Israel yasambaratisha kituo kikubwa zaidi cha kutengeneza makombora cha Hezbollah

Israel yasambaratisha kituo kikubwa zaidi cha kutengeneza makombora cha Hezbollah

Unaonekana ni mweupe sana kwenye huu mzozo.
Hivi vita ya 2006 umewahi ifuatilia baina ya Hizbollah na Israel!?
Israel ilifanya carpet bombing hadi katika vituo vya matangazo vya Hizbollah.
Kwa zile taarifa kila mtu aliamini Hizbollah is finished.
Walidai wamelipua MAGHALA YOTE YA SILAHA ZA HIZBOLLAH.
Ila muda mchache ujao roketi na makombora yalionekana yakitoka Kusini mwa Lebanon kuingia Israel.

Hata mwaka huu Israel imesambaza habari na picha ikisema imeteka silaha za Hizbollah na kuzilipua,cha ajabu Hizbollah iliendesha vita.
Hivi una habari kuwa raia wanazidi kukimbia kamazi kuelekea Kanda ya kati ya Israel kwa kuiogopa Hizbollah!?

Endelea kujidanganya,Hizbollah ina silaha nyingi sana za kuendesha vita .
Sheikh wangu Umud huwa ananisimulia kama wewe. Ingawa hajui kiingereza lakini akikaa anatusimulia sana. Naye anakuwa ameambiwa ukimuuliza source hajui maana yake nini. Nadhani nawe sheikh wangu ni vile vile tu. Haya tunaambiana tukiwa wenyewe ila JF kuna wengi wanauelewa.

Haya mambo sheikh wangu tusichanganye ni mihemko ya kiimani. Maana naona hili suala tumelichukua kiimani sana. Unamkuta mtu maamuma anaongelea suala hili hadi povu lamtoka.lakini maamuma tu ka ulivyo.
 
Kuna kitendo gani cha kuashiria hatari ya usalama!?
Makubaliano si ilikua Hizbollah asijipange kijeshi!?
Sasa imekuaje ushambulie!?
Israel kavunja makubaliano tusubiri nini Hizbollah ataamua.
Kitendo cha Hezbollah kukusanya silaha, kuzipakia kwenye gari na gari kusindikizwa kuelekea eneo husika ni kitendo kilichoashiria hatari kwa usalama wa Israel.
Lakini yote kwa yote inaonekana Hezbollah hakuielewa ile Hati ya kusitisha mapigano i.e. cease fire Deal au Hezbollah anakiuka kwa makusudi makubaliano husika. Iweje hata siku 7(wiki) haijaisha lakini tayari IDF imeshafanya mashambulizi kihalali zaidi ya 4+ ?? Hezbollah kulikoni?
 
Sheikh wangu Umud huwa ananisimulia kama wewe. Ingawa hajui kiingereza lakini akikaa anatusimulia sana. Naye anakuwa ameambiwa ukimuuliza source hajui maana yake nini. Nadhani nawe sheikh wangu ni vile vile tu. Haya tunaambiana tukiwa wenyewe ila JF kuna wengi wanauelewa.

Haya mambo sheikh wangu tusichanganye ni mihemko ya kiimani. Maana naona hili suala tumelichukua kiimani sana. Unamkuta mtu maamuma anaongelea suala hili hadi povu lamtoka.lakini maamuma tu ka ulivyo.
I do know linguistic more than you.
And I do know about middle east crisis more than you.

Utakua mtoto umezaliwa juzi wewe hii vita inatokea sisi tunapata update habarini kuanzia IDF inaingia kupitia Shebah farms hadi kurudishwa nyuma mbaka shebah farms walipoingilia.
Wewe mtoto wa google everything una google unajua nini wewe!???
 
Kitendo cha Hezbollah kukusanya silaha, kuzipakia kwenye gari na gari kusindikizwa kuelekea eneo husika ni kitendo kilichoashiria hatari kwa usalama wa Israel.
Lakini yote kwa yote inaonekana Hezbollah hakuielewa ile Hati ya kusitisha mapigano i.e. cease fire Deal au Hezbollah anakiuka kwa makusudi makubaliano husika. Iweje hata siku 7(wiki) haijaisha lakini tayari IDF imeshafanya mashambulizi kihalali zaidi ya 4+ ?? Hezbollah kulikoni?
Silaha zimepakiwa kutoka wapi kwenda wapi!?
Tuanze hapo kaka.
 
Wakiamua ndio kwisha habari yao,wamesha tepeta kiwanjani hao salama yao ni hizo siku 60 wakijidanganya wamekwisha hiyo ceasefire imefanywa isionekane myahudi ni mkorofi hataki amani hapo middle east tupo hapa 🤣🤣
Inaonekana hujui hata nini unazungumzia.
Kama muyahudi kutokuonekana mkorofi basi angeanza na kuacha mashambulizi Gaza ambako dunia nzima imempigia kelele ila kakataa kuacha mashambulizi.
Lebanon kaingia mziki wa kibwengo amechapika sana tu.
Una habari kama mji wa Galilee umekua ghost town baada ya wayahudi wenzako kukimbia mashambulizi ya Hizbollah!?
Hizbollah imelipua hadi Tel Aviv wewe unasema wametepeta!?
Ingekua Israel amemdhibiti Hizbollah kama alivyomdhibiti Hamas ungeona Kila leo ndege na askari wakitamba ndani ya Lebanon.
 
