Sio kweliPoint ni moja tuu hakuna vita ya kikirsto na kiislamu gazza.....
Jinsi unavyopost utafikiri wewe ni myahudi...
Wapaletina wanatetea ardhi yao na tamaduni zao... Israel nae anatetea tamaduni zake na watu wake.
Inabidi hapo ujifunze tamaduni za kipalestina na za kiisrael!!