Israel yaendelea kupiga kwa hasira Gaza. Maana yake nini

Israel yaendelea kupiga kwa hasira Gaza. Maana yake nini

Baada ya kusita kidogo kwa ule moto wa mabomu mazito kwa wiki moja. Tangu jana usiku mabomu mazito ya kuporomosha majengo yamejirudia. Na si kaskazini peke yake bali mpaka kusini watu walikotakiwa waende kwa usalama wao.

Inajulikana hapo juzi Jeshi la Israel liliingia ndani ya Hospitali kuu ya Alshifa. Pamoja na kutangaza hapo awali kuwa Alshifa ndipo ilijpo command nodule ya Hamas. Maneno hayo yalirudiwa na Rais wa taifa kubwa duniani la Marekani, Joe Biden.

Madaktari ambao wengine wala si waislamu au wapalestina walisisitiza hakuna vitu hivyo. Hatimae Jeshi la IDF lililiingia ndani na hakuna kitu cha maana walichokiona. Kwa aibu wamehojiana na wagonjwa kuhusu habari za Hamas bila kujali majeraha waliyowasababishia.

Kurudia kwa mashambulio hayo na vipeperushi vya kuhofisha watu kuna maana nyingi. Kwanza ni kupata aibu kubwa ya kushindwa kuwapata Hamas na mateka kutoka mahospitali manne makubwa walizozivamia na kuzikalia.

Kwa upande mwengine kunaweza kuwa na maana ya kutaka kumaliza haraka uvamizi wake wa Gaza na kutangaza ushindi kabla mambo hayajazidi kuharibika kwa upande wao.

Washirika na waungaji mkono wa Israel kwa sasa wameonekana kuanza kuligeuka taifa hilo jeuri lisiliosikiliza ushauri wa hata marafiki zake wala kutekeleza azimio lolote la umoja wa mataifa.
kama hakuna kitu cha maana, inakuwaje baadhi ya wafanyakazi wa hospitali hadi sasaivi wameshikiliwa kwa mahojiano zaidi? pia, wawe walikuta kitu au la, cha muhimu ni hamas aondolewe kwa namna yeyote. though kwa upande fulani inanikera kuona hao hao wayahudi ni mashoga sana miongoni mwao lakini hamas ni lazima afurushwe.
 
kama hakuna kitu cha maana, inakuwaje baadhi ya wafanyakazi wa hospitali hadi sasaivi wameshikiliwa kwa mahojiano zaidi? pia, wawe walikuta kitu au la, cha muhimu ni hamas aondolewe kwa namna yeyote. though kwa upande fulani inanikera kuona hao hao wayahudi ni mashoga sana miongoni mwao lakini hamas ni lazima afurushwe.
Kilichotakiwa cha mwanzo ni kuonesha kambi ya jeshi ya Hamas na kuokoa mateka.Kama hakuna hivyo vitu basi jengine lolote halina umuhimu kwa ulimwengu.
Mambo ya kuendelea kuwahoji madaktari na wagonjwa ni aina ya ushoga wa askari wa Israel.Umbea ni aina ya sifa za mashoga sawa na akina mama.
 
Kilichotakiwa cha mwanzo ni kuonesha kambi ya jeshi ya Hamas na kuokoa mateka.Kama hakuna hivyo vitu basi jengine lolote halina umuhimu kwa ulimwengu.
Mambo ya kuendelea kuwahoji madaktari na wagonjwa ni aina ya ushoga wa askari wa Israel.Umbea ni aina ya sifa za mashoga sawa na akina mama.
waisrael kadhaa wanajulikana ni mashoga, substantial number kubwa tu. ila hamas nao kujifichaficha kwenye raia na kwenye mahandaki, na kuteka raia badala ya kuteka wanajeshi, sio mbaya tukiwaita mapunga kabisa.
 
waisrael kadhaa wanajulikana ni mashoga, substantial number kubwa tu. ila hamas nao kujifichaficha kwenye raia na kwenye mahandaki, na kuteka raia badala ya kuteka wanajeshi, sio mbaya tukiwaita mapunga kabisa.
Kinachofanywa na Hamas kutetea ardhi zao kwa nini unaona ni vibaya.
Israel ina maelfu ya wapalestina iliowateka majumbani mwao wala si Hamas.
 
Safisha safisha bado inaendelea. Netanyahu ameshasema kwamba hii vita itachukua muda mrefu sana
 
kama hakuna kitu cha maana, inakuwaje baadhi ya wafanyakazi wa hospitali hadi sasaivi wameshikiliwa kwa mahojiano zaidi? pia, wawe walikuta kitu au la, cha muhimu ni hamas aondolewe kwa namna yeyote. though kwa upande fulani inanikera kuona hao hao wayahudi ni mashoga sana miongoni mwao lakini hamas ni lazima afurushwe.
Mwili wa mateka mmoja wa October 7 umekutwa nje ya hiyo hospitali, hao madaktari wanajua kinachoendelea, IDF wangewakabidhi JWTZ wawapapase hao madaktari wangesema yote
 
Vita ikiisha tutajua mshindi nani tuache ushabiki usiotuhusu mbona ya kongo hamuyaongelei hizi dini zote ni za kkafiri tu usenge usenge ndio unaendelea humo ndani na hiyo vita wanaijua wao sio sisi mashabiki maandazi yakwetu yanatushinda familia hazina hata chakula unakuta mtu anakaza fuvu kwenye vita
 
Wangesema wahqhitaji watu wa kujitolea kwenda kuwatangwa waislamu wale ningekuwa wa kwanza kujitokeza
 
Baada ya kusita kidogo kwa ule moto wa mabomu mazito kwa wiki moja. Tangu jana usiku mabomu mazito ya kuporomosha majengo yamejirudia. Na si kaskazini peke yake bali mpaka kusini watu walikotakiwa waende kwa usalama wao.

