Israel yasema shambulio la Yemen ni onyo kwa maadui zake wote wa mashariki ya kati

Israel yasema shambulio la Yemen ni onyo kwa maadui zake wote wa mashariki ya kati

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Israel ilifanya shambulio lake la mwanzo kwa Yemen na kuiharibu vibaya bandari ya Hodeida nchini humo kwenye eneo linalodhitiwa na Houth.

Waziri wa ulinzi wa Israel,Yoav Gallant amesema shambulio hilo si kwa Houth pekee bali ni onyo kwa wote wenye uadui na Israel.Akaongeza kusema kuwa moto unaowaka Hodeada unashuhudiwa na watu wote wa mashariki ya kati.

Kinachoshangaza ni jinsi mataifa hayo ya mashariki ya kati wanavyochukulia kuwa shambulio hilo ni kwa Houth pekee wakati mayahudi wanakusudia kuwatisha wote.

Israel imeanza Gaza na ukingo wa magharibi,imeingia Yemen na itafanya kwengine kwa ubabe bila hao watawala wa mashariki ya kati kuzinduka.

Hata hivyo kauli hiyo inaweza kuleta mabadiliko kwenye akili za watawala hao na kutamkwa kwake ni kipimo cha kibri cha Israel ikikaribia kuangamia kama ilivyotokea kwa firauni wakati alipozidi uadui na Mungu muda mfupi kabla ya kushikwa na kuangamizwa.

Baadhi ya wachambuzi wenye kufuatilia mizozo ya mashariki ya kati wamesema maamuzi ya Israel kuishambulia Yemen yanaweza kuwa sababu ya kuyapa nguvu makundi yanayopingana nayo na si kinyume chake.

Yemen's Houthi rebels vow open battle with Israel and the U.S., as fears rise of Mideast war

 
Isreal ni bla bla nyingi kwanza hizo F35 mpaa zifike Yemen wanazo two option wapunguze uzito, wa maboom ndio zitafika Yemen, kama wakitumia njia ya Red Se.

Hao mimi na kwenda na wale walio sema hizo ndege zilizo piga ni za US, UK, Egypt na Saud Arabia. Israel bila kupewa green light watumie Air space ya Egypt na Saud Arabia ni vigumu kufika huko ndege zao bila kuwa refuel, na hizo ndege tulizo onyeshwa zina refuel sio za Israel eti zipo Red Sea, ni video zipo kwenye archive zao.

Option ya pili walitumia UAE kwenda ku attacked Yemen.

Huku na huku warabu wameshiriki kama kawaida zao wameruhusu ndege za Israel kutumia anga ya Jordani, Saud Arabia na Egypt Warabu na wafrica si watu wakuwamini,wakiona ngozi ya pink.

R.I.P commander wangu Robert Mgabe huyu ni katika wale wakristo 10% naheshimu misimamo yao, sio hivi vikristo njaa vinavyo amini bibilia ya Paulo na taifa teule lake

Hi video nzuri kwa waimba kwaya watazame vipi Mungu wa bibilia zaio.ni Racist 😄


View: https://youtu.be/kQI7WWCi-eQ?si=RG6Ku8g3825pzy2U
 
Wameshiba hao!!!

Usually utulivu ukizidi huwa usumbufu kwa nafsi na kuishia kuwa na hamu ya kutafuta cha ziada cha kufanya,wao wamechagua vita acha waonyeshane umwamba siku wakichoka wataacha wenyewe kama walivyoanza.
 
Israel imeanza Gaza na ukingo wa magharibi,imeingia Yemen na itafanya kwengine kwa ubabe bila hao watawala wa mashariki ya kati kuzinduka.
Webabu hivi kwa nini huwa hamsemi ukweli?

Kati ya Gaza na Israel, nani mchokozi?

Na kati ya wanamgambo wa Yemeni na Israel ni nani mchokozi?

Kuweni wakweli, Israel anapenda Amani ila huwa anachokozwa, na akichokozwa huwa hajui kupiga kidogo, huwa anakung'uta kweli kweli

Mkikung'utwa hivyo ndo mnakimbilia kulialia eti tumechokozwa
 
Isreal ni bla bla nyingi kwanza hizo F35 mpaa zifike Yemen wanazo two option wapunguze uzito, wa maboom ndio zitafika Yemen, kama wakitumia njia ya Red Se.

Hao mimi na kwenda na wale walio sema hizo ndege zilizo piga ni za US, UK, Egypt na Saud Arabia. Israel bila kupewa green light watumie Air space ya Egypt na Saud Arabia ni vigumu kufika huko ndege zao bila kuwa refuel, na hizo ndege tulizo onyeshwa zina refuel sio za Israel eti zipo Red Sea, ni video zipo kwenye archive zao.

Option ya pili walitumia UAE kwenda ku attacked Yemen.

