Israel yaendelea kupiga kwa hasira Gaza. Maana yake nini

Israel yaendelea kupiga kwa hasira Gaza. Maana yake nini

Mohamed Hijab analia lia kuwa maisha ya myahudi mmoja ni sawa na waislam 100.. so Raia wa Israel waliokufa na kutekwa jumlisha then utapata idadi ya Muslim wanaotakiwa kudedi pale Gaza..

Hii vita ilikuwa ni kama Adhabu kwa Wayahudi kuiacha Gaza iwe chini ya Wafuasi wa Shetani.. so hii ni usafishaji unaendelea hadi uish Israel iwe salama tena bila kuchokozwa.. usafishaji huu ni nchi nzima hadi west bank yote.. Hamas wamembeba Allahu na kiti chake cha enzi ndani ya handaki gaza
umesema kweli. ni kama wanaadhibiwa kwa kuondoa wayahudi Gaza ili wapalestina wakae. mwaka 2005 kuna majumba mengi tu ya wayahudi yalibomolewa na wao wakahamishiwa westbank na GAza yote ikakabidhiwa kwa palestina. nakumbuka yalishawahi kuwepo pia majengo kule westbank Arriel sharon akavunja na kuhamisha wayahudi, kilichotokea hakumaliza hata mwaka alipigwa stroke akakaa ICU zaidi ya mwaka hadi alipokufa.
 
Baada ya kusita kidogo kwa ule moto wa mabomu mazito kwa wiki moja. Tangu jana usiku mabomu mazito ya kuporomosha majengo yamejirudia. Na si kaskazini peke yake bali mpaka kusini watu walikotakiwa waende kwa usalama wao.

Inajulikana hapo juzi Jeshi la Israel liliingia ndani ya Hospitali kuu ya Alshifa. Pamoja na kutangaza hapo awali kuwa Alshifa ndipo ilijpo command nodule ya Hamas. Maneno hayo yalirudiwa na Rais wa taifa kubwa duniani la Marekani, Joe Biden.

Madaktari ambao wengine wala si waislamu au wapalestina walisisitiza hakuna vitu hivyo. Hatimae Jeshi la IDF lililiingia ndani na hakuna kitu cha maana walichokiona. Kwa aibu wamehojiana na wagonjwa kuhusu habari za Hamas bila kujali majeraha waliyowasababishia.

Kurudia kwa mashambulio hayo na vipeperushi vya kuhofisha watu kuna maana nyingi. Kwanza ni kupata aibu kubwa ya kushindwa kuwapata Hamas na mateka kutoka mahospitali manne makubwa walizozivamia na kuzikalia.

Kwa upande mwengine kunaweza kuwa na maana ya kutaka kumaliza haraka uvamizi wake wa Gaza na kutangaza ushindi kabla mambo hayajazidi kuharibika kwa upande wao.

Washirika na waungaji mkono wa Israel kwa sasa wameonekana kuanza kuligeuka taifa hilo jeuri lisiliosikiliza ushauri wa hata marafiki zake wala kutekeleza azimio lolote la umoja wa mataifa.

IMG_4507.jpg
 
Baada ya kusita kidogo kwa ule moto wa mabomu mazito kwa wiki moja. Tangu jana usiku mabomu mazito ya kuporomosha majengo yamejirudia. Na si kaskazini peke yake bali mpaka kusini watu walikotakiwa waende kwa usalama wao.

Inajulikana hapo juzi Jeshi la Israel liliingia ndani ya Hospitali kuu ya Alshifa. Pamoja na kutangaza hapo awali kuwa Alshifa ndipo ilijpo command nodule ya Hamas. Maneno hayo yalirudiwa na Rais wa taifa kubwa duniani la Marekani, Joe Biden.

Madaktari ambao wengine wala si waislamu au wapalestina walisisitiza hakuna vitu hivyo. Hatimae Jeshi la IDF lililiingia ndani na hakuna kitu cha maana walichokiona. Kwa aibu wamehojiana na wagonjwa kuhusu habari za Hamas bila kujali majeraha waliyowasababishia.

Kurudia kwa mashambulio hayo na vipeperushi vya kuhofisha watu kuna maana nyingi. Kwanza ni kupata aibu kubwa ya kushindwa kuwapata Hamas na mateka kutoka mahospitali manne makubwa walizozivamia na kuzikalia.

Kwa upande mwengine kunaweza kuwa na maana ya kutaka kumaliza haraka uvamizi wake wa Gaza na kutangaza ushindi kabla mambo hayajazidi kuharibika kwa upande wao.

