Mimi nipo ndani kwangu nimetulia.
Jambazi kaja kanivamia, nimemuua. Kuna kesi hapo?
Hao magaidi wa kipalestina watajifunza siku nyingine wasindandie treni kwa mbele.
Binafsi sikubaliani na mauaji ya watoto wasio na hatia. Israeli inakosea sana kuuwa watoto ambao kimsingi hawana kosa lolote.
Kushambulia Makambi ya wakinbizi na hospitali huo ni uhalifu wa kivita.
Binafsi sikubaliani na mauaji ya watoto wasio na hatia. Israeli inakosea sana kuuwa watoto ambao kimsingi hawana kosa lolote.
Kushambulia Makambi ya wakinbizi na hospitali huo ni uhalifu wa kivita.