Israel wanapiga hadi Marekani wameanza kuwaomba waache sasa

Israel wanapiga hadi Marekani wameanza kuwaomba waache sasa

Kumbe magaidi? Sasa kivipi tena muue wamama na watoto mnaacha magaidi?
Gaidi anayefyatua RPG kutoka sebuleni kwake kupitia dirishani unamkanilije zaidi ya kulishusha jenge zima afe haraka haraka akafanye ngono na bikira 72 peponi.
 
Manabii wote waliotangulia wengi wao ni mayahudi na Mungu wao ni Yahweh na katiba yao kuu ni Torati
Uyahudi ndio nini? Uyahudi umeanza baada ya kingdom of Israel kusplit na Judaeah. Before that hakukuwa na so called Judaism.

Abraham mwenyewe hajui uyahudi ni nini wewe unamlazimishia.
Alafu Wakristo huwajui vizuri.
Elewa kuwa sio kila mkristo anaamini Kuwa yesu ni Mungu
Issue sio kuamini, 90% ya wakristo duniani ni wakatoliki na protestants na hao wanaamini Yesu ni Mungu!! So tuna conclude kwamba wakristo wana amini Yesu ni Mungu, so basically Mungu wa wayahudi na wakristo sio mmoja so acheni kujimilikisha.
 
Gaidi anayefyatua RPG kutoka sebuleni kwake kupitia dirishani unamkanilije zaidi ya kulishusha jenge zima afe haraka haraka akafanye ngono na bikira 72 peponi.
Si mlisema Israel ina intelijensia kali inashindwaje kujua magaidi wako wapi ikamalize mmoja mmoja!!

Mateka tu ilishindwa kujua wako wapi imebakia kuua wanawake na watoto huku inaacha wanaume na magaidi wanadunda!! Ndio nini sasa.
 
Uyahudi ndio nini? Uyahudi umeanza baada ya kingdom of Israel kusplit na Judaeah. Before that hakukuwa na so called Judaism.

Abraham mwenyewe hajui uyahudi ni nini wewe unamlazimishia.
Issue sio kuamini, 90% ya wakristo duniani ni wakatoliki na protestants na hao wanaamini Yesu ni Mungu!! So tuna conclude kwamba wakristo wana amini Yesu ni Mungu, so basically Mungu wa wayahudi na wakristo sio mmoja so acheni kujimilikisha.

Abrahamu hajui Uyahudi kwa sababu yeye ni babu wa wayahudi.
Sio babu wa wayahudi tuu bali Baba wa mataifa karibu yote ya hapo Mashariki ya kati.

Hakuna anayejimilikisha Mungu.
Kila jamii inamungu wake.
Mungu wa wayahudi (waisraeli kama taifa) ni Yahweh.
Mungu wa Waarabu (wakurdi) na Waislamu ni Allah.
Huwezi sema manabii kabla ya Muhammad walikuwa waislamu ilhali unajua kabisa hao manabii wengi wa ni Waisraeli na Mungu wao ni Yahweh.
 
Si mlisema Israel ina intelijensia kali inashindwaje kujua magaidi wako wapi ikamalize mmoja mmoja!!

Mateka tu ilishindwa kujua wako wapi imebakia kuua wanawake na watoto huku inaacha wanaume na magaidi wanadunda!! Ndio nini sasa.
Teh! Kaka Wanaume wanadunda chini ya ardhi( beneath the earth)?
 
Abrahamu hajui Uyahudi kwa sababu yeye ni babu wa wayahudi.
Sio babu wa wayahudi tuu bali Baba wa mataifa karibu yote ya hapo Mashariki ya kati.
Sio kweli yeye ni chaldean tu yaani muarabu kutoka Iraq ya sasa. Kulikua tayari kuna jamii kibao tu mashariki ya kati soma Mwanzo 13, hata hiyo Jerusalem ilikua na mfalme wake kabisa!!