Huku na huku warabu wameshiriki kama kawaida zao wameruhusu ndege za Israel kutumia anga ya Jordani, Saud Arabia na Egypt Warabu na wafrica si watu wakuwamini,wakiona ngozi ya pink.

R.I.P commander wangu Robert Mgabe huyu ni katika wale wakristo 10% naheshimu misimamo yao, sio hivi vikristo njaa vinavyo amini bibilia ya Paulo na taifa teule lake

Hi video nzuri kwa waimba kwaya watazame vipi Mungu wa bibilia zaio.ni Racist 😄


View: https://youtu.be/kQI7WWCi-eQ?si=RG6Ku8g3825pzy2U

Ndugu yangu unachukuliwa vita kama maigizo, hizo nchi za kiarabu na Afrika wakapigane na Israel kwa sababu ipi? kama drone za Yemen zinafika Israel wao IDF wanashindwaje kufika Yemen? Mbona akili zako ndogo , kama una akili kweli unaweza kuvamia nuclear states? Wewe dini inakusumbua, njoo tuwatetee wasidhani, wakongo wanaopigana, achana na mambo ya waarabu na wayahudi, kweli kama una akili Yemen ndo wakupiga Israel na kuishinda?
 
Isreal ni bla bla nyingi kwanza hizo F35 mpaa zifike Yemen wanazo two option wapunguze uzito, wa maboom ndio zitafika Yemen, kama wakitumia njia ya Red Se.

Hao mimi na kwenda na wale walio sema hizo ndege zilizo piga ni za US, UK, Egypt na Saud Arabia. Israel bila kupewa green light watumie Air space ya Egypt na Saud Arabia ni vigumu kufika huko ndege zao bila kuwa refuel, na hizo ndege tulizo onyeshwa zina refuel sio za Israel eti zipo Red Sea, ni video zipo kwenye archive zao.

Option ya pili walitumia UAE kwenda ku attacked Yemen.

Huku na huku warabu wameshiriki kama kawaida zao wameruhusu ndege za Israel kutumia anga ya Jordani, Saud Arabia na Egypt Warabu na wafrica si watu wakuwamini,wakiona ngozi ya pink.

R.I.P commander wangu Robert Mgabe huyu ni katika wale wakristo 10% naheshimu misimamo yao, sio hivi vikristo njaa vinavyo amini bibilia ya Paulo na taifa teule lake

Hi video nzuri kwa waimba kwaya watazame vipi Mungu wa bibilia zaio.ni Racist 😄


View: https://youtu.be/kQI7WWCi-eQ?si=RG6Ku8g3825pzy2U

Una chuki sana na wakristo, pole na sonona
 
Ndugu yangu unachukuliwa vita kama maigizo, hizo nchi za kiarabu na Afrika wakapigane na Israel kwa sababu ipi? kama drone za Yemen zinafika Israel wao IDF wanashindwaje kufika Yemen? Mbona akili zako ndogo , kama una akili kweli unaweza kuvamia nuclear states? Wewe dini inakusumbua, njoo tuwatetee wasidhani, wakongo wanaopigana, achana na mambo ya waarabu na wayahudi, kweli kama una akili Yemen ndo wakupiga Israel na kuishinda?
Hahaha unafananisha drones na Fighter Jet nenda shule dogo, drone haitaki kurefuel dogo hizo fighter Jet lazima wa refuel, na kama F35 hainekani na Rada hio inayo Refuel vipi.

Wakienda na Refuel Yemen ataona footprint njia walio kuja nayo, Israel, wao wanajaribu kuficha njia walio kuja nayao, dogo mambo ya Congo hayahusiki na hi thread.
 
Yoav Gallant namkubali sana huyu mwamba. Anajua kuongea lugha moja na magaidi. Hana utani kabisa
 

Attachments

  • IMG_4395.jpeg
    IMG_4395.jpeg
    317.9 KB · Views: 7
Isreal ni bla bla nyingi kwanza hizo F35 mpaa zifike Yemen wanazo two option wapunguze uzito, wa maboom ndio zitafika Yemen, kama wakitumia njia ya Red Se.

Hao mimi na kwenda na wale walio sema hizo ndege zilizo piga ni za US, UK, Egypt na Saud Arabia. Israel bila kupewa green light watumie Air space ya Egypt na Saud Arabia ni vigumu kufika huko ndege zao bila kuwa refuel, na hizo ndege tulizo onyeshwa zina refuel sio za Israel eti zipo Red Sea, ni video zipo kwenye archive zao.

Option ya pili walitumia UAE kwenda ku attacked Yemen.

Huku na huku warabu wameshiriki kama kawaida zao wameruhusu ndege za Israel kutumia anga ya Jordani, Saud Arabia na Egypt Warabu na wafrica si watu wakuwamini,wakiona ngozi ya pink.

