Israel yaendelea kupiga kwa hasira Gaza. Maana yake nini

Israel yaendelea kupiga kwa hasira Gaza. Maana yake nini

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Baada ya kusita kidogo kwa ule moto wa mabomu mazito kwa wiki moja. Tangu jana usiku mabomu mazito ya kuporomosha majengo yamejirudia. Na si kaskazini peke yake bali mpaka kusini watu walikotakiwa waende kwa usalama wao.

Inajulikana hapo juzi Jeshi la Israel liliingia ndani ya Hospitali kuu ya Alshifa. Pamoja na kutangaza hapo awali kuwa Alshifa ndipo ilijpo command nodule ya Hamas. Maneno hayo yalirudiwa na Rais wa taifa kubwa duniani la Marekani, Joe Biden.

Madaktari ambao wengine wala si waislamu au wapalestina walisisitiza hakuna vitu hivyo. Hatimae Jeshi la IDF lililiingia ndani na hakuna kitu cha maana walichokiona. Kwa aibu wamehojiana na wagonjwa kuhusu habari za Hamas bila kujali majeraha waliyowasababishia.

Kurudia kwa mashambulio hayo na vipeperushi vya kuhofisha watu kuna maana nyingi. Kwanza ni kupata aibu kubwa ya kushindwa kuwapata Hamas na mateka kutoka mahospitali manne makubwa walizozivamia na kuzikalia.

Kwa upande mwengine kunaweza kuwa na maana ya kutaka kumaliza haraka uvamizi wake wa Gaza na kutangaza ushindi kabla mambo hayajazidi kuharibika kwa upande wao.

Washirika na waungaji mkono wa Israel kwa sasa wameonekana kuanza kuligeuka taifa hilo jeuri lisiliosikiliza ushauri wa hata marafiki zake wala kutekeleza azimio lolote la umoja wa mataifa.
 
Aliyeshindwa hushindwa nje ya mipaka ya adui, kwenye hospitali ya Al shifa zimekutwa siraha na vifaa vya kijeshi,

Sidhani kama uko sahihi, silaha na vifaa vya kijeshi zimekutwa ndani ya hospitali, haoo ni dalili ya kweli kwamba waliokuwepo ila wamekimbia.

Adui anashindwa nje ya mipaka siyo aingie ndani alafu useme ameshindwa. Inawezekana hao mateka walishatoroshwa wako nje kwa marafiki zao, au wapo katika eneo ambalo halijafikiwa, ninavyojua baadhi yao wengi wanshauliwa.

Una haitakuwa kujua kwa sasa idf wanapata taarifa kirahisi sana ,kwa kuwa wapo ndani ya Gaza na kuna baadhi ya wapalestina hawapendi kuona yanayoendelea. Ni swala la wakati tu itajulikana . Hamasi wameshashindwa , kupatikana mateka ni swala tofauti na kushindwa kwa Hamas.
 
Baada ya kusita kidogo kwa ule moto wa mabomu mazito kwa wiki moja. Tangu jana usiku mabomu mazito ya kuporomosha majengo yamejirudia. Na si kaskazini peke yake bali mpaka kusini watu walikotakiwa waende kwa usalama wao.

Inajulikana hapo juzi Jeshi la Israel liliingia ndani ya Hospitali kuu ya Alshifa. Pamoja na kutangaza hapo awali kuwa Alshifa ndipo ilijpo command nodule ya Hamas. Maneno hayo yalirudiwa na Rais wa taifa kubwa duniani la Marekani, Joe Biden.

Madaktari ambao wengine wala si waislamu au wapalestina walisisitiza hakuna vitu hivyo. Hatimae Jeshi la IDF lililiingia ndani na hakuna kitu cha maana walichokiona. Kwa aibu wamehojiana na wagonjwa kuhusu habari za Hamas bila kujali majeraha waliyowasababishia.

Kurudia kwa mashambulio hayo na vipeperushi vya kuhofisha watu kuna maana nyingi. Kwanza ni kupata aibu kubwa ya kushindwa kuwapata Hamas na mateka kutoka mahospitali manne makubwa walizozivamia na kuzikalia.

Kwa upande mwengine kunaweza kuwa na maana ya kutaka kumaliza haraka uvamizi wake wa Gaza na kutangaza ushindi kabla mambo hayajazidi kuharibika kwa upande wao.