Washirika na waungaji mkono wa Israel kwa sasa wameonekana kuanza kuligeuka taifa hilo jeuri lisiliosikiliza ushauri wa hata marafiki zake wala kutekeleza azimio lolote la umoja wa mataifa.
Pole sana, hiyo ni vita siyo operation, vita ni mbaya, mazingira ambayo Israel ametengenezewa ndo yanamfanya aipige Gaza mapigo makuu, Hamas wameshambulia na kuteka, maadui wa Israel wakawapongeza na kusema ni wavamizi wanastahili kufa, Israel alivyojiteea mkasema huu ndo mwisho wa Israel wanajeshi dhaifu, kipigo kilipozidi, mkapiga kelele eti anaua watoto na WA awake, mumetafuta huruma kwenye jamii ya kimataifa, Israel amekaribisha mtu yoyote anayataka vita aende akawasaidie hamasi.
 
Baada ya kusita kidogo kwa ule moto wa mabomu mazito kwa wiki moja. Tangu jana usiku mabomu mazito ya kuporomosha majengo yamejirudia. Na si kaskazini peke yake bali mpaka kusini watu walikotakiwa waende kwa usalama wao.

Inajulikana hapo juzi Jeshi la Israel liliingia ndani ya Hospitali kuu ya Alshifa. Pamoja na kutangaza hapo awali kuwa Alshifa ndipo ilijpo command nodule ya Hamas. Maneno hayo yalirudiwa na Rais wa taifa kubwa duniani la Marekani, Joe Biden.

Madaktari ambao wengine wala si waislamu au wapalestina walisisitiza hakuna vitu hivyo. Hatimae Jeshi la IDF lililiingia ndani na hakuna kitu cha maana walichokiona. Kwa aibu wamehojiana na wagonjwa kuhusu habari za Hamas bila kujali majeraha waliyowasababishia.

Kurudia kwa mashambulio hayo na vipeperushi vya kuhofisha watu kuna maana nyingi. Kwanza ni kupata aibu kubwa ya kushindwa kuwapata Hamas na mateka kutoka mahospitali manne makubwa walizozivamia na kuzikalia.

Kwa upande mwengine kunaweza kuwa na maana ya kutaka kumaliza haraka uvamizi wake wa Gaza na kutangaza ushindi kabla mambo hayajazidi kuharibika kwa upande wao.

Washirika na waungaji mkono wa Israel kwa sasa wameonekana kuanza kuligeuka taifa hilo jeuri lisiliosikiliza ushauri wa hata marafiki zake wala kutekeleza azimio lolote la umoja wa mataifa.
Bado hamjasema. Kobazi kwa kobazi, pedo kwa pedo.
 
Baada ya kusita kidogo kwa ule moto wa mabomu mazito kwa wiki moja. Tangu jana usiku mabomu mazito ya kuporomosha majengo yamejirudia. Na si kaskazini peke yake bali mpaka kusini watu walikotakiwa waende kwa usalama wao.

Inajulikana hapo juzi Jeshi la Israel liliingia ndani ya Hospitali kuu ya Alshifa. Pamoja na kutangaza hapo awali kuwa Alshifa ndipo ilijpo command nodule ya Hamas. Maneno hayo yalirudiwa na Rais wa taifa kubwa duniani la Marekani, Joe Biden.

Madaktari ambao wengine wala si waislamu au wapalestina walisisitiza hakuna vitu hivyo. Hatimae Jeshi la IDF lililiingia ndani na hakuna kitu cha maana walichokiona. Kwa aibu wamehojiana na wagonjwa kuhusu habari za Hamas bila kujali majeraha waliyowasababishia.

Kurudia kwa mashambulio hayo na vipeperushi vya kuhofisha watu kuna maana nyingi. Kwanza ni kupata aibu kubwa ya kushindwa kuwapata Hamas na mateka kutoka mahospitali manne makubwa walizozivamia na kuzikalia.

Kwa upande mwengine kunaweza kuwa na maana ya kutaka kumaliza haraka uvamizi wake wa Gaza na kutangaza ushindi kabla mambo hayajazidi kuharibika kwa upande wao.

Washirika na waungaji mkono wa Israel kwa sasa wameonekana kuanza kuligeuka taifa hilo jeuri lisiliosikiliza ushauri wa hata marafiki zake wala kutekeleza azimio lolote la umoja wa mataifa.
hata magaidi ya kibiti yalijifanya kama waumin wa kawaida wa dini , hivyo serikali ililaumiwa kuwaua , ila vifo vya hao waumin vikapelekea kutoweka kwa magaidi ya kibiti , je kama magaidi hayakuuliwa kwann hayakurudi tena , the same kwa Gaza , popote penye mashambuliz ujue pana jambo halipo sawa
 
Baada ya kusita kidogo kwa ule moto wa mabomu mazito kwa wiki moja. Tangu jana usiku mabomu mazito ya kuporomosha majengo yamejirudia. Na si kaskazini peke yake bali mpaka kusini watu walikotakiwa waende kwa usalama wao.

Inajulikana hapo juzi Jeshi la Israel liliingia ndani ya Hospitali kuu ya Alshifa. Pamoja na kutangaza hapo awali kuwa Alshifa ndipo ilijpo command nodule ya Hamas. Maneno hayo yalirudiwa na Rais wa taifa kubwa duniani la Marekani, Joe Biden.

