Israel yaachia video mpya inayomuonesha Yahya Sinwar kwenye moments zake za mwisho akiwa ameumia na anajificha kwenye makochi!

Hapa kinalipwa kisasi Cha October 7 mwaka Jana. Bado kisasi Cha makombora 180 hakijaanza kulipa. Hii ni hatari
Ukumbuke ugomvi haujaanza Oktoba 7.
Ulianza Agosti 23.
Israel aache ukorofi halafu uone kama atasumbuliwa.
Hayo makombora ya Iran sahau maana akithubutu utasahau kama kuna Israel.
Iran sio mwarabu ni muajemi.
 
Fuatilia historia ya taifa la Israel vzr ,
 
Inahuzunisha kwamba amekufa akiwa muumini wa hiyo dini ya shetani, hakupata fursa kuokoa nafsi yake.
Ukiokoka wewe na Benjamen Nyau, inatosha sikuna moto pia wameumbiwa watu?
 
Fuatilia historia ya taifa la Israel vzr ,
Naijua kuliko uijuavyo wewe.
Usiniletee historia za biblia za pauka pakawa.
Historia zenyewe za uhalisia Israel imeundwa 1947-1948.
Na kama isingekua msukumo wa USA basi isingeundwa hiyo Israel.
Tena UK ndio ilikataa kabisa Israel kuundwa toka 1920 baada ya lile eneo kuporwa kutoka Ottoman empire 1918.
 
Oktoba 7 Hamas waliua waisrael wangapi ?
Kwa akili zako ugomvi ulianzia Oktoba 7!?
Hivi unajua kama Agosti 23 IDF iliharibu mashamba Khani Younis na kukanyaga raia kwa vifaru!?
Hili tukio unalizungumziaje!?
 
Acha uongo eti ulaya wanaichukia Israel hahahaha yaani wachukie ndugu zao halafu wawapende magaidi ya kiarabu🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ningekuwa Mkuu wa Nchi ningevunja uhusiano na Israel na kumrejesha balozi wao nyumba haraka sana.Sababu kubwa ya kuvunja uhusiano ni Israel kushindwa kulinda raia wake dhidi ya magaidi.
 
Hii sinema nitaiamini Hamas wakisibitisha. Tusije tukafanyiwa propaganda kama kifo cha Osama bin laden. Kwanini ilihitajika DNA test? Ialialibika sana kiasi cha kutomtambua? Kwanini Hamas hawajatoa tamko?
 
Hiyo ni historia ya msikitini.
 
Afe tu hakuna namna
 
uzush tu utamjuaj mtu kwa umbal uo then aliku chif kamanda wa juu wa hamas anapokaa lazm ulinz uwe mkubw ht km angeuwaw ila risas zingelia sn
Usibishe waliotoa hiyo video ni Israel kuonyesha moments za mwisho wenzetu wana technologia kubwa wanabomoa jengo kwa RPG wanarusha drone wakiwa kwa mbali kiasi ile drone iinapita palipobomoka inakuwa na sophisticated camera ili kujua uwepo wa adui na idadi ya maadui drone ikitoka ndo wanapeleka moto kisawa sawa.
 
Wapalestina wanashikiliwa miaka na miaka huko gerezani acha ushabiki , kulipua hospital , sehemu za wakimbizi sio sahihi hakuna vita ya hivyo ...

Miaka yote wanapigwa ile kulipiza ndio wewe unawaona ni wabaya .
Huko kwenye mahospital ndo wanakokimbilia magaidi,lazima yauliwe,huwezi ukafanya ugaidi halafu unaenda kujificha sehemu ya huduma za kijamii ili kujikinga na wasio na hatia
 
Huko kwenye mahospital ndo wanakokimbilia magaidi,lazima yauliwe,huwezi ukafanya ugaidi halafu unaenda kujificha sehemu ya huduma za kijamii ili kujikinga na wasio na hatia
Bado mdogo sana , jitambua kijana hao wapalestina wanashikiliwa wengine ni wadogo kabisa , hawana hatia ...Wewe umekaa kishabiki baadae eti unajifanya una upendo 😀 😀

Mpaka sasa umesahau wanaokufa congo maana wote ni wagalatia huoni kama kuna haja ya kuongelea hilo , kule Ukraine umehama ili mradi upeleke ushabiki katika sehemu inayohtaji akili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…