cassavaleaves
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 1,799
- 2,237
Kwa hiyo walijua alipo
Hawakujua Mkuu! Ilikuwa routine Patrol tu! Ukiangalia hata kwente Satellite images BBC ni magofu tu mahali hapo! Sinwar inaonyesha katika kipindi hiki alikuwa anaishi kwenye magofu! Ambayo ni good trick, maana hakuna watu wata , pita pita maeneo kama hayo, hao askari wakaona Sinwar ( hawakumtambua) na watu wake wanahama toka jengo moja kwenda jingine, in actually sense hawakutaka kuanzisha kupigana, Askari wa Israel wakalipiga jengo hilo, Walifanya hivyo Jumatano, wakaacha, Alhamis wakaja kuangalia waone ni nani sasa walikuwepo katika jengo hilo! Ndio wakaona ni kama Sinwar!