R.I.P commander wangu Robert Mgabe huyu ni katika wale wakristo 10% naheshimu misimamo yao, sio hivi vikristo njaa vinavyo amini bibilia ya Paulo na taifa teule lake

Hi video nzuri kwa waimba kwaya watazame vipi Mungu wa bibilia zaio.ni Racist 😄


View: https://youtu.be/kQI7WWCi-eQ?si=RG6Ku8g3825pzy2U

Nchi yenu mpk Stiki za kuchokolea meno zinatoka China.
Ungetumia akili hii, ungeweza hata kutengeneza kiwanda ambacho kingeleta maendeleo Tanzania.
 
Webabu hivi kwa nini huwa hamsemi ukweli?

Kati ya Gaza na Israel, nani mchokozi?

Na kati ya wanamgambo wa Yemeni na Israel ni nani mchokozi?

Kuweni wakweli, Israel anapenda Amani ila huwa anachokozwa, na akichokozwa huwa hajui kupiga kidogo, huwa anakung'uta kweli kweli

Mkikung'utwa hivyo ndo mnakimbilia kulialia eti tumechokozwa
Acha kuropoka narudia acha kuropoka.
Israel kabla ya kuvamiwa hiyo October 7 na Hamas August walikua wakipora mashamba ya Zaituni.
Pia ilikua ikivunja makazi ya watu huko Jenin ili ipanue makazi ya Wazayuni.
Na sasa hivi wameamua kuikata Jenin yote iwe sehemu ya Israel,ilhali hiko ni kinyume na makubaliano ya mipaka.
Au unatuchukulia sisi ni mazwazwa hatufuatilii kitu!?
Ndio ujiulize kwanini safari hii mataifa makubwa kama Spain,Brazil,Colombia,Belgium,Norway yameenda kinyume na Israel.
Wanajua fika vurugu hazikuanzia Oktoba 7.
Kipindi Israel kupitia IDF mnamo August inavunja nyumba za Jenin na kuwaacha Palestina hawana makazi dunia ilikaa kimya na katika habari ilikua inatangazwa.
Ila Hamas kulipiza kizazi Oktoba naona dunia imehamaki.
Wapuuzi wakubwa.
 
Israel ilifanya shambulio lake la mwanzo kwa Yemen na kuiharibu vibaya bandari ya Hodeida nchini humo kwenye eneo linalodhitiwa na Houth.

Waziri wa ulinzi wa Israel,Yoav Gallant amesema shambulio hilo si kwa Houth pekee bali ni onyo kwa wote wenye uadui na Israel.Akaongeza kusema kuwa moto unaowaka Hodeada unashuhudiwa na watu wote wa mashariki ya kati.

Kinachoshangaza ni jinsi mataifa hayo ya mashariki ya kati wanavyochukulia kuwa shambulio hilo ni kwa Houth pekee wakati mayahudi wanakusudia kuwatisha wote.

Israel imeanza Gaza na ukingo wa magharibi,imeingia Yemen na itafanya kwengine kwa ubabe bila hao watawala wa mashariki ya kati kuzinduka.

Hata hivyo kauli hiyo inaweza kuleta mabadiliko kwenye akili za watawala hao na kutamkwa kwake ni kipimo cha kibri cha Israel ikikaribia kuangamia kama ilivyotokea kwa firauni wakati alipozidi uadui na Mungu muda mfupi kabla ya kushikwa na kuangamizwa.

Baadhi ya wachambuzi wenye kufuatilia mizozo ya mashariki ya kati wamesema maamuzi ya Israel kuishambulia Yemen yanaweza kuwa sababu ya kuyapa nguvu makundi yanayopingana nayo na si kinyume chake.

Yemen's Houthi rebels vow open battle with Israel and the U.S., as fears rise of Mideast war

that shambulio was so brutal, wayemeni hawaamini kilichotokea, na hawatamani litokee tena.
 
Isreal ni bla bla nyingi kwanza hizo F35 mpaa zifike Yemen wanazo two option wapunguze uzito, wa maboom ndio zitafika Yemen, kama wakitumia njia ya Red Se.

Hao mimi na kwenda na wale walio sema hizo ndege zilizo piga ni za US, UK, Egypt na Saud Arabia. Israel bila kupewa green light watumie Air space ya Egypt na Saud Arabia ni vigumu kufika huko ndege zao bila kuwa refuel, na hizo ndege tulizo onyeshwa zina refuel sio za Israel eti zipo Red Sea, ni video zipo kwenye archive zao.

Option ya pili walitumia UAE kwenda ku attacked Yemen.

Huku na huku warabu wameshiriki kama kawaida zao wameruhusu ndege za Israel kutumia anga ya Jordani, Saud Arabia na Egypt Warabu na wafrica si watu wakuwamini,wakiona ngozi ya pink.

