kajificha kama hamas wanavyojificha kwenye mahandaki na kuwaachia msala raia badala ya kuwalinda na sasa wameuliwa maelfu na wanaendelea kuuliwa daily tena dozens yaan ni kama kifurushi cha siku system ya mauwaji ya wazayuni inapiga auto renewal dailyNetanyahu kajificha kwenye Bunker,kutoka timing
makamanda wa allah wanauliwa ka kuku wa mdondo tena ndani ya nchi zao dah wazayuni hawafai kabisaKakufa kamanda
Wazayuni hatari sana. unaaona kuwa watapoa kumbe wao ndio wanaanza.makamanda wa allah wanauliwa ka kuku wa mdondo tena ndani ya nchi zao dah wazayuni hawafai kabisa
wazayuni washasema hii vita itaendelea 2024 na zaidi sasa wapalestina wa JF wanaleta maneno ya taarabu na kanga mokoWazayuni hatari sana. unaaona kuwa watapoa kumbe wao ndio wanaanza.
Go go IDF, real definition of a strong army indeed.Mpaka sasa Israel wanaendelea kuonya tu, wanapiga mdogo mdogo na kuonya Hezbollah maana kitu watakachokifanya pale Lebanon, mtaanza kulia lia kwamba wanaua hadi watoto.......
Hapa wamemuua kamanda.
View: https://twitter.com/Islam_Observer_/status/1744323447516463413?ref_src=twsrc%5Etfw%7Ctwcamp%5Etweetembed%7Ctwterm%5E1744323447516463413%7Ctwgr%5E9c5fe8baa03df223dc32256f4f19ad145f47de22%7Ctwcon%5Es1_&ref_url=https%3A%2F%2Fwww.timesofisrael.com%2Fliveblog-january-8-2024%2F
Hata kama wewe ungetoka???Netanyahu kajificha kwenye Bunker,kutoka timing
Sio kakufa kamanda tu, bali kafa shemeji wa Hassan Nassrallah baba yenu, mwambie Ritz, FaizaFoxy, Green rajab, nk🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hizbullah kundi teule
Hatutaki lawama enyi mazayuni wa jf
makamanda yanakufwakufwa tu hovyohovyo mbona allah hawapambanii waja wake au pengine allah yupo likizo 🤣 🤣 🤣🤣Sio kakufa kamanda tu, bali kafa shemeji wa Hassan Nassrallah baba yenu, mwambie Ritz, FaizaFoxy, Green rajab, nk🤣🤣🤣🤣🤣🤣
acha US iendelee kuonya huku Israel mtoa roho za magaidi akiendelea kutafuta roho za makamanda wengine wa kigaidi azitoe. Kumbe US ina huruma na hezbollah eh eh eh basi aingie kati kuisaidiaUS imeowaonya Israel. Hawawezi kuwashinda Hesbullah.
Hawa wafia mabikra hawanaga mapya ni wajinga sana, walianzaga kwa mbwembwe kweli na matamko utafikiri wanayo nguvu kumbe ni wanawake tumakamanda yanakufwakufwa tu hovyohovyo mbona allah hawapambanii waja wake au pengine allah yupo likizo 🤣 🤣 🤣🤣
Umesahau vita vya IDF na Hesbullah. Walitoka ngoma droo. Wakubwa wakisema sisi tutulize ushabiki.acha US iendelee kuonya huku Israel mtoa roho za magaidi akiendelea kutafuta roho za makamanda wengine wa kigaidi azitoe. Kumbe US ina huruma na hezbollah eh eh eh basi aingie kati kuisaidia