Israel yafanya shambulio baya nchini Lebanon na kuua zaidi ya 50, huku zaidi ya 300 wakijeruhiwa

Hizbullah siyo Hamas,Us ndiye aliyemuhonga Iran kuondolewa vikwazo Ili asirushe vyuma israel, hizbullah wametangaza 'war of reckoning'..ngoja tuone
Sawa sawa watapata zaidi wanachokitaka. Hakuna mtu wakumzd israel kwa haon magaidi
 
Aisee israel imeanzisha moto mkubwa upande wa lebanon ni maghala ya silaha ya hezbollah yanachomwa yanatoa milipuko ya kutisha kiukweli leo israel imewaamulia hezbollah na lebanon inageuzwa gaza now
This time wameapa kula sahani moja na magaidi
 
Hawa Hezbullah mafala sana, wao Israel wanau Raia, nyie mnapiga askari pigeni Raia wao pia uwaone kama atagusa tena Lebanon. Hata uislam unakuambia anaye kushambulia mshambulie vile vile.
Nafikiri ndiyo kifuatacho itv
 
Weeeeh weeeh weeeeh acha upumbavu.
Hizbollah ana kambi rasmi ya jeshi ambako ndipo anapofanyia mashambulizi na kila kitu zipo kilometa hamsini mbali na makazi ya raia.
Afu mashambulizi yaliyoenda israel yapo kwenye hayo makazi..? Hujui israel anafumua ziliporushwa roketi..?
 
Hakuna Shambulio zuri.
Wewe tujuze israel imeendelea kuwapeleka magaidi wakafaidi mabikra-72 huko ahera
 
UN haina uwezo wa kuiambia Israel lolote sababu UN iliweka vikosi vya kulinda amani kwenye mpaka wa Israel na Lebanon lakini Hezbollah wamekuwa wakifanya watakavyo na UN haikuwahi kusikika ikiwakemea
 
Wamekimbia kambini wameenda kwa raia....tutawamalizia huko huko...vita SI chujio useme linachuja tui na Nazi...we raia uliepewa muda wa kuondoka na ukakaidi..utapigwa tu..na mi nasema watapigwa tu maana hakuna namna sasa
 
Wamekimbia kambini wameenda kwa raia....tutawamalizia huko huko...vita SI chujio useme linachuja tui na Nazi...we raia uliepewa muda wa kuondoka na ukakaidi..utapigwa tu..na mi nasema watapigwa tu maana hakuna namna sasa
Hivyo wapigwetu. Twaaa..?
 
Hawa Hezbullah mafala sana, wao Israel wanau Raia, nyie mnapiga askari pigeni Raia wao pia uwaone kama atagusa tena Lebanon. Hata uislam unakuambia anaye kushambulia mshambulie vile vile.
Casualties Israel zinatokea sana, ni vile hawatangazi.
Hadi Israel kushambulia kiasi hiko ujue Hezbollah kuna balaa amefanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…