Israel yalalamika Hezbollah kupokea Mitambo ya ulinzi wa Anga (Air defense) kutoka Iran

Israel yalalamika Hezbollah kupokea Mitambo ya ulinzi wa Anga (Air defense) kutoka Iran

Sir John Roberts

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2017
Posts
12,835
Reaction score
23,584
Katika hali ya kishangaza sana na kuuchekesha Ulimwengu taifa la mchongo Israeli leo limetoa taarifa kuwa wanamgambo wa Hezbollah kutoka nchi ya Lebanon 🇱🇧 wamepokea mitambo ya ulinzi wa anga kutoka Iran ( hii ni kweli ). Na kuelezea masikitiko yao kuwa dunia ipige kelele kitendo hicho hakikubaliki.

Wakati wanatoa taarifa hii Israeli anaendelea kupokea shehena ya mabomu na vilipuzi kutoka marekani kwajili ya kupambana na hao hao Hezbollah na Hamas wa kule palestina.

Je hawa viongozi wa Israeli hizi ni dalili za kuanza kuchanganyikiwa au vita imewazidi uwezo.?tuendelee kutazama mchezo wa vita unavyoenda.
Screenshot_20240518_161000_X.jpg
 
Hizo ni porojo tu za masjid ubwabwa Iran hana ADS ya kuweza kuitisha Israel mbona kila siku anapigwa hapo Syria sasa hizo ADS waga ziko wapi.
Hawa jamaa munyazi Mungu sijui aliwafanya nn kwenye bongo zao!! Hata leo iibuke vita kati ya boko haram na Marekani utayaona yako upande wa boko haram kakimtetea nakumsifia
 
Hizo ni porojo tu za masjid ubwabwa Iran hana ADS ya kuweza kuitisha Israel mbona kila siku anapigwa hapo Syria sasa hizo ADS waga ziko wapi.
Wewe uwa punguani sana hujui hata ulichokiandika mabwana zako ndiyo wanajua Iran ni nani.

Lini alipeleka ADS huko Syria?

Vitu vingi ufahamu wewe mlokole unakaza mshipa kuitetea Israel, wameishageukana huko mabwana zako hawaataki mipango ya Netanyahu wanataka vita iishe Hamas watawamaliza askari wao.
 
Hizo ni porojo tu za masjid ubwabwa Iran hana ADS ya kuweza kuitisha Israel mbona kila siku anapigwa hapo Syria sasa hizo ADS waga ziko wapi.
Israeli inalalamika mambo magumu Hezbollah anawajambisha huko North wewe unapiga domo JF
 
Hawa jamaa munyazi Mungu sijui aliwafanya nn kwenye bongo zao!! Hata leo iibuke vita kati ya boko haram na Marekani utayaona yako upande wa boko haram kakimtetea nakumsifia
We mwehu nini wewe mbona unamtetea bwanako marekani kwanini ukasirike wenzio wakiwa upande wa pili?
 
Is
Hizo ni porojo tu za masjid ubwabwa Iran hana ADS ya kuweza kuitisha Israel mbona kila siku anapigwa hapo Syria sasa hizo ADS waga ziko wapi.
israel hana nguvu hata robo ya kupigana na iran kila kitu kimeonekana wazi, wana jeshi dhaifu sana vita hii ndogo tu ya kupigana na hamas inaenda mwezi wa nane sasa hakuna cha mateka wala kuwamaliza hamas,
Mkuu wa ulinzi israel gallant amemwambia netanyahu na right wing wenzake juzi kwenye mkutano na vyombo vya habari kwamba netanyahu amekosa plan ya kupigana na hamas, na ukumbuke huyu gallant netanyahu alishawahi kumfukuza mwaka jana ,wananchi wa israel wakaandamana netanyahu akamrudisha
Kilichobaki kwa netanyahu kwa sasa ni hataki uchaguzi na so far hajafanikisha chochote kwenye vita hii zaidi ya uharibifu huku israel ikiwa diplomatically hovyo duniani na kupingwa sera zake hadi na waisrael nwenyewe
 

