Israel yaachia video mpya inayomuonesha Yahya Sinwar kwenye moments zake za mwisho akiwa ameumia na anajificha kwenye makochi!

Israel yaachia video mpya inayomuonesha Yahya Sinwar kwenye moments zake za mwisho akiwa ameumia na anajificha kwenye makochi!

Aliyewashauri hawa jamaa wafanye lile shambulio la October 7 aliwaingiza chaka asee.

Mimi bado naamini kuna njia za amani za kumaliza huu mgogoro baina ya haya mataifa.
Njia zipo lakini USA hataki,u mzozo utajua kuisha siku China na Russia waamue kuisiadia Palesitina..kwa kweli jamaa wanaonewa kwwli.
 
Quran 39: 12 Suratul Zumar (Makundi / Vikosi)
"Na pia nimeamrishwa niwe wa kwanza wa (viumbe) wanaojisalimisha (kwa mwenyezi Mungu)"

Quran 6: 14 Suratul Al- An'am (Wanyama)
Sema "je nifanye mola (wangu) asiyekuwa Mwenyezi Mungu, (Ambaye ndiye) muumba wa mbingu na ardhi" naye hulisha wala halishwi" sema hakika mimi nimeamrishwa niwe wa kwanza katika wenye kusilimu na (nikaambiwa). usiwe miongoni mwa wanaomshirikisha (Mwenyezi Mungu).
Ukiona mabano kwenye tafsiri za Quran umejua Allah haeleweki so wanamrekebisha akili ili aeleweke... Allan and Mudy walikuwa Naive
 
Ayatollah ndio aliwashauri na hii ilikuwa Israel apigwe mtungo ila Netanyau aliwashtukia mapema kwakuwa Hizbullah hakuwa na sababu ya kushambulia kama walivyofanya Hamas ndio maana alikuwa anawachokoza Israel ili ashambulie wapate sababu ya kuvamia kama wenzao lakin BIBi akaona awaache amalizane na Hamas kwanza Kisha atarudi kwao kama watakuwa bado wanaendelea kurusha rockets zao ndani ya Israel na ndio hiki tunachokishuhudia kikifanyika huko Lebanon.
Kaka kasome tena,hezbollah nae anatetea eneo lake mabalo Israel anataka kulichukua kimabavu huko Lebanon.
 
We ndio unadhani vile sababu akili zako haziko sawa. Israel yenyewe ina Kiri huyo ni shujaa na kwa kibahati bahati ndio wamemkuta pale, wala hawakutegemea atakuwa anapigana vita. Siku zote Israel anasema Sinwar yuko chini ya ardhi kumbe mwamba alikuwa ndio kwenye frontline. Kingine wanasema ni kifaru kilipiga ile sehemu, ndio kwa bahati mbaya kikapiga kichwa chake lakini mpaa mda wa mwisho aliweza kuwarushia boom na kuwauwa askari wa Israel.

We kapime akili zako endelea kuamini ujinga wako.


View: https://youtu.be/etchDrOG7Rc?si=IVwGqgBBdgQ8dbv0

Sinwar alikuwa hapigani bali alikuwa kwenye harakati za kuhamia eneo lingine ndio majanga yakamkuta kukutana na white boys Labda ile fimbo yake aliyotaka kuipiga small drone
 
Sinwar alikuwa hapigani bali alikuwa kwenye harakati za kuhamia eneo lingine ndio majanga yakamkuta kukutana na white boys Labda ile fimbo yake aliyotaka kuipiga small drone
Ulikuwepo wewe
 
Njia zipo lakini USA hataki,u mzozo utajua kuisha siku China na Russia waamue kuisiadia Palesitina..kwa kweli jamaa wanaonewa kwwli.

China mwenyewe anashida na India na Taiwan aje anisaidie Palestina kivipi?. Urusi ana shida na Crimea na maeneo mengine ya Ukraine. Hao magaidi ndio wameiharibu amani ya Palestina. PLO na Israel walishakubaliana kabla ya Hamas kuiteka Gaza mpaka Leo.
 
Historia gani wewe unaijua wwngine hatuijui,Israel kwa kushirikiana na USA wamechukua eneo la Palestina kwa mabavu.

Mabavu? Kwanza eneo lilikuwa kinaitwa Judea wale wajinga wa Uturuki ndio wakapaita Palestina. Ingawa Palestina ni Jordan ya Leo.
 
Hii sinema nitaiamini Hamas wakisibitisha. Tusije tukafanyiwa propaganda kama kifo cha Osama bin laden. Kwanini ilihitajika DNA test? Ialialibika sana kiasi cha kutomtambua? Kwanini Hamas hawajatoa tamko?
Viongozi wa juu wamemalizwa,nani atoke huko kwenye mashimo ya ngiri aje atoe tamko auawe
 
Aliyewashauri hawa jamaa wafanye lile shambulio la October 7 aliwaingiza chaka asee.

Mimi bado naamini kuna njia za amani za kumaliza huu mgogoro baina ya haya mataifa.
Kuna taarifa kwamba huyu ndio aliamuru tukio lifanyike bila kuwashirika viongozi wenzake,na pia viongozi wenzake walikuwa hawamkubali kwa sababu anapenda kutumia mabavu sana kuliko diplomatic
 
uzush tu utamjuaj mtu kwa umbal uo then aliku chif kamanda wa juu wa hamas anapokaa lazm ulinz uwe mkubw ht km angeuwaw ila risas zingelia sn

Kweli uko nyuma....Hali halisi ya Hamas kwa sasa unaijua...! Kutembea na ulinzi mkubwa ndio kitu cha kwanza cha kukiepuka! Unakuwa na watu wachache ambayo ni very very loyal! Ndio kakaa muda mrefu! Kundi kubwa la ulinzi unakuwa betrayed haraka sana! Utauzwa......Ndio maana kaauwa na watu watano tu! Anyway....Nimemkumbuka Joshua Mollel......Jamaa alileta maafa hata Tanzania...!

1729290299108.png
 
Kuna taarifa kwamba huyu ndio aliamuru tukio lifanyike bila kuwashirika viongozi wenzake,na pia viongozi wenzake walikuwa hawamkubali kwa sababu anapenda kutumia mabavu sana kuliko diplomatic

Mkuu ni kwamba hata go ahead ya kushambulia October 7, Iran supporter wake mkubwa hakuwaambia! Na hata Khalid Masheel na Marehemu Hanniyeh walijua baada ya tukio! Lakini hawakuwa na jinsi, alipolianzisha ilibidi wamuunge mkono! Alikuwa na misimamo but Not good in strategy.....Swala kubwa Je alifikiri Israel retaliation? Yeye alijua Lazima Iran na Hezbollah wataingia vitani haraka! Hakufikiri baada ya hapo! Inakumbusha Second World War, Japan ilimstukiza USA Pearl Harbor, na ni kweli lilikuwa pigo kubwa, Lakini Japan hailufikilia baada ya hapo!

Sinwar alidhani SUPPORT ya Waarabu itakuwa kubwa....utadhani hawajui!
 
Back
Top Bottom