R.I.P commander wangu Robert Mgabe huyu ni katika wale wakristo 10% naheshimu misimamo yao, sio hivi vikristo njaa vinavyo amini bibilia ya Paulo na taifa teule lake

Hi video nzuri kwa waimba kwaya watazame vipi Mungu wa bibilia zaio.ni Racist 😄


View: https://youtu.be/kQI7WWCi-eQ?si=RG6Ku8g3825pzy2U

Wakristo wana kukera enhee?? Israel atashinda any number of wars ! Yemen hasara waliyoipata wanahitaji 10 Years+ kurecover..Kumbuka Mungu wa Israel na Mungu wa Wayemen ni Miungu wawili tofauti..
 

Attachments

  • IMG_8431.png
    IMG_8431.png
    50.2 KB · Views: 8
  • IMG_8430.jpeg
    IMG_8430.jpeg
    13.5 KB · Views: 6
  • IMG_8429.jpeg
    IMG_8429.jpeg
    18.7 KB · Views: 7
that shambulio was so brutal, wayemeni hawaamini kilichotokea, na hawatamani litokee tena.
Kupata pesa na kujenga tena Kiwanda cha kuchakata mafuta na kujenga matank tena ya kuhifadhi mafuta ya kutosha nchi nzima sio jambo raisi kama kula tende na haruwa🤣🤣 Awatosahau Simba wa Yuda milele yote
 
Nenda kauze nguruwe njombe achana na mpk stiki ikiwa US anawategemea China mpaa leo, unataka Tanzania ajitegemee kila kitu
Hiyo nguruwe nitakayouza, nashika hela na maji maji ya nguruwe, naenda kununua bidhaa kwenye duka la Omary. Omary naye anaenda kutoa sadaka msikitini.
China anamtegemea Marekani ndiyo maana anawekewa vikwazo vya kiuchumi. Marekani anachofaidika kutoka China ni Cheap labour na soko tu.
Dhambi kubwa kwao ni nguruwe ila kutukana ni ruksa, kufanya uzinzi, uasherati, kufuga majini, kuiba, kunywa pombe, kudhulumu, kuua na kuleta vita kwao siyo dhambi
 
Acha kuropoka narudia acha kuropoka.
Israel kabla ya kuvamiwa hiyo October 7 na Hamas August walikua wakipora mashamba ya Zaituni.
Pia ilikua ikivunja makazi ya watu huko Jenin ili ipanue makazi ya Wazayuni.
Na sasa hivi wameamua kuikata Jenin yote iwe sehemu ya Israel,ilhali hiko ni kinyume na makubaliano ya mipaka.
Au unatuchukulia sisi ni mazwazwa hatufuatilii kitu!?
Ndio ujiulize kwanini safari hii mataifa makubwa kama Spain,Brazil,Colombia,Belgium,Norway yameenda kinyume na Israel.
Wanajua fika vurugu hazikuanzia Oktoba 7.
Kipindi Israel kupitia IDF mnamo August inavunja nyumba za Jenin na kuwaacha Palestina hawana makazi dunia ilikaa kimya na katika habari ilikua inatangazwa.
Ila Hamas kulipiza kizazi Oktoba naona dunia imehamaki.
Wapuuzi wakubwa.
Acha kupotosha. Washindwe kuwaonea huruma watu wanaouwawa kila siku Sudan na kikundi cha kigaidi cha kiislamu. Waje wawaonee huruma magaidi wa October 7?
Hizo nchi zimeingilia? Wanachokifanya hayo mataifa kwenye media wanajifanya wanawaonea huruma ila nje ya media. Wanamwambia Israel peleka moto na misaada wanatoa kwa Israel.
 
Webabu hivi kwa nini huwa hamsemi ukweli?

Kati ya Gaza na Israel, nani mchokozi?

Na kati ya wanamgambo wa Yemeni na Israel ni nani mchokozi?

Kuweni wakweli, Israel anapenda Amani ila huwa anachokozwa, na akichokozwa huwa hajui kupiga kidogo, huwa anakung'uta kweli kweli

Mkikung'utwa hivyo ndo mnakimbilia kulialia eti tumechokozwa
Nanukuu: "Mkikung'utwa hivyo ndo mnakimbilia kulialia eti tumechokozwa"
Ndo zao hizo bro. Wameshasahau kwamba juzi tu kushinda jana walitamba sana kuipiga Tel aviv na kusababisha Hasara kubwa, majeruhi na kifo kwa kutumia drone janja -eti rada za IDF hazikuona..
Safari hii hawakutaja Wazee, akina mama na Watoto. Ila wamewanyoshea vidole Waarabu wenzao eti Egypt, Jordan, UAE na Saudi Arabia lakini kama kawaida hawakumsahau US na UK.
 
Back
Top Bottom