Kingine waebrani (Unaowaita wayahudi) ni zao la Yakobo na wake zake 4 walitoka Syria.... so basically "wayahudi" wote ni ancient assyrians. Abraham anaitwa baba wa wengi kiroho zaidi in fact Genghis Khan ana uzao mkubwa mashariki ya kati kuliko mtu yoyote yule katika historia.
Huwezi sema manabii kabla ya Muhammad walikuwa waislamu ilhali unajua kabisa hao manabii wengi wa ni Waisraeli na Mungu wao ni Yahweh
Waislam wanatumia Quran ndio inawaambia hivyo, wewe unatumia Bible so kila mtu obvious yupo sahihi usilazimishe wewe ndio unaongea ukweli wakati reference yako ni tofauti na ya mwenzio.
Kila jamii inamungu wake.
Mungu wa wakristo ni yupi mkuu?
 
Abraham alitokea Ilipo Iraq/Syria ya sasa.... so he was a semitic as all arabs and israelites are. Wayahudi wote wametokana na wasyria so utaamua kama ni waarabu au sio!!
Not all semitic are arabs .abraham alikuwa semitic ila sio arab na hakuwahi kujua hata kiarabu
 
Sio kweli yeye ni chaldean tu yaani muarabu kutoka Iraq ya sasa. Kulikua tayari kuna jamii kibao tu mashariki ya kati soma Mwanzo 13, hata hiyo Jerusalem ilikua na mfalme wake kabisa!!

Wewe ni muongo. Ibrahim hakuwa Mkaldayo na wala hakuwa muarabu. Alafu waarabu sio wakaldayo.

Jina; Ibrahim Tera
Utaifa: Muebrania kutoka Jamii ya Semetic (Shemu) kwa Eber Baba wa Waebrania
Lugha: Kiebrania na kiaramu(Aramaic kilichosemwa na Arameans) ambao wametokana na mtoto Aramu mtoto wa Shemu.

Zingatia, Shemu alikuwa na watoto watano wakiume ambao watoto hao walizaa mataifa mengine mengi na lugha humo.
Genesis 10:22
The children of Shem; Elam, and Asshur, and Arphaxad, and Lud, and Aram.

Ibrahim katokea Kwa mtoto wa Shemu aitwaye Arphaxad( Arfaksadi) ambaye alimzaa Sema, huyu sela ndiye aliyemzaa Eber ambaye ndiye Baba wa Waebrania na kiebrania(eber kilitokea kwake).
Mwanzo 10:21 BHN
Shemu, mkubwa wa Yafethi, alikuwa baba yao Waebrania wote.

Hata hivyo kuna sehemu kwenye Biblia inamtaja Yakobo kama Mwarami.
Deuteronomy 26:5
New International Version
5 Then you shall declare before the Lord your God: “My father was a wandering Aramean, and he went down into Egypt with a few people and lived there and became a great nation, powerful and numerous.

Ibrahim Sio muarabu wala sio Myahudi.
Ila alizaa wayahudi, Waedomu, Wamidiani, baadhi ya jamii za kiarabu, miongoni mwa mataifa mengine yaliyotoka kwa Ibrahim.

Ibrahim ni Muebrania kutoka kwa Eber, kwa shemu( Semites)
Kingine waebrani (Unaowaita wayahudi) ni zao la Yakobo na wake zake 4 walitoka Syria.... so basically "wayahudi" wote ni ancient assyrians. Abraham
.Waebrania ni zao la mtoto wa Shemu ambaye alikuwa mtoto wa na Nuhu. Acha uongo wako.
anaitwa baba wa wengi kiroho zaidi in fact Genghis Khan ana uzao mkubwa mashariki ya kati kuliko mtu yoyote yule katika historia.
Waislam wanatumia Quran ndio inawaambia hivyo, wewe unatumia Bible so kila mtu obvious

yupo sahihi usilazimishe wewe ndio unaongea ukweli wakati reference yako ni tofauti na ya mwenzio.
Hakuna ninacholazimisha. Nacho jaribu kueleza ni kuwa Allah na Yàhweh NI miungu wawili tofauti kabisa
Mungu wa wakristo ni yupi mkuu?

Kwanza lazima ujue kuwa Ukristo ni dini ya kizungu. Ukishalijua hilo ndio tunaweza kwenda sambamba.

Wazungu, hasa Waroma walishindwa kuasi utamaduni na mila zao mbele ya Wayahudi (dini,) ingawaje waliiona ni dini nzuri. Walichofanya ni kuichotarisha na kuighushi Uyahudi ili angalau ifanane na baadhi ya mila zao.
 