Kuna Mossad Ndani ya hizibula.
Mmeshaanza zile hadithi za kuwakuza Israel. Hao Hezsbollah walikuwa wanarusha makombara nearly every day hadi siku ya cease fire. Na wamepeleka madhara makubwa tu huko Israel na kila mmoja anafaham. Hao massad mnaowasujudia sijui wanaishi wap. Basi wasaidie captives kupatikana
 
I do know linguistic more than you.
And I do know about middle east crisis more than you.

Utakua mtoto umezaliwa juzi wewe hii vita inatokea sisi tunapata update habarini kuanzia IDF inaingia kupitia Shebah farms hadi kurudishwa nyuma mbaka shebah farms walipoingilia.
Wewe mtoto wa google everything una google unajua nini wewe!???
One of the sign that a person knows nothing is when he starts saying. I know more than you. That only proves that the person is maamuma who knows nothing and is trying to brag thinking will prove he knows. Those who know show they know. They dont say they know.it seems you are a young man of 2000s who knows nothing but hearsays. Sheikh wangu you are a mr chatterbox. Debe tupu haliachi kutika. 😁 Kawadanganye huko vichochoroni. Vijiweni.
 
Kitendo cha Hezbollah kukusanya silaha, kuzipakia kwenye gari na gari kusindikizwa kuelekea eneo husika ni kitendo kilichoashiria hatari kwa usalama wa Israel.
Lakini yote kwa yote inaonekana Hezbollah hakuielewa ile Hati ya kusitisha mapigano i.e. cease fire Deal au Hezbollah anakiuka kwa makusudi makubaliano husika. Iweje hata siku 7(wiki) haijaisha lakini tayari IDF imeshafanya mashambulizi kihalali zaidi ya 4+ ?? Hezbollah kulikoni?
Wanajua kusoma na kuandika?🤣🤣🤣
 
Hiyo breakfast tu, lunch na dinner monday report.
Hakuna kilichoditishwa.
Ziraili wa Buza naripoti hapa
 
Msaada,, hivi Salum Mwalimu wa Chadema toka Zanzibar na yule aliyeuwa kwa kushushwa kwenye basi somebody Ally Kibao wa Tanga ni wakristo wa dhehebu gani ?
Akili huna wewe? Ndio umeandika nini wewe mwehu? Waislam hao lkn wanamiliki nini? Hata kisu hawana. Kumbe una akili za kuku?
 
One of the sign that a person knows nothing is when he starts saying. I know more than you. That only proves that the person is maamuma who knows nothing and is trying to brag thinking will prove he knows. Those who know show they know. They dont say they know.it seems you are a young man of 2000s who knows nothing but hearsays. Sheikh wangu you are a mr chatterbox. Debe tupu haliachi kutika. 😁 Kawadanganye huko vichochoroni. Vijiweni.
Those are just bleeeh bleeeh bleeeh trivialities.
Kutafuta maneno pa kujifichia,mtoto mdogo wewe huna unalojua.
Nilipokuona huna unalojua ulopesema Hizbollah imezidiwa,ilhali Hizbollah kila uchwao ilikua ikifanya missiles strikes kuelekea Israel.
Miji ya kaskazini yote ya Israel imekua displaced not evacuated.

Nenda kakae na vitoto vyenzako vya 2000 upige navyo stori za pauka pakawa.

Mimi ni mkubwa unaongea na mtu mwenye wake watatu sasa bwana mdogo.
Such a dunderhead.
 
Those are just bleeeh bleeeh bleeeh trivialities.
Kutafuta maneno pa kujifichia,mtoto mdogo wewe huna unalojua.
Nilipokuona huna unalojua ulopesema Hizbollah imezidiwa,ilhali Hizbollah kila uchwao ilikua ikifanya missiles strikes kuelekea Israel.
Miji ya kaskazini yote ya Israel imekua displaced not evacuated.

Nenda kakae na vitoto vyenzako vya 2000 upige navyo stori za pauka pakawa.

Mimi ni mkubwa unaongea na mtu mwenye wake watatu sasa bwana mdogo.
Such a dunderhead.
Young man. You know nothing. Just like any other maamuma.😁
 
Akili huna wewe? Ndio umeandika nini wewe mwehu? Waislam hao lkn wanamiliki nini? Hata kisu hawana. Kumbe una akili za kuku?
Shukrani mkuu kwa busara yako ya matusi, ila hao ni dini gani. Na vyama vingine vina dini gani ?
 
Kwani wameshindwa? Sema tu makafiri wote wameungana kuwashambulia waislam kwa kutumia silaha
Kila kundi liungane basi. Kama unaowaita makafiri wameungana, washauri na waislam wenzako nao waungane wachinje makafiri usiowataka dunia nzima.
 
Back
Top Bottom