Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hezibolah hana uwezo wa kuitisha IsraelHii vita wacha tuone watajibu vipi.
Ila nahisi majibu yatakua ya kiwango kikubwa zaidi ya jana.
Kuua bata na kuku ili watu wasile nyama sio?Tusubiri majibu ya Hizbollah.
Israel naye ataongeza kiwango cha mapigo kama kawaida yake.Hii vita wacha tuone watajibu vipi.
Ila nahisi majibu yatakua ya kiwango kikubwa zaidi ya jana.
Huo uwenzo wanao? Labda wewe ukawape hizo mbinu za kuua raia.Hawa Hezbullah mafala sana, wao Israel wanau Raia, nyie mnapiga askari pigeni Raia wao pia uwaone kama atagusa tena Lebanon. Hata uislam unakuambia anaye kushambulia mshambulie vile vile.
Kama hana uwezo kuanzia alhamisi asingeshambulia Israel na kuua askari wanne wa Israel.Hezibolah hana uwezo wa kuitisha Israel
Na m'bado. Myahudi anajitahidi sana kuwatawadha hao jamaa wavaa kobaaz ili waende kwa mabikra walioahidiwa wakiwa na udhu. Lakini cha kushangaza ni mbona bado ni wachache (100+) hadi sasa waliokwisha pewa udhu na kupata kibali cha kuwahi huko kwa mabikra na mito ya pombe? Myahudi anatuangusha kweli. IDF pull up ur socks.hadi sasa wame update figure, zaidi ya walebanon 100 wameuawa tayari
Tumechoka kusubiri lini sasa.Tusubiri majibu ya Hizbollah.
Hiyo ni vita itakua piga nikupige hadi itapofahamika nani katema bungo.Israel naye ataongeza kiwango cha mapigo kama kawaida yake.
Mdogo wangu Hezbullah mwenyewe anataka wa Lebanon wafe, sababu Israel huwa hana mipaka ya adabu kwenye vita. Tazama mfano pale Gaza anafanya genocide sababu anajua wazi yuko America na Europe watamkingia kifua. Hezbullah ni lazima na yeye apige civilian area ndio Israel ataweka adabu.Tusubiri majibu ya Hizbollah.
Kobazi kachezea kichapo hapoHiyo ni vita itakua piga nikupige hadi itapofahamika nani katema bungo.
Hizi vurugu zilianza tangia Oktoba 8 2023.
Hivyo tuache sakata liendelee.
Jana si alishambulia Israel na akaua askari wawili kama alivyoua Alhamisi!?Tumechoka kusubiri lini sasa.
Uisalam up mkuuHawa Hezbullah mafala sana, wao Israel wanau Raia, nyie mnapiga askari pigeni Raia wao pia uwaone kama atagusa tena Lebanon. Hata uislam unakuambia anaye kushambulia mshambulie vile vile.
Hizbullah na Hamas wanatamani sana hayo yote uliyoyasema ila bahati mbaya uwezo wa kufanya hivyo hawana.Mdogo wangu Hezbullah mwenyewe anataka wa Lebanon wafe, sababu Israel huwa hana mipaka ya adabu kwenye vita. Tazama mfano pale Gaza anafanya genocide sababu anajua wazi yuko America na Europe watamkingia kifua. Hezbullah ni lazima na yeye apige civilian area ndio Israel ataweka adabu.
Israel haheshimu isipokuwa nguvu tu, yeye akiuwa civilian na nyie uweni civilian. Vita haina adabu eti nikwepe civilian. Israel anakataza media kuchukua madhara anayo pata ya kijeshi, lakini kwenye kiwanda cha Rafael karuhusu wachukue majumba ya mastaff asingizie wanapiga civilian. Afu yeye anajidai watu tokeni kwenye majumba yenu, afu anapiga hapa hapo ili aseme aliwapa warning.
Ukipigana na mwehu na wewe kuwa mwehu kama yeye akipiga civilian na wewe piga civilian ndio dawa yake.
Basi kaka tusubiri tuone Hizbollah ataamua nini.Mdogo wangu Hezbullah mwenyewe anataka wa Lebanon wafe, sababu Israel huwa hana mipaka ya adabu kwenye vita. Tazama mfano pale Gaza anafanya genocide sababu anajua wazi yuko America na Europe watamkingia kifua. Hezbullah ni lazima na yeye apige civilian area ndio Israel ataweka adabu.
Israel haheshimu isipokuwa nguvu tu, yeye akiuwa civilian na nyie uweni civilian. Vita haina adabu eti nikwepe civilian. Israel anakataza media kuchukua madhara anayo pata ya kijeshi, lakini kwenye kiwanda cha Rafael karuhusu wachukue majumba ya mastaff asingizie wanapiga civilian. Afu yeye anajidai watu tokeni kwenye majumba yenu, afu anapiga hapa hapo ili aseme aliwapa warning.
Ukipigana na mwehu na wewe kuwa mwehu kama yeye akipiga civilian na wewe piga civilian ndio dawa yake.
Ukichokoza watu uwe na ubavu. Hawa hezbollah soon tu nao watafutwa. Pale middle east kuna kazi maalumu ya kidunia afu US yupo pale pale anasibiria mtu aingilie mazima 😁😁😁😁 itakua amenunua ugomvi kwa lazimaHizbullah walisema israel watachagua vita au amani,vita vinavyofuata sheria au visivyofuata sheria, israel wameamua kufuata vita visivyofuata sheria
Kabla ya shambulizi hili hawaja pewa taarifa kuwa waondoke..?Mdogo wangu Hezbullah mwenyewe anataka wa Lebanon wafe, sababu Israel huwa hana mipaka ya adabu kwenye vita. Tazama mfano pale Gaza anafanya genocide sababu anajua wazi yuko America na Europe watamkingia kifua. Hezbullah ni lazima na yeye apige civilian area ndio Israel ataweka adabu.
Israel haheshimu isipokuwa nguvu tu, yeye akiuwa civilian na nyie uweni civilian. Vita haina adabu eti nikwepe civilian. Israel anakataza media kuchukua madhara anayo pata ya kijeshi, lakini kwenye kiwanda cha Rafael karuhusu wachukue majumba ya mastaff asingizie wanapiga civilian. Afu yeye anajidai watu tokeni kwenye majumba yenu, afu anapiga hapa hapo ili aseme aliwapa warning.
Ukipigana na mwehu na wewe kuwa mwehu kama yeye akipiga civilian na wewe piga civilian ndio dawa yake.