Washirika na waungaji mkono wa Israel kwa sasa wameonekana kuanza kuligeuka taifa hilo jeuri lisiliosikiliza ushauri wa hata marafiki zake wala kutekeleza azimio lolote la umoja wa mataifa.
Taifa jeuri ni lipi yaani mvamie Israel muue watu mteke Israel ikianza kujilinda mnaanza kulia lia kutaka huruma hapa kipigo kwenda mbele

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Aliyeshindwa hushindwa nje ya mipaka ya adui, kwenye hospitali ya Al shifa zimekutwa siraha na vifaa vya kijeshi, hi


Sidhani kama uko sahihi, silaha na vifaa vya kijeshi zimekutwa ndani ya hospitali, haoo ni dalili ya kweli kwamba waliokuwepo ila wamekimbia.
Adui anashindwa nje ya mipaka siyo aingie ndani alafu useme ameshindwa. Inawezekana hao mateka walishatoroshwa wako nje kwa marafiki zao, au wapo katika eneo ambalo halijafikiwa, ninavyojua baadhi yao wengi wanshauliwa.
Una haitakuwa kujua kwa sasa idf wanapata taarifa kirahisi sana ,kwa kuwa wapo ndani ya Gaza na kuna baadhi ya wapalestina hawapendi kuona yanayoendelea. Ni swala la wakati tu itajulikana . Hamasi wameshashindwa , kupatikana mateka ni swala tofauti na kushindwa kwa Hamas.
maelezo yako ni kama umekubali Israel imeshindwa kinamna na huko mbele itashindwa kinmna nyengine.
Inatia huruma ukali wa makombora kutoka vifaa vya kisasa na sifa za kientelijensia kuwa sasa mnataka taarifa kutoka kwa wagonjwa na raia mitaani.
 
Maana yake nini!! Waliopo gaza tayari walishajua maana. We mvaa makobazi wa ikwiriri uwezi kujua.
Walio Gaza ndio wa mwanzo hawajaelewa kinachoendelea.Wanapigwa kwa ajili ya mateka au kupigwa kwa Israel na Hamas.
 
Et Israeli wamepata aibu 😂😂🤣. Unaakili mdogo sana.
Kwa akili yako ndogo huwezi kujua aibu ni nini.
Mtu mzima unapigana na kitoto kichanga halafu unafukuzana nacho mpaka unajigonga na milango na unashindwa kukikamata unabaki kuhema.
 
Kwa akili yako ndogo huwezi kujua aibu ni nini.
Mtu mzima unapigana na kitoto kichanga halafu unafukuzana nacho mpaka unajigonga na milango na unashindwa kukikamata unabaki kuhema.
Unadhidi kuudhihirisha udogo wako wa akili kwenye mambo ya kivita.
Ndugu zenu katika uislam ndio wanauliwa hivyo, wewe unazungumzia aibu.

Nyie kufukuaneni tope ndio kitu mnachoweza. Mlichojifunza kwa ndugu zenu waarabu

"Ukiwa kama mwislam mwenzangu leo hiii nakuhusia na kuihusia nafsi yangu kuto kujaribu kuwa miongoni mwa kuingilia mtu kinyume na maumbile (UFIRAJI)

KWANI SISI SOTE TUNAJUA ADHABU YA ATAKAYE FANYA HIVYO NI KUULIWA
SASA SIJUI WEWE MWENZANGU KAMA UNAFANYA HIVYO UTAKUWA MGENI WA NANI HAPO AKHERA KAMA KWA DUNIANI TUU ADHABU NI YA KIFO 😭

TUKUMBUKE PIA HAUTAFUFULIWA NA UMMA WA MUHAMMAD BALI NA ULE UMMA ULIO ANGAMIA😔

BADILIKAA SASA BADO WAKATI UNAO
KAMA HUAMINI NGOJEA UFE 😒

Mtumie na muislam mwenzio unae mpenda ili ajirekebishe / asiingie katika mkumbo huo"
 
Unadhidi kuudhihirisha udogo wako wa akili kwenye mambo ya kivita.
Ndugu zenu katika uislam ndio wanamalizwa hivyo, wewe unazungumzia aibu.
Wewe ndio huelewi ushindi katika vita.Unadhani unakuja kwa ukubwa wa jeshi na ukali wa silaha.
Kama ni hivyo Marekani isingefurushwa Afghanistan mpaka wakaamua kukimbia na kuwaachia silaha zao Taleban.
 
Kosa lilikuwepo tangu enzi za kina Yoshua

Waliambiwa wawamalize kabisa hao wafilisti, hawakusikia!

Labda ndo wanataka wawamalize sasa???
 
Walio Gaza ndio wa mwanzo hawajaelewa kinachoendelea.Wanapigwa kwa ajili ya mateka au kupigwa kwa Israel na Hamas.
Sifa yako kubwa ambayo ni nadra sana kuiona kwa wengine ni...huna JAZBA na una UVUMILIVU wa hali ya juu unapojibu hoja.

Bravo..!!
 
Back
Top Bottom