Wewe ni muongo. Ibrahim hakuwa Mkaldayo na wala hakuwa muarabu. Alafu waarabu sio wakaldayo.

Jina; Ibrahim Tera
Utaifa: Muebrania kutoka Jamii ya Semetic (Shemu) kwa Eber Baba wa Waebrania
Lugha: Kiebrania na kiaramu(Aramaic kilichosemwa na Arameans) ambao wametokana na mtoto Aramu mtoto wa Shemu.

Zingatia, Shemu alikuwa na watoto watano wakiume ambao watoto hao walizaa mataifa mengine mengi na lugha humo.
Genesis 10:22
The children of Shem; Elam, and Asshur, and Arphaxad, and Lud, and Aram.

Ibrahim katokea Kwa mtoto wa Shemu aitwaye Arphaxad( Arfaksadi) ambaye alimzaa Sema, huyu sela ndiye aliyemzaa Eber ambaye ndiye Baba wa Waebrania na kiebrania(eber kilitokea kwake).
Mwanzo 10:21 BHN
Shemu, mkubwa wa Yafethi, alikuwa baba yao Waebrania wote.

Hata hivyo kuna sehemu kwenye Biblia inamtaja Yakobo kama Mwarami.
Deuteronomy 26:5
New International Version
5 Then you shall declare before the Lord your God: “My father was a wandering Aramean, and he went down into Egypt with a few people and lived there and became a great nation, powerful and numerous.

Ibrahim Sio muarabu wala sio Myahudi.
Ila alizaa wayahudi, Waedomu, Wamidiani, baadhi ya jamii za kiarabu, miongoni mwa mataifa mengine yaliyotoka kwa Ibrahim.

Ibrahim ni Muebrania kutoka kwa Eber, kwa shemu( Semites)

.Waebrania ni zao la mtoto wa Shemu ambaye alikuwa mtoto wa na Nuhu. Acha uongo wako.



Hakuna ninacholazimisha. Nacho jaribu kueleza ni kuwa Allah na Yàhweh NI miungu wawili tofauti kabisa


Kwanza lazima ujue kuwa Ukristo ni dini ya kizungu. Ukishalijua hilo ndio tunaweza kwenda sambamba.

Wazungu, hasa Waroma walishindwa kuasi utamaduni na mila zao mbele ya Wayahudi (dini,) ingawaje waliiona ni dini nzuri. Walichofanya ni kuichotarisha na kuighushi Uyahudi ili angalau ifanane na baadhi ya mila zao.
Naomba nipigilie vyema .kwa kifupi ukikutana na abraham leo ukamsalimia asalam aleikhumu atakuwa ndo mara yake ya kwanza kusikia hilo neno .abrahamu na yesu wote walizungumza aramaic na hawakuwahi fanya sara tano wala hawajawahi sikia.na hawakuwahi funga ya mwezi walifunga kwa kufuata dini ya uyahudi isio endana chchote na utamaduni wa kiislamu na uislamu
 
Jina; Ibrahim Tera
Utaifa: Muebrania kutoka Jamii ya Semetic (Shemu) kwa Eber Baba wa Waebrania
Lugha: Kiebrania na kiaramu(Aramaic kilichosemwa na Arameans) ambao wametokana na mtoto Aramu mtoto wa Shemu.
Mbona ni kile kile, Semites ina comprise waarabu, Jews, Mpaka Somalis hawa so wote ni familia moja. Kwahiyo Palestina na Wayahudi ni familia moja wote utachagua sasa uwaite waarabu, wasemiti its up to you but they are inseparable.

According to the bible Abraham alitokea Ur ambayo ni chaldeans present day Iraq . So basically nachopinga ni kusema Abraham ndio baba wa mataifa yote Middle East ilihali alishakuta kuna makabila kibao mfano we mwenyewe unataja Arameans, Hebrews sasa how comes unadai Abraham ndio baba wa mataifa yote?