Madaktari ambao wengine wala si waislamu au wapalestina walisisitiza hakuna vitu hivyo. Hatimae Jeshi la IDF lililiingia ndani na hakuna kitu cha maana walichokiona. Kwa aibu wamehojiana na wagonjwa kuhusu habari za Hamas bila kujali majeraha waliyowasababishia.

Kurudia kwa mashambulio hayo na vipeperushi vya kuhofisha watu kuna maana nyingi. Kwanza ni kupata aibu kubwa ya kushindwa kuwapata Hamas na mateka kutoka mahospitali manne makubwa walizozivamia na kuzikalia.

Kwa upande mwengine kunaweza kuwa na maana ya kutaka kumaliza haraka uvamizi wake wa Gaza na kutangaza ushindi kabla mambo hayajazidi kuharibika kwa upande wao.

Washirika na waungaji mkono wa Israel kwa sasa wameonekana kuanza kuligeuka taifa hilo jeuri lisiliosikiliza ushauri wa hata marafiki zake wala kutekeleza azimio lolote la umoja wa mataifa.
Eti waliingia Alshifa hawkukuta kitu!! Ulikuwepo wewe Kobaz?
 
Mwili wa mateka mmoja wa October 7 umekutwa nje ya hiyo hospitali, hao madaktari wanajua kinachoendelea, IDF wangewakabidhi JWTZ wawapapase hao madaktari wangesema yote
Kwa kweli kwa JWTZ wangekuwa wameshasema
 
K
wazayuni wana hasira, wanapapasa kuliko hata jwtz. wanatoa kipigo hadi hamas waliokamatwa wameonyesha siri zote na wenzao walipo na majengo wanayotumia na majengo yanayomilikiwa na viongozi wao.
Kipogo cha JWTZ nusu saa umeshasema yote
 
Pole sana, hiyo ni vita siyo operation, vita ni mbaya, mazingira ambayo Israel ametengenezewa ndo yanamfanya aipige Gaza mapigo makuu, Hamas wameshambulia na kuteka, maadui wa Israel wakawapongeza na kusema ni wavamizi wanastahili kufa, Israel alivyojiteea mkasema huu ndo mwisho wa Israel wanajeshi dhaifu, kipigo kilipozidi, mkapiga kelele eti anaua watoto na WA awake, mumetafuta huruma kwenye jamii ya kimataifa, Israel amekaribisha mtu yoyote anayataka vita aende akawasaidie hamasi.
Vita haina jema
 
hata magaidi ya kibiti yalijifanya kama waumin wa kawaida wa dini , hivyo serikali ililaumiwa kuwaua , ila vifo vya hao waumin vikapelekea kutoweka kwa magaidi ya kibiti , je kama magaidi hayakuuliwa kwann hayakurudi tena , the same kwa Gaza , popote penye mashambuliz ujue pana jambo halipo sawa
Kwa kweli serikali ilifanya jambo jema kuwapoteza magaidi ya kibiti. Dini sio mlango au uhalali wa ugaidi
 
Eti hasira...hawajawakuta Hamas na mateka Al shifa!?
Wamekuta baadhi ya maiti za mateka hapo Al Shida hospital, maiti za wayahudi zinatangazwa na IDF hadi sasa ni wawili, maiti za nchi nyingine mnaletewa kimyakimya mfano ni hiyo maiti ya mtanzania, wote hapo hospitali, huo ushahidi mwingime mnaoutaka sijui Ni upi

Hao Hamas wamevua magwanda, wameshika kamera kuonyesha maiti za watoto, wamejipa kengo Cha propaganda na mazishi
 
Wamekuta baadhi ya maiti za mateka hapo Al Shida hospital, maiti za wayahudi zinatangazwa na IDF hadi sasa ni wawili, maiti za nchi nyingine mnaletewa kimyakimya mfano ni hiyo maiti ya mtanzania, wote hapo hospitali, huo ushahidi mwingime mnaoutaka sijui Ni upi

Hao Hamas wamevua magwanda, wameshika kamera kuonyesha maiti za watoto, wamejipa kengo Cha propaganda na mazishi
Porojo hizo,wakute maiti za mateka Al shifa na wasitangaze!?
 
umesema kweli. ni kama wanaadhibiwa kwa kuondoa wayahudi Gaza ili wapalestina wakae. mwaka 2005 kuna majumba mengi tu ya wayahudi yalibomolewa na wao wakahamishiwa westbank na GAza yote ikakabidhiwa kwa palestina. nakumbuka yalishawahi kuwepo pia majengo kule westbank Arriel sharon akavunja na kuhamisha wayahudi, kilichotokea hakumaliza hata mwaka alipigwa stroke akakaa ICU zaidi ya mwaka hadi alipokufa.
Duh inafikirisha Sana hii, 🤔
 
Back
Top Bottom