislamu ambaye yupo Spain by geographical nature wengi ni migrants na ndio maana hadi sasa hujaweza kupinga kwa hoja vyanzo vyote vinavyoelezea population ya waisilamu kuwa ni wahamiaji.
Dini ya muarabu hio yako au yakwenu ila nakukumbusha uislamu ndio dini sahihiMuarabu azaliwe juzi na kukuta dini za watu, yeye abuni yake na kuita ndio sahihi...
Kosa lake alivaa nguo za jeshi akiwa mamluki kuwaumiza wapalestineUliiona clip ya Joshua alivyouwawa kikatili na magaidi?
Kama walikubali kubakwa huoni mababu zetu ndio waliokuwa na shidaMuarabu asingekuja kubaka waafrika pale Pwani ungeujua huo uislamu? Kabaka mababu zetu kisha kasimika dini yake na kufanya muwe mazombi zaidi....
Wewe unaejua ulitakiwa ujibu sio kuruka rukaKaa hapo hapo Kwa kutulia kama hujui
Daaah! Labda kama sikuona vzr...!!! Zile nguo zilikuwa gwanda za IDF?Kosa lake alivaa nguo za jeshi akiwa mamluki kuwaumiza wapalestine
Hoja yangu uliyokuwa unaipinga ilikuwa supported na ushahidiKwanza hakuna sehemu nimesema ama nimetaja uwepo wa uislamu pale spain kama ndio chimbuko la spain ama uislamu kama kuna sehemu nimetaja hivyo nioneshe niione hemu
Ila nilibishana na hoja yako ya pale juu uliposema kwamba waislam pale spain wanatokea moroko na kuhamia ndio sababu ya uwepo wao na nikakupa hoja ya uwepo wa uislamu pale hispania karibia karne kumi huko nyuma
Pili pia hata hio spain asili yake ilikuja kwa watu kuhamia na sio spain tu asili karibiu za watu wengi duniani huja kwa watu kuhamia kutoka sehemu moja kwenda nyengine hata hapo spain ilihamiwa na watu kutokea german kama sijakosea
Uislamu ulifanya uvamizi Spain miaka ya 700 hukoUislamu ulikuja ama ulikuepo hispania karne nyingi sana hii ndio ilikua hoja ambayo kwa bahati mbaya ama kusudi unataka uipotoshe halafu unilishe maneno pia nikakwambia hata haya maendeleo unayoyaona leo pale uhispania yalitokana na uwepo wa uislamu kwa wakati ule wenyewe walouita islamic golden age kama sijakosea
Kabla ya kusema kuwa dini ya kiislamu inaookea watu wengi wanao silimu naomba unijibu hili swali.Hakuna sehemu nimepinga population ya spain kua wahamiaji ila hakuna sehemu pia umekataa kama waislamu spain na ulaya nzima wana slimu kwa wingi nandio maana dunia inatoa takwimu mpaka 2050 waislamu watakua sawa na wakristo na kufikia 2070 waislamu watawazidi wakristo ama dini nyengine duniani kote (na ndio maana nikakuuliza kama je hili ongezeko la uislamu lote linatokana na uhamiaji kama unavyodai maana nnavyojua watu wakihama sehemu moja kule wanapohama wanakua wanapungua huja bisha pia kwa hoja)
Hoja yako moja tu ndio ilikua na ushahidi kua hispania waislamu wahamiaji kwa sasa wengi wao na hakuna sehemu niliipingaHoja yangu uliyokuwa unaipinga ilikuwa supported na ushahidi
Hoja yako uliyokuwa unai propose ilikuwa na uthibitisho gani wa kusapoti kuonesha sio kweli kuwa idadi kubwa ya waislamu waliopo Spain ni wahamiaji?
Mimi nimekuwekea vyanzo vinavyokubaliana na hoja zangu lakini wewe madai yako ni hearsay
Kwanza uangalie kwa umakini unajibu koment za naniUislamu ulifanya uvamizi Spain miaka ya 700 huko
Ambapo Spain kwa wakati huo ilikuwa ipo chini ya tawala ya kirumi ambapo raia wote walikuwa ni Christian.
Dola ya kiislamu ilivyokuja kufanya uvamizi iliweka mifumo migumu kwa wasio waislamu. Walikuja na mfumo wa tozo inayoitwa "Jizya" ambayo iliwalenga wasio waislamu
Wakristo wengi walijikuta wanafanya maamuzi ya kubadili dini yao na kuwa waislamu ili waepukane na hiyo tozo ambayo ilikuwa mwiba kwao.
Huko juu umesema waislamu kwa waislamu ndio waliokuwa wanapigana na kusababisha kupoteza dola pale Spain.
Lakini ukweli ni kwamba hawakuwa waislamu waliokuwa waislamu kwa hiari bali ni lile kundi la wale walioinhia kwenye Uislamu ili kuepuka Jizya na vitu vingine ambavyo vilikuwa kero kwao.
Baada ya dola ya kiislamu kuondolewa na kurejeshwa kwa utawala ule wa kizamani, kila mtu alirudi kwenye asili yake.
Na ndio maana leo idadi ya waislamu wengi waliopo huko ni migrants.
Ntakujibu kuanzia chini kwenda huko juu wala usijaliKabla ya kusema kuwa dini ya kiislamu inaookea watu wengi wanao silimu naomba unijibu hili swali.
Ipi ni dini yenye sheria ngumu kwenye swala la kubadili dini kati ya ukristo na uislamu?
Apostasy kwenye Uislamu adhabu yake ni kifo.
Sasa kama wewe ni muislamu halafu kutangaza hadharani tu kuwa wewe sio muislamu kunaweza kukufanya uuliwe
Maana yake katika vipimo vya logic tutaweza kutilia shaka idadi ndogo ya waislamu walio convert kwenda dini nyingine hai reflect uhalisia kuwa ni dini ambayo waumini wake wanaipenda sana bali wanasalia kwenye Uislamu kwasababu ya woga.
Unakubali kuwa waislamu wengi waliopo Spain ni wahamiaji sawa hili tumelimalizaHoja yako moja tu ndio ilikua na ushahidi kua hispania waislamu wahamiaji kwa sasa wengi wao na hakuna sehemu niliipinga