Ibrahim Sio muarabu wala sio Myahudi.
Wewe ulisema Abraham sio muislam ila myahudi how comes tena unakataa tena?
Ibrahim Sio muarabu wala sio Myahudi.
Ila alizaa wayahudi, Waedomu, Wamidiani, baadhi ya jamii za kiarabu, miongoni mwa mataifa mengine yaliyotoka kwa Ibrahim
Sasa hao kazaa Abraham ila canaan pekee tayari ilikua na jamii 13 how comes usema Abraham alikua baba wa most nations? Ungesema alikua baba wa mataifa mengi inatosha ila sio mengi kuliko wengine ilihali mwenyewe alikuta kuna makabila na mataifa si chini ya 10!!

Kwanza lazima ujue kuwa Ukristo ni dini ya kizungu. Ukishalijua hilo ndio tunaweza kwenda sambamba.
Sio kweli, ukristo ulifika Abyssynia (Ethiopia) kabla hata ya ulaya. In fact wakristo walikuwepo misri (Copts), Ethiopia (Tawahedo) kabla hata wazungu hawajui ukristo ni nini!! So sio kweli kwamba wazungu ndio wanamiliki ukristo sema tu waliuhodhi baadae.
Wazungu, hasa Waroma walishindwa kiasi utamaduni na mila zao mbele ya Wayahudi (dini,) ingawaje waliiona ni dini nzuri. Walichofanya ni kuichotarisha na kuighushi Uyahudi ili angalau ifanane na baadhi ya mila zao
Kwahiyo Yahweh sio Mungu wa wakristo?
 
Hakuna Sheria hapo mkuu. Embu ziweke hapo sheria za musa kwa Mujibu wa Quran.
Unaekaje sheria za mussa kwa mujibubwa qur an wakati yeye alipewa kitabu chengine
Shria za mussa zilikua kwenye suhfi kama nlivyokwambia ila kwenye Quran imeelezewa tu kama Mussa alipewa hicho kitabu
Bisha kwamba Mussa hakupewa kitabu kwa hoja lkn sio kwa kukurupuka au kwa maneno yako
 
Embu toa reference Kutoka kweny Quran kuwa Uislamu unabadilika.
Isijekuwa kama nawe ndio walewale wakitoa vitu pasiporejea.
Ndio maana ni kakwambia kama wewe hujasoma uislamu yaani unakurupuka
5:3 Quran Allah anasemaje hem pitia huko usipende kubishana kwa mambo usio yajua
 
Gaidi yeye anaamini akifa akipigania dini ya haki na wafuasi wa mungu wa upanga( Allah) moja kwa moja anaenda kukabidhiwa bikra swafi saba! Mi naona Ngoja magaidi wapelekwe kwa Allah wakapate bikra bana, au mnasemaje wajameni?

Kwa kweli kiaina hata mimi nimeanza kupata kaukakasi fulani, jameni mpaka sasa sidhani kama kuna yeyote hajapata adabu yake pale Gaza, hata hao HAMAS kama kuna siku nyingine wataichokoza Israel nitawakubali kweli ni ving'ang'anizi.

Watu wa Gaza wameteseka vya kutosha, wamepigika na kubamizwa mpaka basi tu. Itoshe sasa, Israel wakubali kuingia kwenye mazungumzo.

============

Israel’s military response in the Gaza Strip to the shock October 7 attack by Hamas has been “over the top,” US President Joe Biden says.

“I’m of the view, as you know, that the conduct of the response in Gaza, in the Gaza Strip, has been over the top,” he tells reporters at the White House during an evening address that was announced only about two hours earlier.

The president adds that he’s “pushing very hard now” to get a sustained pause in fighting that could also free the remaining hostages in Gaza abducted from Israel on October 7.

