Israel yafanya shambulio baya nchini Lebanon na kuua zaidi ya 50, huku zaidi ya 300 wakijeruhiwa

Israel yafanya shambulio baya nchini Lebanon na kuua zaidi ya 50, huku zaidi ya 300 wakijeruhiwa

Israel imetumia wiki kuua command nzima ya Hezbollah. Unasemaje Hezbollah itashinda.

Hamas unaona wanafurukuta kwa lolote? Si walikuwa wanapewa kichwa, sasa Hezbollah imevamiwa Hamas hata kurusha roketi moja hawajarusha. Wakati mpango wa Iran ni kuwatumia hawa kwa pamoja.

Hezbollah atapigwa hutoona Iran wala Syria ambako walimsaidia Assad wakijihusisha. Kipigo cha peke yao.
Sijasema Hezbollah itashinda, nimesema Israel haitoweza idhibiti Hezbollah.
 
Israel imetumia wiki kuua command nzima ya Hezbollah. Unasemaje Hezbollah itashinda.

Hamas unaona wanafurukuta kwa lolote? Si walikuwa wanapewa kichwa, sasa Hezbollah imevamiwa Hamas hata kurusha roketi moja hawajarusha. Wakati mpango wa Iran ni kuwatumia hawa kwa pamoja.

Hezbollah atapigwa hutoona Iran wala Syria ambako walimsaidia Assad wakijihusisha. Kipigo cha peke yao.
Kuua makamanda na kupigana full out war ni vitu viwili tofauti.
Hizo ni assassination attempts tofauti na watu wakikutana sako kwa bako.
Licha ya hao makamanda kuuliwa Hizbollah bado imekua na ari ile ile ha vita na ikawa inaendelea kurusha maroketi Israel hadi sasa.
Hivyo tofautisha hivyo vitu viwili mkuu.
Leo Hamas watoke wote laki moja naa kupigana na jeshi la Israel lenye wanajeshi walemavu zaidi ya 70k Israel hachomoki jino moja.
Labda NATO wamsaidie.
 
Utasikia muda si mrefu baraza la usalama umoja wa mataifa wanakaa kusimamisha hii vita ya Hezbollah na Israel.

Wanaogopa vita kamili, Israel itachakazwa hilo halina hata wasi wasi.
Wazir mkuu wa Lebanon ndio wa kwanza kuomba msaada wa UN kuizuia Israel isiendelee kushambulia Lebanon akafutiwa na viongozi karibu wote wa nchi za kiarabu akiwemo Iran.
 
Wazir mkuu wa Lebanon ndio wa kwanza kuomba msaada wa UN kuizuia Israel isiendelee kushambulia Lebanon akafutiwa na viongozi karibu wote wa nchi za kiarabu akiwemo Iran.
Mkuu embu acha kudanganya.
Walioomba ceasefire wakwanza ni USA,France na UK jana kwenye kikao cha UNGA.
Waziri wa Lebanon yeye aliitika wito wa mjadala wa ceasefire ila hakuomba yeye.
Screenshot_2024-09-26-08-51-23-84_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-09-26-08-51-43-98_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-09-26-08-52-20-48_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-09-26-08-53-04-97_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
Jengo moja limepigwa ambamo inasadikiwa kutumika kama makazi ya wanamgambo wa Hezbollah, karibu na jengo na Bunge.
Na jengo hili linasemekana kuwa ni medical facility.
Watu kadhaa wameripotiwa kupoteza maisha na wenfine wengi kujeruhiwa.

Shambulizi hili limefabywa kwa makombora yaliovurumishwa na IDF.
Tuendelee kuwa watulivu. Habar zaid zinakuja


View: https://youtu.be/XZyhrY3Hvuw?si=oqnvkrGpzF1E4HZp
 
Hezbollah are attacking with ferocity. It's honestly difficult to keep up!

24 attacks announced now and in the latest attacks announcing hitting a Merkava tank and carrying out several ambushes.

This is unprecedented. The IDF has never faced attacks in volume , quality and such quantity in the past wars in Lebanon.

Helicopters are seen transporting dead and wounded continuously!

Allah is the greatest!

Al Muqawamah Al Islamiyah 🇿🇦
 
Hezbollah are attacking with ferocity. It's honestly difficult to keep up!

24 attacks announced now and in the latest attacks announcing hitting a Merkava tank and carrying out several ambushes.

This is unprecedented. The IDF has never faced attacks in volume , quality and such quantity in the past wars in Lebanon.

Helicopters are seen transporting dead and wounded continuously!

Allah is the greatest!

Al Muqawamah Al Islamiyah 🇿🇦
Where are your stories reported. Kindly provide us the source
 
Back
Top Bottom