Inajulikana hapo juzi Jeshi la Israel liliingia ndani ya Hospitali kuu ya Alshifa. Pamoja na kutangaza hapo awali kuwa Alshifa ndipo ilijpo command nodule ya Hamas. Maneno hayo yalirudiwa na Rais wa taifa kubwa duniani la Marekani, Joe Biden.

Madaktari ambao wengine wala si waislamu au wapalestina walisisitiza hakuna vitu hivyo. Hatimae Jeshi la IDF lililiingia ndani na hakuna kitu cha maana walichokiona. Kwa aibu wamehojiana na wagonjwa kuhusu habari za Hamas bila kujali majeraha waliyowasababishia.

Kurudia kwa mashambulio hayo na vipeperushi vya kuhofisha watu kuna maana nyingi. Kwanza ni kupata aibu kubwa ya kushindwa kuwapata Hamas na mateka kutoka mahospitali manne makubwa walizozivamia na kuzikalia.

Kwa upande mwengine kunaweza kuwa na maana ya kutaka kumaliza haraka uvamizi wake wa Gaza na kutangaza ushindi kabla mambo hayajazidi kuharibika kwa upande wao.

Washirika na waungaji mkono wa Israel kwa sasa wameonekana kuanza kuligeuka taifa hilo jeuri lisiliosikiliza ushauri wa hata marafiki zake wala kutekeleza azimio lolote la umoja wa mataifa.
Hamas ndio jeuri wasiosikiliza ushauri
 
Mwili wa mateka mmoja wa October 7 umekutwa nje ya hiyo hospitali, hao madaktari wanajua kinachoendelea, IDF wangewakabidhi JWTZ wawapapase hao madaktari wangesema yote
wazayuni wana hasira, wanapapasa kuliko hata jwtz. wanatoa kipigo hadi hamas waliokamatwa wameonyesha siri zote na wenzao walipo na majengo wanayotumia na majengo yanayomilikiwa na viongozi wao.
 
Kinachofanywa na Hamas kutetea ardhi zao kwa nini unaona ni vibaya.
Israel ina maelfu ya wapalestina iliowateka majumbani mwao wala si Hamas.
ile haijawahi kuwa ardhi ya palestina wale hamas, lini ile ardhi ilikuwa ya wapalestina, sema.
 
Baada ya kusita kidogo kwa ule moto wa mabomu mazito kwa wiki moja. Tangu jana usiku mabomu mazito ya kuporomosha majengo yamejirudia. Na si kaskazini peke yake bali mpaka kusini watu walikotakiwa waende kwa usalama wao.

Inajulikana hapo juzi Jeshi la Israel liliingia ndani ya Hospitali kuu ya Alshifa. Pamoja na kutangaza hapo awali kuwa Alshifa ndipo ilijpo command nodule ya Hamas. Maneno hayo yalirudiwa na Rais wa taifa kubwa duniani la Marekani, Joe Biden.

Madaktari ambao wengine wala si waislamu au wapalestina walisisitiza hakuna vitu hivyo. Hatimae Jeshi la IDF lililiingia ndani na hakuna kitu cha maana walichokiona. Kwa aibu wamehojiana na wagonjwa kuhusu habari za Hamas bila kujali majeraha waliyowasababishia.

Kurudia kwa mashambulio hayo na vipeperushi vya kuhofisha watu kuna maana nyingi. Kwanza ni kupata aibu kubwa ya kushindwa kuwapata Hamas na mateka kutoka mahospitali manne makubwa walizozivamia na kuzikalia.

Kwa upande mwengine kunaweza kuwa na maana ya kutaka kumaliza haraka uvamizi wake wa Gaza na kutangaza ushindi kabla mambo hayajazidi kuharibika kwa upande wao.

Washirika na waungaji mkono wa Israel kwa sasa wameonekana kuanza kuligeuka taifa hilo jeuri lisiliosikiliza ushauri wa hata marafiki zake wala kutekeleza azimio lolote la umoja wa mataifa.
Walichokoza wenyewe sasa tabu tupate sisi ya nini..?
 
Inarushwaje mzee , idf iko ndani ya Gaza,wakirusha ina maana wanajitambulisha kwa idf tuko hapaaaa njooni mtuue, hawwezi, kufanya hivyo.
Roketi unabeba tu Kama jembe,unarusha,unaziweka mahali,unatulia
 
Mohamed Hijab analia lia kuwa maisha ya myahudi mmoja ni sawa na waislam 100.. so Raia wa Israel waliokufa na kutekwa jumlisha then utapata idadi ya Muslim wanaotakiwa kudedi pale Gaza..

Hii vita ilikuwa ni kama Adhabu kwa Wayahudi kuiacha Gaza iwe chini ya Wafuasi wa Shetani.. so hii ni usafishaji unaendelea hadi uish Israel iwe salama tena bila kuchokozwa.. usafishaji huu ni nchi nzima hadi west bank yote.. Hamas wamembeba Allahu na kiti chake cha enzi ndani ya handaki gaza
 
Wengi hawajatambua lengo la mzayuni la kufanya hivyo ni nini.Mzayuni anataka mpaka mapepo yanayowashawishi mafilisti kurusha makombora na yenyewe yakimbie
 
Back
Top Bottom