Source: Times of Is
 
Mungu aliyempa Musa Torati sio Allah. Nandio maana nikakuambia kuwa Manabii wa nyuma hawakuwa waislamu. Kwa sababu Mungu wa waislamu ni Allah. Ilhali Mungu wa manabii wengi kabla ya Muhammed alikuwa Yahweh. Hapo ndipo tunapopishana
Unanambia kwa maandiko yapi kijana
Mussa alikua Muislam na hata Quran inamtaja hivyo sio tu alikua Muislam bali alikua nabii nasio tu alikua nabii pia alipewa kitabu suhfi (kuna manabii walipewa kitabu zaidi ya kimoja wengine walishare kitabu kimoja kwa wakati mmoja walikutana) nabii Muhammad s.a.w pekee ndio alitofautishwa na baadhi ya manabii walomtangulia
Mussa ni miongoni mwa mitume ama manabii 25 waliotajwa kwenye Quran tukufu
Na ndio maana kusadiqisha kua Allah alikua ni wawote na Muhammad alikua nabii wa mitume wote ni pale wakat anaenda israa na miiraj alipofika maitul muqaddas aliwasalisha hao manabii wote pamoja na malaika
Kijana leta hoja na rejea kama unavyotaka wewe sio unaniletea matamno yako matupu
Naona unaleta hisia zako bila ushahidi wowote
17:1 Quran inaelekeza namna s.a.w alivyoenda huko na akakutana na mitume walomtangulia na akawasalisha pale maitul maqdas Palestine

19:57 qur an inaelezea namna s.a.w alipoenda kukutana na hao mitume akawasalisha halaf anakuja mtu hajasoma qur an anasema hao manabii hawakua waislam walikua sijui wa yakhe

Kijana kuna mengi sana inatakiwa uelekezwe
 
Alokwambia kama Muhammad hakua anajulijana na manabii walopita nani hao
Wakati kuna manabii walikua wanatamani kua watu tu wakawaida katika ummat Muhammad kuliko kua manabii katika umma zao
Sababu ya kutamani ilikuwa nini mkuu washuhudie ndoa ya Saffiya ambaye wazazi wake waliuwawa na Muhammad na kuolewa kwa nguvu au Aisha aliyeolewa akiwa na miaka 6

Au walitamani waone safari ya Miraj

Sent from my SM-A145F using JamiiForums mobile app
 
Sababu ya kutamani ilikuwa nini mkuu washuhudie ndoa ya Saffiya ambaye wazazi wake waliuwawa na Muhammad na kuolewa kwa nguvu au Aisha aliyeolewa akiwa na miaka 6

Au walitamani waone safari ya Miraj

Sent from my SM-A145F using JamiiForums mobile app
Hakuna sehemu utaleta ushahidi juu ya unayoyaongea
Aisha hakuolewa akiwa na miaka sita hizo propaganda
Ukifuatilia story ya sadio mane na mkewe alomuoa hapa majuzi ndio kilichotokea kwa s.a.w
Moja ya sharti la ndoa ya Uislam ni mke kukubali kwamba nimekubali kuolewa awe na akili sasa mtoto wa miaka sita anajua nn propaganda mfu hizi

Walikua wanatamani kua watu wakawaida sababu ummat Muhammad s.a.w ndio umma bora kabisa kuliko zao
Na hata siku ya qiyama ummat wetu huu tutakao bahatika kwenda peponi sisi waislam sio nyie makafiri tutakua wakwanza kuingia peponi wote tukiongozwa na Muhammad s.a.w halaf wengine watafuatia
 
HAMAS ndio wamesababisha raia wauawe hadi naona ukakasi, hawapambani kama magaidi wengine wa dini yenu ambao tumezoea kuona wakipigana wao kama wao, hawa wanajificha nyuma ya wanawake na watoto.
Taja askari mmoja wa Hamas aliyeuwawa na mazayuni
 
“Semeni nyinyi: Tumemuamini Mwenyezi Mungu na yaletuliyo teremshiwa sisi, na yaliyo teremshwa kwa Ibrahim na Ismail na Is-haaq na Yaaquub na wajukuu zake, na waliyopewa Muusa na Yesu, na pia waliyo pewa Manabii wengine kutoka kwa Mola wao Mlezi; hatutafautishi baina ya yeyote katika hao, na sisi tumesilimu kwake.” Qur-aan 2:136
Wewe unahitilafu kichwani.
Hapo chini umesema nguzo ya kwanza ya uislamu ni kumkiri Mungu mmoja na muhamad mtume wake.

Kabla muhamad hajazaliwa hao waislamu wa kwanza walimkiri mtume yupi?
Nguzo nyingine kwenda kuhiji maka.
Hao waislamu wa kabla ya muhamad walitekeleza Hii?
Maana mara nyingi mmesikika mkisema quran haijawahi kubadilishwa, nategemea majibu yasiyobadilika.
 
Back
Top Bottom