Israel yaogopa wagonjwa na maskini

hakuna kutengeneza wanakubali wenyewe kuwa mara hii mambo ni magumu na hapo kuna miguu wakati mwengine vichwa tu vilivyopatikana na jamaa, naona kaviziba , ndio vita
View attachment 2803425
Janani msijifariji Kwa kuokota picha za sehemu nyingine, Israel ifanye kweli Huko Gaza ikiwachekea hao Hamas na wapenda ugaidi itawagharimu. Watoe funzo ili hata siku nyingine wasirudie,.
 
Janani msijifariji Kwa kuokota picha za sehemu nyingine, Israel ifanye kweli Huko Gaza ikiwachekea hao Hamas na wapenda ugaidi itawagharimu. Watoe funzo ili hata siku nyingine wasirudie,.
Itakayogharimika zaidi ni Israel ambayo Jana ilitangaza kwenye TV zao , Hamas wamerusha makombora yao mpaka Dimona kwenye Nuclear Power Station na mabomu ya Nuclear. Na wanasema wangepiga ,miji ya TelAviv na iliyoizunguka itakuwa ni historia
 
vi

Itakayogharimika zaidi ni Israel ambayo Jana ilitangaza kwenye TV zao , Hamas wamerusha makombora yao mpaka Dimona kwenye Nuclear Power Station na mabomu ya Nuclear. Na wanasema wangepiga ,miji ya TelAviv na iliyoizunguka itakuwa ni historia
Mpaka jana Hmas wameweza kurusha maroketi takriban 10 kwa siku tangu Israel iingize vifaru Gaza.Inawatisha Israel.Hao Hamas wamejificha wapi ?
 
Wanafanya mambo ya kishetani hadi wenyewe wanaogopa reaction ya jamii umewahi kuona chombo cha habari cha kimataifa kimesuia comments? Sasa leo sky news wamezuia comments mazayuni hali yao ni mbaya nafsi zao zinawasuta they are fighting a war they know they will never win, u will never win a war against humanity
 

Attachments

  • Screenshot_20231104-215429_Instagram.jpg
    90.5 KB · Views: 2
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…