Israel imechakazwa kwa kiwango cha kimataifa lakini vyombo vya habari kama kawaida vinaibeba Israel.
Marekani wanakumbuka kipigo walichokipata kutoka Iran walipomwua mkemia wa nyuklia wa Iran.
Base za kijeshi zilizopo mashariki ya kati zilichakazwa kwa kiwango cha kimataifa. Wanajeshi zaidi ya 100 wa Marekani waligeuka uji. Tangu hapo Marekani wanaiogopa Iran.