Attachments

  • Screenshot_20240516-132008_Chrome.jpg
    Screenshot_20240516-132008_Chrome.jpg
    413 KB · Views: 3
  • Screenshot_20240516-131931_Chrome.jpg
    Screenshot_20240516-131931_Chrome.jpg
    410.5 KB · Views: 6
Is

israel hana nguvu hata robo ya kupigana na iran kila kitu kimeonekana wazi, wana jeshi dhaifu sana vita hii ndogo tu ya kupigana na hamas inaenda mwezi wa nane sasa hakuna cha mateka wala kuwamaliza hamas,
Mkuu wa ulinzi israel gallant amemwambia netanyahu na right wing wenzake juzi kwenye mkutano na vyombo vya habari kwamba netanyahu amekosa plan ya kupigana na hamas, na ukumbuke huyu gallant netanyahu alishawahi kumfukuza mwaka jana ,wananchi wa israel wakaandamana netanyahu akamrudisha
Kilichobaki kwa netanyahu kwa sasa ni hataki uchaguzi na so far hajafanikisha chochote kwenye vita hii zaidi ya uharibifu huku israel ikiwa diplomatically hovyo duniani na kupingwa sera zake hadi na waisrael nwenyewe
Wewe mbona unaongea kijinga sana, kwani Hamas wako wapi. Watu wenyewe waoga kama nini wanaogopa vita kwa kujichanganya na raia sasa wewe unataka Israel wafanye nini waue wapalestina wote.

Hao magaidi wa Hamas wangejitokeza waziwazi kwamba wanataka kupigana na Israel vita vingeisha ndani ya siku saba na leo hii Hamas ingekuwa historia.

Sasa mataifa yote ya kiislamu yajifanye kutaka kupigana na Israel uone kitakachowapata huoni hata wenyewe wanaufyata.

Israel wakiamua kupigana vita hata Marekani aungane na Russia kumchangia na waachane na mambo ya nyuklia watakula kichapo ambacho hawatakaa wasahau.
 
Wewe uwa punguani sana hujui hata ulichokiandika mabwana zako ndiyo wanajua Iran ni nani.

Lini alipeleka ADS huko Syria?

Vitu vingi ufahamu wewe mlokole unakaza mshipa kuitetea Israel, wameishageukana huko mabwana zako hawaataki mipango ya Netanyahu wanataka vita iishe Hamas watawamaliza askari wao.
Umepiga kichwa chini sana hadi akili zimesizi.
 
Wewe mbona unaongea kijinga sana, kwani Hamas wako wapi. Watu wenyewe waoga kama nini wanaogopa vita kwa kujichanganya na raia sasa wewe unataka Israel wafanye nini waue wapalestina wote.

Hao magaidi wa Hamas wangejitokeza waziwazi kwamba wanataka kupigana na Israel vita vingeisha ndani ya siku saba na leo hii Hamas ingekuwa historia.

Sasa mataifa yote ya kiislamu yajifanye kutaka kupigana na Israel uone kitakachowapata huoni hata wenyewe wanaufyata.

Israel wakiamua kupigana vita hata Marekani aungane na Russia kumchangia na waachane na mambo ya nyuklia watakula kichapo ambacho hawatakaa wasahau.
Marekani iungane na Urusi ipambane na Israel bado ishindwe? Labda kwavile walioungana ni mahasimu watakuwa wanapigana wao kwa wao ndo ushindi wa israel.
 
Wewe mbona unaongea kijinga sana, kwani Hamas wako wapi. Watu wenyewe waoga kama nini wanaogopa vita kwa kujichanganya na raia sasa wewe unataka Israel wafanye nini waue wapalestina wote.

Hao magaidi wa Hamas wangejitokeza waziwazi kwamba wanataka kupigana na Israel vita vingeisha ndani ya siku saba na leo hii Hamas ingekuwa historia.

Sasa mataifa yote ya kiislamu yajifanye kutaka kupigana na Israel uone kitakachowapata huoni hata wenyewe wanaufyata.

Israel wakiamua kupigana vita hata Marekani aungane na Russia kumchangia na waachane na mambo ya nyuklia watakula kichapo ambacho hawatakaa wasahau.
Wewe kweli hamnazo yani unaonyesha kabisa hata shule huna aise kuwa mfuasi wa mwamposa kunaliangamiza hili taifa kama vijana wenyewe ndio uwezo wenu wa kufikiria umeishia hapa basi tatizo ni kubwa kuliko tunavyodhania

Maghayo angalia ndugu yako huyo akili zake
 
Back
Top Bottom